wambagusta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2014
- 2,825
- 2,292
Hakuna cha mungu nyinyi ni wanafki tu . Swali kufunga mnafanya juhudi sana mbona ibada ndio njia sahihi amuhifanyii juhudi . sasa Misikiti itajaa ramadhani ikiisha hata safu mbili azijai .ACHENI uNAFKI KWENYE jAMBO LA MUNGUMimi nimekushangaa wewe kuita watu wanafiki wakati hilo jambo Mungu ndio anajua dhati ya mioyo ya hao watu, mtu akifunga , akiacha dhambi au akirudia hili jambo Mungu anajua maana yeye ndio mlipaji, hivyo basi acha kuita watu wanafiki wakati wewe hujui chochote juu ya mioyo ya hao watu, Mungu ndio anajua unafiki au ukweli wa mtu sio wew
Binadamu hawezi kubadilika kwa siku moja, hivi unafikiri Mungu angekuwa na akili kama zako wale waisrael si angewamaliza , maana pamoja na kuwapendelea kote lakini walikuwa wanafanya dhambi kila wakati , alikuwa anawasamehe na kuwapa nafasi nyingine, hata hao wanao fanya ibada wakati wa Ramadhani wapo wanaoacha na wapo ambao wana endelea moja kwa moja, haya mambo ya kujaji achana nayo , Mungu ndio anajua binadamu anaweza kuishia wapi , unaita watu wanafiki wewe huna dhambi kabisa?Hakuna cha mungu nyinyi ni wanafki tu . Swali kufunga mnafanya juhudi sana mbona ibada ndio njia sahihi amuhifanyii juhudi . sasa Misikiti itajaa ramadhani ikiisha hata safu mbili azijai .ACHENI uNAFKI KWENYE jAMBO LA MUNGU
Wakati ana wachora hao waislamu wanafiki, wewe huna dhambi wala hufanyi dhambi?Ukweli mtupu . M/mungu anawachora tu kwa ufupi baadhi ya waislamu wengi wao ni wanafki
Usihukumu watuMimi hamna watu nawaona wanafiki kama wanaobadilisha maisha mwezi wa ramadhani, ukiisha wanarudi uchafuni
- mtu anaacha uzinzi/anavaa kwa stara kwa mwezi mmoja. ukiisha anarudi kwenye laana.
mi naona ni either ubadilike moja kwa moja or uendelee na mambo yako ya sikuzote.
Kuna watu wao sikuzote huwakosi msikitini wala mavazi hayabadiliki hawa mi naona ndo wanastahili kufunga
Mi ndo nshaona WANAFIKI usifosi mawazo yangu na yako yafananeMimi nimekushangaa wewe kuita watu wanafiki wakati hilo jambo Mungu ndio anajua dhati ya mioyo ya hao watu, mtu akifunga , akiacha dhambi au akirudia hili jambo Mungu anajua maana yeye ndio mlipaji, hivyo basi acha kuita watu wanafiki wakati wewe hujui chochote juu ya mioyo ya hao watu, Mungu ndio anajua unafiki au ukweli wa mtu sio wewe
Nyani ana tabia ya kushangaa sugu ya Nyani mwenzake , kumbe wakati mwengine sugu yake ni kubwa kuliko ya huyo nyani anae mshangaa, hii ndio tabia ya binadamu alio jifunza vyema kwa NyaniMi ndo nshaona WANAFIKI usifosi mawazo yangu na yako yafanane
asa mimi sio nyani, na sijajifunzaNyani ana tabia ya kushangaa sugu ya Nyani mwenzake , kumbe wakati mwengine sugu yake ni kubwa kuliko ya huyo nyani anae mshangaa, hii ndio tabia ya binadamu alio jifunza vyema kwa Nyani
True,, Mungu ana huruma sana kwa watu wake hata kama unanuka damu za watu uliowaua ukisema Mungu imetosha kwa niliyofanya naomba unisamehe sirudii tena yeye yupo tayar kukuweka huru,,, kwahyo walioweza kufunga tuwaheshim sio kila mtu anaweza kufunga,,Binadamu hawezi kubadilika kwa siku moja, hivi unafikiri Mungu angekuwa na akili kama zako wale waisrael si angewamaliza , maana pamoja na kuwapendelea kote lakini walikuwa wanafanya dhambi kila wakati , alikuwa anawasamehe na kuwapa nafasi nyingine, hata hao wanao fanya ibada wakati wa Ramadhani wapo wanaoacha na wapo ambao wana endelea moja kwa moja, haya mambo ya kujaji achana nayo , Mungu ndio anajua binadamu anaweza kuishia wapi , unaita watu wanafiki wewe huna dhambi kabisa?
Nyani haoni kundule , hii methali sio kwa ajili ya Nyani, kama umeshindwa kuelewa hili basi tenaasa mimi sio nyani, na sijajifunza
najifunza kwa binadamu jinsi ya kuwa mnafiki
Watu wengi wana chuki hawana FactsTrue,, Mungu ana huruma sana kwa watu wake hata kama unanuka damu za watu uliowaua ukisema Mungu imetosha kwa niliyofanya naomba unisamehe sirudii tena yeye yupo tayar kukuweka huru,,, kwahyo walioweza kufunga tuwaheshim sio kila mtu anaweza kufunga,,
Ngumu sana hii, taratibu za dini zingine ziko hivyo. Mengine tumuachie yeye maana kuhukumu kuko mikononi make.Nipo Sehemu za Uswahilini naona wanawake na wahuni wote wanavaa vizuri wanapiga ushungi Kama wa Madam president so niseme ni Jambo zuri Sana endapo mkaishia hivyo Maisha yenu yote.
