ITR
JF-Expert Member
- Sep 22, 2022
- 6,096
- 16,390
Huwa unasali?ukiwaambia wanapaniki
kama mtu unaamua kubadilika badilika moja kwa moja, na wanaobqdilika hawasubiri mwezi wa ramadhani
Mtu unafanya maovu ukijua ni maovu na unapanga kabisa Ramadhani hii nafunga naupisha mwezi mtukufu [emoji1][emoji1] ukiisha wanaendelea wakiambiwa wanafiki wanakuja juu