Kama ramadhan inatosha kuwafanya wamkumbuke Mungu hata kidogo basi hilo ni jambo kubwa sana linalo vutia mtu huwa habadiliki siku moja, Ramadhan ni kipimo sahihi cha hofu yao haitakiwi wewe kuumia kwa mambo yasiyo kuhusu, huwezi kuisemea nafsi yake Mungu ndo anajua kuwa anaigiza au anaomba toba.
Ramadhani ni mwezi wa toba kwa waislam wote haijalishi alikua anatenda dhambi kiasi gani huu ni muda wao wa kuomba msamaha.
Kila matendo yanalipwa kutokana na nia ya mtu kwa macho yako wewe ni kuwa wanaigiza ila ndani ya nafsi zao anajua Mungu zaidi.