Kaka mm ni mshabiki wa Iran,ila Iran inajikaza lakini hali ngumu bro.Bado baba lao Iran. Ukijumlisha vikwazo vyote walivyopewa hao, havifikii alivyopewa Iran, lkn bado inadunda tu.
Sijakupata kaka umekusudia kusema Nini.wewe huna vikwazo una masiha rahisi?
aah virobaSijakupata kaka umekusudia kusema Nini.
Hahahaaaa...... Yuko kikaoni anatubu dhambi zake!kama mlivyokaririshwa na mabwanyenye wa magharibi.............
Hahahaaaa....... Chelsea wanaichukua huko!Bado baba lao Iran. Ukijumlisha vikwazo vyote walivyopewa hao, havifikii alivyopewa Iran, lkn bado inadunda tu.
Mchina kashangaa!Kwanza yule hajawekewa vikwazo hata nusu ya hivi vya jamaa asee
Uko sahihiKaka mm ni mshabiki wa Iran,ila Iran inajikaza lakini hali ngumu bro.
Hiyo Syria Kila kukicha wananchi wanavuka boda kuingia Turkey kusaka maisha,Korea kaskazini ni miongoni mwa mataifa yenye poor food security km Kenya.
Economic sanctions ni mbaya kaka acha kabisa .
Hata Zimbabwe wanadunda tu[emoji2][emoji2]Bado baba lao Iran. Ukijumlisha vikwazo vyote walivyopewa hao, havifikii alivyopewa Iran, lkn bado inadunda tu.
Kwani advanced Nucreal Weapons anazo Russia peke yake!? Kifupi Russia akitaka vita na Dunia atabondwa kama mtoto mdogoMakombora na vita ya uchumi sasa si unawafumua tu wanaosumbua wote wafe tu
Hayo unawaza weye uliyepo huku.Wenzio ndiyo wanajua uchachu wake.Syria na vikwazo vyote alivyowekewa vipi umeona wameyumba? Korea kaskazin Cuba vipi
Duh!! Hiki ni kiwango cha degree ya tatu ya upumbavu. Wewe jamaa umeendelea sana katika upumbavu.German ameshaachana na gesi ya Russia amepata kwingine kuanzia jana.
Hata sisi Tanzania tuna gesi ya kumwaga hatuna wa kumuuzia waje tu!
Acha uongo mzee. SWIFT imefungwa lini!?Muwe mnasoma na kuelewa vikwazo alivyowekewa Urusi ni vibaya maana hadi Swift imefungwa anga lote la Ulaya limefungwa kwa ndege zote zilizosajiliwa Urusi
Hahahaaaa........ Endelea kukariri!Duh!! Hiki ni kiwango cha degree ya tatu ya upumbavu. Wewe jamaa umeendelea sana katika upumbavu.
Hitaji la Swift la mwaka 2014 na sasa lipo sawa? Unawezaje kufananisha International relationship kati ya Iran na Russia! So sadYou must be a lazy dreamer. Iran iliondolewa kwenye SWIFT 2014 na bad inapiga kazi.
Ulaya inaumia zaidi kwa vikwazo hivyo kama anavyoumia Russia. Hakuna mshindi katika hilo.
Imefungwa ila zimeachwa benki chache sana ili uchumi wa Russia usife kwa 100%Acha uongo mzee. SWIFT imefungwa lini!?
Ameambiwa na wataalamu wa masuala ya kimataifa kuwa mleta mada bado ni dogo sana kwenye mambo haya!!!Syria na vikwazo vyote alivyowekewa vipi umeona wameyumba? Korea kaskazin Cuba vipi
Eti uchumi wa Russia usife kwa 100%. Uliona wapi adui yako anakuombea chakula? Jiongeze, Mkuu.Imefungwa ila zimeachwa benki chache sana ili uchumi wa Russia usife kwa 100%
China ndio kamuombea Putin kule NATO!Uliona wapi adui yako anakuombea chakula? Jiongeze, Mkuu.
Wape somo hawa Warusi wa Kimanzichana😀Hehehehehhe.
Licha ya kuwa na rasilimali nyingi mbona ktk mataifa kumi Bora yenye uchumi mkubwa haipo!?
Au unadhani gesi,mafuta na ngano hakuna pengine pa kuvipata zaidi ya Russia!?
Kwa dunia ya sasa nchi pekee ambayo haiwezi kuumia na vikwazo vya kiuchumi kwasababu tayari ina global influence ni China.
Hiyo Russia ina kitu kipi hasa ina produce cha kuitisha dunia kiuchumi?Ina economic influence gani globally?
Bro tazama haya Mambo kwa kina usilete ushabiki.
Mimi wamagharibi na US siwakubali ila linapokuja suala la kiuchumi basi uchumi wa dunia wameshikilia wao ndugu haina budi kuwa mpole.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Uko sahihi
Putin ndio bye bye.... Arudi tu kwao bagamoyo!