Mbona hio hela ndogo sana kimahesabu. Kwa $500 kila siku maana kwa mwezi tu una around 30-35 millions kwa rate ya sasa. Hapo unazungumzia 360M au zaidi kwa mwaka ukienda miaka mitatu tu ukija we una zaidi ya Billion moko. Mtu akienda mwaka tu akirudi amenyoosa maisha. Mjengo mkali tena location ya maana kabisa.$500 kwa siku.....huku salary yako ipo ksma kawa..suala urudi salama tu...ukikaa miaka 3 si haba ukirudi hukosi 70m to 100m
Ndiyo, blood wife. Mxieew!Akueleze kwani wewe mkewe?
Hesabu zakooo khaas 500 x 30 ni 1500 x2510 ni 3.7mil kwa mwezi...Mwaka 45mil ...plus salary zako...ulizoachaMbona hio hela ndogo sana kimahesabu. Kwa $500 kila siku maana kwa mwezi tu una around 30-35 millions kwa rate ya sasa. Hapo unazungumzia 360M au zaidi kwa mwaka ukienda miaka mitatu tu ukija we una zaidi ya Billion moko. Mtu akienda mwaka tu akirudi amenyoosa maisha. Mjengo mkali tena location ya maana kabisa.
Elewa maana ya kila siku! Je 500 ukizidisha kwa 30 unachopata ni 1,500? Mimi sio Albert Einsten ila akili yangu inakataa hilo jawabu.Hesabu zakooo khaas 500 x 30 ni 1500 x2510 ni 3.7mil kwa mwezi...Mwaka 45mil ...plus salary zako...ulizoacha
Nimekosea kwa siku 150 mkuu sahihisha huko koteElewa maana ya kila siku! Je 500 ukizidisha kwa 30 unachopata ni 1,500? Mimi sio Albert Einsten ila akili yangu inakataa hilo jawabu.
Hela ndefu sana hiyo.Mbona hio hela ndogo sana kimahesabu. Kwa $500 kila siku maana kwa mwezi tu una around 30-35 millions kwa rate ya sasa. Hapo unazungumzia 360M au zaidi kwa mwaka ukienda miaka mitatu tu ukija we una zaidi ya Billion moko. Mtu akienda mwaka tu akirudi amenyoosa maisha. Mjengo mkali tena location ya maana kabisa.
Hela ya maanaHela ndefu sana hiyo.
Waache waende,siyo kila siku kufyeka nyasi makambini!Habari zinaonyesha Tanzania tunapeleka wanajeshi Congo kwa mwamvuli wa sadc,
Na kama tujuavyo wanajeshi watanzania pekee ndio huwa kwenye wakati mgumu kwani
hupangiwa sehemu korofi hasa njia za kupita waasi huku wengine wakijipangia sehemu zenye
wingi wa madini na kuishia kutajirisha nchi zao, huku sisi tukirudisha miili kwenye mabegi
na kuongeza yatima na wajane.
View attachment 2858228
Congo ni kubwa jinga la AfrikaCongo inashindwaje ku train kikosi maalum cha askari 10,000 kilichojaa wazalendo halafu kiingie kazini pamoja na jeshi la kawaida?
Anyway, sisi maslahi yetu ni Burundi salama at any cost, sababu kuu ni kwamba tuna SGR ambayo tunataka ifanye kazi, ole wake atakayechezea amani ya Burundi, Burundi ni njia ya kupeleka mzigo DRCongo
Kwa Wa Tz nadhani wao wanafurahia posho....marupurupu ...kuingia chimbo kufanya biashara ni risk kubwa sana......silaha sio biashara lele mama inahitaji pesa network jeshi ....ulinzi vitu vingi na hatari sana....nakubali dhahabu kwa wachimbaji wadogo wadogo....ukiji mix ukakosea umeishaaHakuna mwanajeshi iwe wa ncho yoyote ya Afrika au wa kutokea kwengine kokote duniani au iwe raia wa kikundi chochote cha Kimataifa ambae hataki kupelekwa Kongo, tena wanaombea wapangiwe kwenda huko na wapo tayari hata kulipia kupelekwa huko.
Huko mali nje nje. Kuna biashara kuu nne wanafaidika nazo wanaopelekwa huko 1) madini ikiwemo na dhahabu 2) madawa ya kulevya 3) pesa za kigeni 4) silaha.
Nioneshe mwanajeshi mmoja anaelalamika kupelekwa huko.
wanaopiga biashara wapo, siyo hivyo vikuruti. Maafisa wanalamba pesa nyingi sana kwa hizo biashara haramu.Kwa Wa Tz nadhani wao wanafurahia posho....marupurupu ...kuingia chimbo kufanya biashara ni risk kubwa sana......silaha sio biashara lele mama inahitaji pesa network jeshi ....ulinzi vitu vingi na hatari sana....nakubali dhahabu kwa wachimbaji wadogo wadogo....ukiji mix ukakosea umeishaa
Hauwa hurumii kushinda umevaa bullet proof, wanarudi migongo imechokaWache wakapigane (vita) ndio kazi walio ichagua hiyo.
Duuh! Kumbe tunaweza kutoa milionea mjedawanaopiga biashara wapo, siyo hivyo vikuruti. Maafisa wanalmba pesa nyingi sana kwa hizo biashara haramu.
Hapa umenenaKwa Wa Tz nadhani wao wanafurahia posho....marupurupu ...kuingia chimbo kufanya biashara ni risk kubwa sana......silaha sio biashara lele mama inahitaji pesa network jeshi ....ulinzi vitu vingi na hatari sana....nakubali dhahabu kwa wachimbaji wadogo wadogo....ukiji mix ukakosea umeishaa
DuuhCongo ni kubwa jinga la Afrika
Hilo Chaka la Mozambique, soldiers wa Rwanda ndio Chaka lao la kupigia maokoto. Ila wamepiga kazi aisee, Cabo delgado wameweza kuituliza.Acha wafanye Kazi kulinda Amani.....hapa wapo tu...kuna full amani sasa kuna Chaka limgine Msumbiji huko hatariii
Labda ma-senior(officers) hawa wanaoitwa wapigaji wanarudi na hela kiduchuHakuna mwanajeshi iwe wa ncho yoyote ya Afrika au wa kutokea kwengine kokote duniani au iwe raia wa kikundi chochote cha Kimataifa ambae hataki kupelekwa Kongo, tena wanaombea wapangiwe kwenda huko na wapo tayari hata kulipia kupelekwa huko.
Huko mali nje nje. Kuna biashara kuu nne wanafaidika nazo wanaopelekwa huko 1) madini ikiwemo na dhahabu 2) madawa ya kulevya 3) pesa za kigeni 4) silaha.
Nioneshe mwanajeshi mmoja anaelalamika kupelekwa huko.