LGE2024 Hii ya Samia kupanga foleni kujiandikisha inafikirisha kidogo

LGE2024 Hii ya Samia kupanga foleni kujiandikisha inafikirisha kidogo

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
So?
Kama alipishwa barabarani halafu hapa akaja kupanga foleni bado kichekesho ni kile kile
Kichekesho kwa Sababu kafanya Samia. Lakini Nyerere , Mkapa , Magufuli wote walifanya hivyo na hakuna alosema.
Wacheni chuki za kijinga
 
Kichekesho kwa Sababu kafanya Samia. Lakini Nyerere , Mkapa , Magufuli wote walifanya hivyo na hakuna alosema.
Wacheni chuki za kijinga
Hivi sasa kufuga chawa na vyawa ndio mtindo mupya Mwl. aliweza kumuumbua chawa bila kujali kama masihara ila chawa au vyawa wamesha umbuka.Mfano anatembelea eneo lako la kazi unaanda mazingira tofauti na uhalisia wa siku zote.Tarajia kuumbuka nje nje,sii wakati huu wa miradi ya ufugaji chawa.
 
Kichekesho kwa Sababu kafanya Samia. Lakini Nyerere , Mkapa , Magufuli wote walifanya hivyo na hakuna alosema.
Wacheni chuki za kijinga
Kila mtu alisemwa kwa muda wake. Huu ni muda wa samia.
Hao marehemu uliowataja hawapo kujitetea
 
Back
Top Bottom