Hii ya Tanzania Kupeleka wanajeshi Congo imekaaje!?

Hii ya Tanzania Kupeleka wanajeshi Congo imekaaje!?

Duc in altum

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2021
Posts
1,781
Reaction score
3,591
Habari zinaonyesha Tanzania tunapeleka wanajeshi Congo kwa mwamvuli wa SADC. Na kama tujuavyo wanajeshi watanzania pekee ndio huwa kwenye wakati mgumu kwani hupangiwa sehemu korofi hasa njia za kupita waasi huku wengine wakijipangia sehemu zenye wingi wa madini na kuishia kutajirisha nchi zao, huku sisi tukirudisha miili kwenye mabegi na kuongeza yatima na wajane.
20231231_101742.jpg
 
Habari zinaonyesha Tanzania tunapeleka wanajeshi Congo kwa mwamvuli wa sadc,
Na kama tujuavyo wanajeshi watanzania pekee ndio huwa kwenye wakati mgumu kwani
hupangiwa sehemu korofi hasa njia za kupita waasi huku wengine wakijipangia sehemu zenye
wingi wa madini na kuishia kutajirisha nchi zao, huku sisi tukirudisha miili kwenye mabegi
na kuongeza yatima na wajane.
View attachment 2858228
Huko Congo vita vitaisha link
 
Congo inashindwaje ku train kikosi maalum cha askari 10,000 kilichojaa wazalendo halafu kiingie kazini pamoja na jeshi la kawaida?

Anyway, sisi maslahi yetu ni Burundi salama at any cost, sababu kuu ni kwamba tuna SGR ambayo tunataka ifanye kazi, ole wake atakayechezea amani ya Burundi, Burundi ni njia ya kupeleka mzigo DRCongo
 
Habari zinaonyesha Tanzania tunapeleka wanajeshi Congo kwa mwamvuli wa sadc,
Na kama tujuavyo wanajeshi watanzania pekee ndio huwa kwenye wakati mgumu kwani
hupangiwa sehemu korofi hasa njia za kupita waasi huku wengine wakijipangia sehemu zenye
wingi wa madini na kuishia kutajirisha nchi zao, huku sisi tukirudisha miili kwenye mabegi
na kuongeza yatima na wajane.
View attachment 2858228
Kazi nzuri ndio kiboko ya Kagame hao anawajua
 
D.R .C siyo hatari kiviiilee.... ambako ni hatari ni kama Somalia, ambako Mu7 amewapeleka wanajeshi wake. D.R.C wana asilimia zaidi ya 99, ya kurudi salama. Acha waende wakapate pesa,waje wachukulie mademu wakirudi.
 
Waache waende
Ila wakirudigi hawasemi wamekuja na sh ngapi.
Bro alienda karudi, kanunua dualis

Sis alienda Lebanon, karudi kaanza msingi mpk finishing non stop.

Cha kuwaombea ni afya njema.
$500 kwa siku.....huku salary yako ipo ksma kawa..suala urudi salama tu...ukikaa miaka 3 si haba ukirudi hukosi 70m to 100m
 
Habari zinaonyesha Tanzania tunapeleka wanajeshi Congo kwa mwamvuli wa sadc,
Na kama tujuavyo wanajeshi watanzania pekee ndio huwa kwenye wakati mgumu kwani
hupangiwa sehemu korofi hasa njia za kupita waasi huku wengine wakijipangia sehemu zenye
wingi wa madini na kuishia kutajirisha nchi zao, huku sisi tukirudisha miili kwenye mabegi
na kuongeza yatima na wajane.
View attachment 2858228
Unalalamika kutoka kijiweni kama malaya alonyimwa pesa baada ya kazi yake haramu.
Tuache tukaikomboe DRC kutoka kwa Kagamee
 
Wewe fala tu. Unalalamika kutoka kijiweni kama malaya alonyimwa pesa baada ya kazi yake haramu.
Tuache tukaikomboe DRC kutoka kwa Kagamee
Kama inajulikana kua Kagame ndo anasumbua kule D.R.C, kwanini asifuatwe moja kwa moja, kuliko kuzunguka?

Inaonekana jamaa ni mkali wa hizi kazi, yaani S.A,Tz, Malawi n.k wanapambana na Rais mmoja, aisee.
 
Waache waende
Ila wakirudigi hawasemi wamekuja na sh ngapi.
Bro alienda karudi, kanunua dualis

Sis alienda Lebanon, karudi kaanza msingi mpk finishing non stop.

Cha kuwaombea ni afya njema.
Nyie kwenu mmejaa wajeda tu, naomba connection?
 
Congo inashindwaje ku train kikosi maalum cha askari 10,000 kilichojaa wazalendo halafu kiingie kazini pamoja na jeshi la kawaida?

Anyway, sisi maslahi yetu ni Burundi salama at any cost, sababu kuu ni kwamba tuna SGR ambayo tunataka ifanye kazi, ole wake atakayechezea amani ya Burundi, Burundi ni njia ya kupeleka mzigo DRCongo

Such team wanazo, it bureaucracy za nchi is why they dont want to deploy such forces
 
Back
Top Bottom