Hijjah ni mpango wa waarabu kupiga hela kupitia utalii, haina uhusiano na kwenda mbinguni siku ya kiyama

Wewe tuachie Uislam wetu. Tumeridhia Allah kuwa Mola wetu na tumeridhia Uislam kuwa Dini na tumeridhia Muhammad (Swala na Salamu ziwe juu yake) kuwa Nabii na Mtume.

Wala usiminyane. Tunajivunia hilo. Na kufa katika Uislam ni Heshima na Neema kwetu.
Sawa nimeelewa mkuu endeleeni kuf kwa raha zenu
 
Ni wivu tu
 
Ushajikatia tamaa. Hiko ndicho ulichobaki nacho katika vitimbi masikini.
Usinitupie majini tu maana hamchelewi Mimi nimeuliza kwa wema tu kwamba kweli km sio Nabii na Mtume mboni hatusikii nyinyi mkikemea kwamba hicho Cheo ni cha Mohamed asijivike Cheo kisicho chake
 
Hayo tuwaachie wenye Imani yao, either right or not, only God knows.
 
Masikini ya mungu upo zako kantalamba unawafundisha wasomi na waliobarikiwa jinsi ya kumuabudu mungu wao, huku wewe unaenda kukanyaga mafuta kawe jumapili
HIvi hamjionei hata huruma kabla ya kuanzishaga hizi nyuzi zenu?
 

Attachments

  • Screenshot_20240623-111507_Chrome.jpg
    318.8 KB · Views: 4
  • Screenshot_20240623-111249_Chrome.jpg
    101.8 KB · Views: 5
Daaah sijui hili kama ni kweli
 
Masikini ya mungu upo zako kantalamba unawafundisha wasomi na waliobarikiwa jinsi ya kumuabudu mungu wao, huku wewe unaenda kukanyaga mafuta kawe jumapili
HIvi hamjionei hata huruma kabla ya kuanzishaga hizi nyuzi zenu?
Hijja yangu nafanyia kizuramimba chini ya mbuyu
 
 
Umeandika ujinga hadi nimesikitika sana
 
Mbora wa viumbe mtume Muhammad. Unakwenda kumpa salam kwenye kaburi lake lililopo msikiti, kwenda kuangalia historia ya uislamu na waislam. Kuna mambo mengi sana kwenye hajii kwa WENYE IMANI binafsi nitakuja kwenda.
Kumsalimia mtume!?? Hivi inatofauti gani na kuomba mizimu ya mababu zetu!? [emoji848]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…