Imekuwa kawaida watu kumuigizia Mungu wakati wa Ramadhani na baada ya huu Mwezi kuisha watu wanarudi katika uchafu so this is None-sense iidiotism philosophy
The repentance is now there's no reason to Fake anymore.
Ramadhan KAREEM
Buhahaha kwa hio mkuu unataka kusema km mtu alikua mwizi hapa kwenye Ramadhan anaenda likizo yaan haibi Tena maana anaomba Toba anaomba msamaha Ila ikiisha Eid El Fitri tu jamaa anaanza michongo yake ya wizi hapo vipi imekaa fresh au sio?Ramadhani ni mwezi wa toba kwa waislam wote haijalishi alikua anatenda dhambi kiasi gani huu ni muda wao wa kuomba msamaha.
Baada ya ramadan ,mwendo wa kufukua na kufukuliwa tope , tabu sanaNipo Sehemu za Uswahilini naona wanawake na wahuni wote wanavaa vizuri wanapiga ushungi Kama wa Madam president so niseme ni Jambo zuri Sana endapo mkaishia hivyo Maisha yenu yote.
Imekuwa kawaida watu kumuigizia Mungu wakati wa Ramadhani na baada ya huu Mwezi kuisha watu wanarudi katika uchafu so this is None-sense iidiotism philosophy
The repentance is now there's no reason to Fake anymore.
Ramadhan KAREEM
Yes upo sahihi wale wafungaji wa mchongo wapite hivi, yaan wewe unapiga dance mwaka mzima huingii msikitini ikifika Ramadhan unajifanya unaomba Toba eti msamaha kwa mola mleze MnyaaziMungu Allah Subhan wa Tahara aisee we komaa tu na mishe zako Mungu hapendi maigizo ukiwa Moto kua Moto ukiwa baridi kua baridi sio unakua vuguvugu nusu Allah nusu SweitanKuna watu wao sikuzote huwakosi msikitini wala mavazi hayabadiliki hawa mi naona ndo wanastahili kufunga
Hujamwelewa mtoa mada weweHuu ni mwezi wa toba na Mungu anasamehe kuna watu ni mashoga na wanafunga wengine wanafuturisha acha watubu dhambi zao
Huoni kipindi hiki kina Dr kumbuka,Juma Lokole Diamond platnumz wote wamekuwa watu wa kuswali ,siku ya mwisho mema na mabaya yako yatapimwa kwenye mzani usishangae usiowategemea wakapata pepo kuna masheikh wengi hawasaidii yatima lakini Diamond amejenga hadi msikiti na misaada anatoa
Allah ni mjuzi zaidi
Kabisa na katika hao wahuni 10 hata mmoja tu akibadilika na kua mcha Mungu pia inatosha.Kama ramadhan inatosha kuwafanya wamkumbuke Mungu hata kidogo basi hilo ni jambo kubwa sana linalo vutia mtu huwa habadiliki siku moja, Ramadhan ni kipimo sahihi cha hofu yao haitakiwi wewe kuumia kwa mambo yasiyo kuhusu, huwezi kuisemea nafsi yake Mungu ndo anajua kuwa anaigiza au anaomba toba.
Ramadhani ni mwezi wa toba kwa waislam wote haijalishi alikua anatenda dhambi kiasi gani huu ni muda wao wa kuomba msamaha.
Kila matendo yanalipwa kutokana na nia ya mtu kwa macho yako wewe ni kuwa wanaigiza ila ndani ya nafsi zao anajua Mungu zaidi.
Mungu humpenda anayemrudia hata ungekosa mara mia Mungu anakusamahe tofauti na binadamu,Nipo Sehemu za Uswahilini naona wanawake na wahuni wote wanavaa vizuri wanapiga ushungi Kama wa Madam president so niseme ni Jambo zuri Sana endapo mkaishia hivyo Maisha yenu yote.
Imekuwa kawaida watu kumuigizia Mungu wakati wa Ramadhani na baada ya huu Mwezi kuisha watu wanarudi katika uchafu so this is None-sense iidiotism philosophy
The repentance is now there's no reason to Fake anymore.
Ramadhan KAREEM
ukiwaambia wanapanikiYes upo sahihi wale wafungaji wa mchongo wapite hivi, yaan wewe unapiga dance mwaka mzima huingii msikitini ikifika Ramadhan unajifanya unaomba Toba eti msamaha kwa mola mleze MnyaaziMungu Allah Subhan wa Tahara aisee we komaa tu na mishe zako Mungu hapendi maigizo ukiwa Moto kua Moto ukiwa baridi kua baridi sio unakua vuguvugu nusu Allah nusu Sweitan
Hamna haja ya kuelewa ila ujumbe wenu mshaupataNyani haoni kundule , hii methali sio kwa ajili ya Nyani, kama umeshindwa kuelewa hili basi tena