LGE2024 Hii ya Samia kupanga foleni kujiandikisha inafikirisha kidogo

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
SIjui wanatuonaje hawa watu
 
Hahahaah ukiangalia vizuri kwenye foleni ni wazee watupu, what does this imply???
 
Wanasiasa kila wakiona kamera,zinashuka chini! Kwa kuwa naye ni mwanasiasa wala hili halifikirishi
 
Wanasiasa kila wakiona kamera,zinashuka chini! Kwa kuwa naye ni mwanasiasa wala hili halifikirishi
Camera zingemfata popote hata asingepanga foleni tungejua amejiandikisha
 
Utaratibu wa kupata kitambulisho chake cha upiga kura upoje maana nimejiandisha lakini sina kitambulisho.
 
Utaratibu wa kupata kitambulisho chake cha upiga kura upoje maana nimejiandisha lakini sina kitambulisho.
Nadhani kulikuwa na muda wa kuboresha daftari la wapiga kura. Muda umeisha..
Bila kitambulisho utapigaje kura? Subiri wataalam waje kukupa jibu
 
Angetaka kwenda mbele ya msitari angeweza.
na pia sio hawakumpisha bali yeye aliamua hivyo.

Kwani akina Nyerere na Alihassan mwinyi siwalifanya kama hivyo.
 
 
Angetaka kwenda mbele ya msitari angeweza.
na pia sio hawakumpisha bali yeye aliamua hivyo.

Kwani akina Nyerere na Alihassan mwinyi siwalifanya kama hivyo.
Wewe ulikuwepo wakati anaamua?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…