Hii Trending ya kujifanya Mcha-Mungu wakati wa Ramadhani ni kujilisha upepo na ubatili mtupu

Wewe unaweza kubadilika moja kwa moja?
 
Ukitaka kutambua kiwango cha unafiki wa kiwango cha SGR basi angalia kwa umakini maisha ya wafuasi wa dini.

"Religion is the opium of the people" karl marx
 
mtu anangoja mwezi mmoja kila mwaka ili afanye jema??? mko serious kweli
ukiamua kuwa mbaya kuwa mbaya l,ukiamua kuwa mwema kuwa mwema
vinginevyo ni unafiki
Hata siku moja kwa Mungu ina thamani , mbona mwezi mkubwa sana, binadamu anaweza kukaa sawa muda wowote , endelea kumtia moyo kwa kufanya jambo jema, sio kukatishana tamaa kwenye mambo mema, ukifanya jema wakati wowote utalipwa thawabu zako na ukifanya baya wakati wowote utalipwa dhambi zako, tuendelee kutiana moyo kwenye mema, mbona wana wa Israel Mungu amewavumilia sana pamoja na utukutu wao, akiwakataza hili wanarudia tena , hii ni tabia ya wanadamu , Daudi alimpeleka mtu vitani ili akauwawe achukue mke wake, lakini alipata msamaha
 
Kwahiyo wewe dhambi zote kwasasa umeacha?
 
Hizi dini tulizoletewa ni mzigo tu
 
Word!
 
Sijasema niko daraja moja hayo umesema ww

Hee mbona jazba? hata mimi Mungu ndo anajua we nani kumsemea Mungu
Mimi nimekushangaa wewe kuita watu wanafiki wakati hilo jambo Mungu ndio anajua dhati ya mioyo ya hao watu, mtu akifunga , akiacha dhambi au akirudia hili jambo Mungu anajua maana yeye ndio mlipaji, hivyo basi acha kuita watu wanafiki wakati wewe hujui chochote juu ya mioyo ya hao watu, Mungu ndio anajua unafiki au ukweli wa mtu sio wewe
 
Ukweli mtupu . M/mungu anawachora tu kwa ufupi baadhi ya waislamu wengi wao ni wanafki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…