Huwa unasali?ukiwaambia wanapaniki
kama mtu unaamua kubadilika badilika moja kwa moja, na wanaobqdilika hawasubiri mwezi wa ramadhani
Mtu unafanya maovu ukijua ni maovu na unapanga kabisa Ramadhani hii nafunga naupisha mwezi mtukufu [emoji1][emoji1] ukiisha wanaendelea wakiambiwa wanafiki wanakuja juu
siku utakapo kuwa wewe huna dhambi ndio tutaelewa, sio kutupigia kelele wakati hata wewe mchafu tuHamna haja ya kuelewa ila ujumbe wenu mshaupata
muache Funga ya unafiki
Wewe huna dhambi?ukiwaambia wanapaniki
kama mtu unaamua kubadilika badilika moja kwa moja, na wanaobqdilika hawasubiri mwezi wa ramadhani
Mtu unafanya maovu ukijua ni maovu na unapanga kabisa Ramadhani hii nafunga naupisha mwezi mtukufu 😄😄 ukiisha wanaendelea wakiambiwa wanafiki wanakuja juu
Wewe na Mungu mlizaliwa tumbo moja toka nitoke au ulizaliwa mkiwa mapacha kwamba wewe na Mungu ni watoto wa mama mmoja? Au unamzungumzia Mungu yupo?Mungu humpenda anayemrudia hata ungekosa mara mia Mungu anakusamahe tofauti na binadamu,
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Fuata mambo yako punguza kiherehere na mambo ya watu.Wadada wamejisitiri unawasema wakivaa uchi unawasema kwani we jinsia gani mkuu au we ndo wale Ladies and Gentlemen.??????
Namzungumzia Mingu mwenye huruma,mkarimuWewe na Mungu mlizaliwa tumbo moja toka nitoke au ulizaliwa mkiwa mapacha kwamba wewe na Mungu ni watoto wa mama mmoja? Au unamzungumzia Mungu yupo?
Mungu ni mwenye huruma, mkarimu, hata umkosee mara mia halafu ukaludu kutubu, atakusamehe.Tofauti na wewe binadamu ukikosewe zaidi ya mara moja hutaki kusameheWewe na Mungu mlizaliwa tumbo moja toka nitoke au ulizaliwa mkiwa mapacha kwamba wewe na Mungu ni watoto wa mama mmoja? Au unamzungumzia Mungu yupo?
Ndiyo aache wizi mwezi huu kuhusu Mungu ninae muabudu mimi ni Mungu ambae hajazaa wala hajazaliwa na hakuna anae fanana nae hata mmojaBuhahaha kwa hio mkuu unataka kusema km mtu alikua mwizi hapa kwenye Ramadhan anaenda likizo yaan haibi Tena maana anaomba Toba anaomba msamaha Ila ikiisha Eid El Fitri tu jamaa anaanza michongo yake ya wizi hapo vipi imekaa fresh au sio?
Mungu una undugu nae au mlizaliwa tumbo moja?