Duc in altum
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 1,781
- 3,591
- Thread starter
-
- #41
Ile kwa Rwanda imekuwa rahisi kwa sababu wako mbali na nyumbaniHilo Chaka la Mozambique, soldiers wa Rwanda ndio Chaka lao la kupigia maokoto. Ila wamepiga kazi aisee, Cabo delgado wameweza kuituliza.
Wabongo wengi wapo zaidi 5000 wako huko hadi polisi wapo....Jamaa zangu wengi walikuwa Lebanon....DRC ....Hilo Chaka la Mozambique, soldiers wa Rwanda ndio Chaka lao la kupigia maokoto. Ila wamepiga kazi aisee, Cabo delgado wameweza kuituliza.
Kipindi cha kabila alijaribu kutaka kutuma Askari wake wafanyiweCongo inashindwaje ku train kikosi maalum cha askari 10,000 kilichojaa wazalendo halafu kiingie kazini pamoja na jeshi la kawaida?
Anyway, sisi maslahi yetu ni Burundi salama at any cost, sababu kuu ni kwamba tuna SGR ambayo tunataka ifanye kazi, ole wake atakayechezea amani ya Burundi, Burundi ni njia ya kupeleka mzigo DRCongo
Norway kuna changamoto Gani za kiusalama kuhitaji walinda Amani!?Labda ma-senior(officers) hawa wanaoitwa wapigaji wanarudi na hela kiduchu
huku migongo ikiwa imeumizwa kwa kushinda na bullet proof kila siku.
Sehemu nayo jua huwa wanapambania kwenda ni Norway hadi wadada.
Nilimaanisha Lebanon mkuuNorway kuna changamoto Gani za kiusalama kuhitaji walinda Amani!?
Acha wakapate pesa tuD.R .C siyo hatari kiviiilee.... ambako ni hatari ni kama Somalia,ambako Mu7 amewapeleka wanajeshi wake.D.R.C wana asilimia zaidi ya 99,ya kurudi salama.Acha waende wakapate pesa,waje wachukulie mademu wakirudi.
Mnadanganyana humu$500 kwa siku.....huku salary yako ipo ksma kawa..suala urudi salama tu...ukikaa miaka 3 si haba ukirudi hukosi 70m to 100m
Sehemu rahisi ni Sudan na Lebanon kule wanaenda kufanya peace keepingD.R .C siyo hatari kiviiilee.... ambako ni hatari ni kama Somalia,ambako Mu7 amewapeleka wanajeshi wake.D.R.C wana asilimia zaidi ya 99,ya kurudi salama.Acha waende wakapate pesa,waje wachukulie mademu wakirudi.
Kazi ya jeshi au kupigana vita sio nyepesi kama unavyofikiria nikama ulivyo mpira usifikiri ni kupiga tuu golini unahitaji uziefu na sio chini ya miaka kadhaa.Congo inashindwaje ku train kikosi maalum cha askari 10,000 kilichojaa wazalendo halafu kiingie kazini pamoja na jeshi la kawaida?
Anyway, sisi maslahi yetu ni Burundi salama at any cost, sababu kuu ni kwamba tuna SGR ambayo tunataka ifanye kazi, ole wake atakayechezea amani ya Burundi, Burundi ni njia ya kupeleka mzigo DRCongo
Kwahiyo wanawauzia silaha waasi?wanaopiga biashara wapo, siyo hivyo vikuruti. Maafisa wanalamba pesa nyingi sana kwa hizo biashara haramu.
Acha waende huku hawana kazi wananenepeana bure bila kaziHabari zinaonyesha Tanzania tunapeleka wanajeshi Congo kwa mwamvuli wa sadc,
Na kama tujuavyo wanajeshi watanzania pekee ndio huwa kwenye wakati mgumu kwani
hupangiwa sehemu korofi hasa njia za kupita waasi huku wengine wakijipangia sehemu zenye
wingi wa madini na kuishia kutajirisha nchi zao, huku sisi tukirudisha miili kwenye mabegi
na kuongeza yatima na wajane.
View attachment 2858228
Wacha waende kufanya kazi waliochaguwa,imezoeleka mwanajeshi mpaka anasitaaf hajui vita ndio maana wanajikukulia sheria mkononi kupiga kutesa raia.Habari zinaonyesha Tanzania tunapeleka wanajeshi Congo kwa mwamvuli wa sadc,
Na kama tujuavyo wanajeshi watanzania pekee ndio huwa kwenye wakati mgumu kwani
hupangiwa sehemu korofi hasa njia za kupita waasi huku wengine wakijipangia sehemu zenye
wingi wa madini na kuishia kutajirisha nchi zao, huku sisi tukirudisha miili kwenye mabegi
na kuongeza yatima na wajane.
View attachment 2858228
Fact, nakumbuka wanajeshi wetu walipo fika Uganda kwenye office ya intelligenceKazi ya jeshi au kupigana vita sio nyepesi kama unavyofikiria nikama ulivyo mpira usifikiri ni kupiga tuu golini unahitaji uziefu na sio chini ya miaka kadhaa.
pesa ndio kila kitu.Habari zinaonyesha Tanzania tunapeleka wanajeshi Congo kwa mwamvuli wa sadc,
Na kama tujuavyo wanajeshi watanzania pekee ndio huwa kwenye wakati mgumu kwani
hupangiwa sehemu korofi hasa njia za kupita waasi huku wengine wakijipangia sehemu zenye
wingi wa madini na kuishia kutajirisha nchi zao, huku sisi tukirudisha miili kwenye mabegi
na kuongeza yatima na wajane.
View attachment 2858228
Angalau wakaonje raha ya mshahara waoWacha waende kufanya kazi waliochaguwa,imezoeleka mwanajeshi mpaka anasitaaf hajui vita ndio maana wanajikukulia sheria mkononi kupiga kutesa raia.
Nani tena apigweNiwakati sasa apigwe masase bila kumpumuzika mpaka ndani kwake abukimbielie buko Bunganda na masase yamufuate mupaka bukimbiee mumapori ya Sudan
Ukiona vita ni pesa zaidi ya 500$ mil zimetengwa kwa akili hiyopesa ndio kila kitu.
Na kama tujuavyo wanajeshi watanzania pekee ndio huwa kwenye wakati mgumu kwani
hupangiwa sehemu korofi hasa njia za kupita waasi huku wengine wakijipangia sehemu zenye
Sasa wewe njoo huku, ukirud unajenga ghorofa kariakoo ya hapo ArushaWaache waende
Ila wakirudigi hawasemi wamekuja na sh ngapi.
Bro alienda karudi, kanunua dualis
Sis alienda Lebanon, karudi kaanza msingi mpk finishing non stop.
Cha kuwaombea ni afya njema.