Hii ya fisi 17 wenye chapa kuuliwa sio bure kuna sehemu na namna mitambo ilitingishwa.

Hii ya fisi 17 wenye chapa kuuliwa sio bure kuna sehemu na namna mitambo ilitingishwa.

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
Either kikundi chao walifanyiana civil war wenyewe Or walikuwa hacked/infiltrated/disrupted na adui yao alietaka kuwa expose.

Sio kirahisi rahisi hivyo mashine zao kupigwa chini maana hawa jamaa wamefanya hii kazi vizazi na vizazi bila ya kuwa exposed kirahisi rahisi hivi.

Inakuwaje mtu anatunza fisi na hadi kuiwekea alama, ina maana wako wengi sana wanaofugwa lakini pia hii inamaanisha inamnufaisha kwa mambo yake anayojua mwenyewe so hataki ipotee kirahisi rahisi

SOMA PIA:
 
Ni kweli sio kawaida kwa mambo ya namna hiyo kutokea kwa fisi wa kushirikiana kuuwawa kwa wingi huo! Kuna kitu kimefanyika kuharibu nguvu yao. Hakuna kingine isipokuwa sala na maombi sahihi na yenye nguvu ya Wakristo wa kweli. Kuna mengi sana yatafunguka na watu watashangaa.
Either kikundi chao walifanyiana civil war wenyewe Or walikuwa hacked/infiltrated/disrupted na adui yao alietaka kuwa expose.

Sio kirahisi rahisi hivyo mashine zao kupigwa chini maana hawa jamaa wamefanya hii kazi vizazi na vizazi bila ya kuwa exposed kirahisi rahisi hivi.

Inakuwaje mtu anatunza fisi na hadi kuiwekea alama, ina maana wako wengi sana wanaofugwa lakini pia hii inamaanisha inamnufaisha kwa mambo yake anayojua mwenyewe so hataki ipotee kirahisi rahisi

SOMA PIA:

Elezea ueleweke basi!!!!
 
Ni kweli sio kawaida kwa mambo ya namna hiyo kutokea kwa fisi wa kushirikiana kuuwawa kwa wingi huo! Kuna kitu kimefanyika kuharibu nguvu yao. Hakuna kingine isipokuwa sala na maombi sahihi na yenye nguvu ya Wakristo wa kweli. Kuna mengi sana yatafunguka na watu watashangaa.
Hakika kuna namna imefanyika ikawashinda uwezo wao
 
Hao ni fisi, wajue pia kuna vitendea kazi vingine kama paka, bundi. Mbweha, mamba, wadudu, hao nao watawasaka na kuwakamata? Lini serikali imeanza kuamini mambo ya kishirikina, kichawi, kipepo na kishetani? Kama ndio inajiingiza kuharibu mitandao yao?
😂
 
Hao ni fisi, wajue pia kuna vitendea kazi vingine kama paka, bundi. Mbweha, mamba, wadudu, hao nao watawasaka na kuwakamata? Lini serikali imeanza kuamini mambo ya kishirikina, kichawi, kipepo na kishetani? Kama ndio inajiingiza kuharibu mitandao yao?
Serikali wanaua fisi waliokuwa wanasumbua wananchi na hata wewe umeona fisi physically by your naked eyes, sasa huo uchawi unaousema serikali inajiingiza ni upi?
 
Either kikundi chao walifanyiana civil war wenyewe Or walikuwa hacked/infiltrated/disrupted na adui yao alietaka kuwa expose.

Sio kirahisi rahisi hivyo mashine zao kupigwa chini maana hawa jamaa wamefanya hii kazi vizazi na vizazi bila ya kuwa exposed kirahisi rahisi hivi.

Inakuwaje mtu anatunza fisi na hadi kuiwekea alama, ina maana wako wengi sana wanaofugwa lakini pia hii inamaanisha inamnufaisha kwa mambo yake anayojua mwenyewe so hataki ipotee kirahisi rahisi

SOMA PIA:
Hapo ujue watu wamepoteza v8 zao hivi hivi
 
Ni kweli sio kawaida kwa mambo ya namna hiyo kutokea kwa fisi wa kushirikiana kuuwawa kwa wingi huo! Kuna kitu kimefanyika kuharibu nguvu yao. Hakuna kingine isipokuwa sala na maombi sahihi na yenye nguvu ya Wakristo wa kweli. Kuna mengi sana yatafunguka na watu watashangaa.
Technical banch kuna mahala watakuwa walijisahau kwa upande wa wamiliki wa N7
 
Hao ni fisi, wajue pia kuna vitendea kazi vingine kama paka, bundi. Mbweha, mamba, wadudu, hao nao watawasaka na kuwakamata? Lini serikali imeanza kuamini mambo ya kishirikina, kichawi, kipepo na kishetani? Kama ndio inajiingiza kuharibu mitandao yao?
Acha kujidanganya!Serikali ni wananchi na wananchi Ndio serikali.fisi wa aina hii watafutika Hakika.
 
Back
Top Bottom