Hii ya fisi 17 wenye chapa kuuliwa sio bure kuna sehemu na namna mitambo ilitingishwa.

Hii ya fisi 17 wenye chapa kuuliwa sio bure kuna sehemu na namna mitambo ilitingishwa.

Itirima huko kuna matatizo mengi yani huko waganga ni wengi kuliko wakazi wa kawaida . Kiufupi ni kwamba hapo kulitokea tatizo la kiufundi.
... na waganga wa huko wamejikita kutatua tatizo la mteja mmojammoja na sio kumaliza tatizo lote, kwa minajili ya kulinda ajira zao!
Russia ikitoweka Waunda silaha wa Marekani watakula wapi?
🤣
 
Serikali wanaua fisi waliokuwa wanasumbua wananchi na hata wewe umeona fisi physically by your naked eyes, sasa huo uchawi unaousema serikali inajiingiza ni upi?
basi itoshe kusema hao fisi wanaouliwa na serikali ni fisi halisi na si wa kichawi/kishirikina kwani serikali haiamini uchawi/ushirikina
 
Back
Top Bottom