Wewe unaweza kubadilika moja kwa moja?Mimi hamna watu nawaona wanafiki kama wanaobadilisha maisha mwezi wa ramadhani, ukiisha wanarudi uchafuni
- mtu anaacha uzinzi/anavaa kwa stara kwa mwezi mmoja. ukiisha anarudi kwenye laana.
mi naona ni either ubadilike moja kwa moja or uendelee na mambo yako ya sikuzote.
Kuna watu wao sikuzote huwakosi msikitini wala mavazi hayabadiliki hawa mi naona ndo wanastahili kufunga
ndioWewe unaweza kubadilika moja kwa moja?
Hata siku moja kwa Mungu ina thamani , mbona mwezi mkubwa sana, binadamu anaweza kukaa sawa muda wowote , endelea kumtia moyo kwa kufanya jambo jema, sio kukatishana tamaa kwenye mambo mema, ukifanya jema wakati wowote utalipwa thawabu zako na ukifanya baya wakati wowote utalipwa dhambi zako, tuendelee kutiana moyo kwenye mema, mbona wana wa Israel Mungu amewavumilia sana pamoja na utukutu wao, akiwakataza hili wanarudia tena , hii ni tabia ya wanadamu , Daudi alimpeleka mtu vitani ili akauwawe achukue mke wake, lakini alipata msamahamtu anangoja mwezi mmoja kila mwaka ili afanye jema??? mko serious kweli
ukiamua kuwa mbaya kuwa mbaya l,ukiamua kuwa mwema kuwa mwema
vinginevyo ni unafiki
Wewe huna dhambi?Ni wanafiki lakini tuwaache tu kama walivyo.
Kwahiyo wewe dhambi zote kwasasa umeacha?Mimi hamna watu nawaona wanafiki kama wanaobadilisha maisha mwezi wa ramadhani, ukiisha wanarudi uchafuni
- mtu anaacha uzinzi/anavaa kwa stara kwa mwezi mmoja. ukiisha anarudi kwenye laana.
mi naona ni either ubadilike moja kwa moja or uendelee na mambo yako ya sikuzote.
Kuna watu wao sikuzote huwakosi msikitini wala mavazi hayabadiliki hawa mi naona ndo wanastahili kufunga
Hizi dini tulizoletewa ni mzigo tuNipo Sehemu za Uswahilini naona wanawake na wahuni wote wanavaa vizuri wanapiga ushungi Kama wa Madam president so niseme ni Jambo zuri Sana endapo mkaishia hivyo Maisha yenu yote.
Imekuwa kawaida watu kumuigizia Mungu wakati wa Ramadhani na baada ya huu Mwezi kuisha watu wanarudi katika uchafu so this is None-sense iidiotism philosophy
The repentance is now there's no reason to Fake anymore.
Ramadhan KAREEM
Dhambi huna ?ndio
Word!Kama ramadhan inatosha kuwafanya wamkumbuke Mungu hata kidogo basi hilo ni jambo kubwa sana linalo vutia mtu huwa habadiliki siku moja, Ramadhan ni kipimo sahihi cha hofu yao haitakiwi wewe kuumia kwa mambo yasiyo kuhusu, huwezi kuisemea nafsi yake Mungu ndo anajua kuwa anaigiza au anaomba toba.
Ramadhani ni mwezi wa toba kwa waislam wote haijalishi alikua anatenda dhambi kiasi gani huu ni muda wao wa kuomba msamaha.
Kila matendo yanalipwa kutokana na nia ya mtu kwa macho yako wewe ni kuwa wanaigiza ila ndani ya nafsi zao anajua Mungu zaidi.
SinaDhambi huna ?
sijaacha ila mimi sio mnafiki Mungu mwenyewe anajuaKwahiyo wewe dhambi zote kwasasa umeacha?
Hongera sana , maana upo daraja moja na Mungu,Sina
Kama Mungu ndio anajua kwako, hata hao wengine pia Mungu anajua, wewe nani wa kuwasemea wengine??Mungu ndio mlipaji ndio mjuajisijaacha ila mimi sio mnafiki Mungu mwenyewe anajua
Sijasema niko daraja moja hayo umesema wwHongera sana , maana upo daraja moja na Mungu,
Hee mbona jazba? hata mimi Mungu ndo anajua we nani kumsemea MunguKama Mungu ndio anajua kwako, hata hao wengine pia Mungu anajua, wewe nani wa kuwasemea wengine??Mungu ndio mlipaji ndio mjuaji
Mimi nimekushangaa wewe kuita watu wanafiki wakati hilo jambo Mungu ndio anajua dhati ya mioyo ya hao watu, mtu akifunga , akiacha dhambi au akirudia hili jambo Mungu anajua maana yeye ndio mlipaji, hivyo basi acha kuita watu wanafiki wakati wewe hujui chochote juu ya mioyo ya hao watu, Mungu ndio anajua unafiki au ukweli wa mtu sio weweSijasema niko daraja moja hayo umesema ww
Hee mbona jazba? hata mimi Mungu ndo anajua we nani kumsemea Mungu