Hijjah ni mpango wa waarabu kupiga hela kupitia utalii, haina uhusiano na kwenda mbinguni siku ya kiyama

Hijjah ni mpango wa waarabu kupiga hela kupitia utalii, haina uhusiano na kwenda mbinguni siku ya kiyama

Huna hoja zaidi ya porojo ulizoziandika

Al qaaba na mji wa Makkah umekuwa mtukufu tangu enzi na enzi na ibada ya hijjah imeanza tangu enzi hizo
Nilitarajia hoja zako zitaanzia huko ila hata sijui umeandika nini.
 
Nikujulishe tu hakuna atakayechomwa moto kisa hakwenda hijja,
MIMI naishi na Imani ya Wakolosai unaambiwa

Wakolosai 2:20-22

20 Kwa nini, basi, kuishi tena kama vile mngekuwa wa ulimwengu huu? Ya nini kuwekewa masharti:

21 “Msishike hiki,” “Msionje kile,” “Msiguse kile!”

22 Mambo hayo yote yanahusika na vitu vyenye kuharibika mara tu vinapotumiwa; hayo ni maagizo na mafundisho ya kibinadamu tu.
 
Huna hoja zaidi ya porojo ulizoziandika

Al qaaba na mji wa Makkah umekuwa mtukufu tangu enzi na enzi na ibada ya hijjah imeanza tangu enzi hizo
Nilitarajia hoja zako zitaanzia huko ila hata sijui umeandika nini.
Kama ni enzi na enzi basi ni ibada ya kishetani maana uislam umeanza juzijuzi tu karne ya sita au ya saba
 
Hija ni moja ya ngozo katika dini ya kiislam.
Nguzo nyingine ni shahada,swalat,swaumu na zakat,

Tofauti na Sunni,dhehebu la shia katika mafundisho yao hawafundishi shahada kama nguzo ya kiislam,shahada ni kama kukiri kwa kinywa chako kuwa hakuna Mungu mwingine ila Allah na Mohamad ni mtume wake

Hijjah ni nguzo iliyokaa kimtego mtego maana inabagua kati ya masikini na wenye uwezo ,tofauti na nguzo nyingine,huwezi kwenda hijjah kama uchumi wako ni mdogo,sasa Allah hawezi kuwa mbaguzi kwa waja wake kwa kiasi hicho.matokeo yake inaonekana kama ni sunna,sunna ni kitu ukifanya sio dhambi na usipofanya pia sio dhambi.

Nikujulishe tu hakuna atakayechomwa moto kisa hakwenda hijja,

hijja ni project ya waarabu kupiga hela za utaliikupitia waumini wake,
Mwaka 2022 Saudia iliingiza dola bilioni 150 kupitia religious tourism hasa hijja,takribani trilioni 400 za kitanzania,
Saudi Arabia inaweza kuendesha nchi kupitia hijjah peke yake kama chanzo cha uchumi bila kutegemea sekta nyingine na chenji ikabaki.

Si ajabu Hijjah asili yake ni matambiko ya waarabu wa kale sema wameigeuza na kuonekana ni something spiritual matokeo yake Allah kushikwa hasira hadi kupelekea vifo vya mahujaj kila mwaka
Mkubwa mzima unaongelea imani za watu na huna hata ujuzi huu ni ushamba wa kijinga sana.
Nguzo ya tano katika dini tukufu Ya Mwenyezimungu inasema "Kuhiji katika nyumba tukufu Makka kwa mwenye kuweza kuiendea nyumba hiyo",

And lastly, kuna swaumu ya Arafa, kwa walioshindwa kuiendea nyumba tukufu ya Mwenyezimungu tuna sunna ya kufunga siku ya Arafa (Hajj).

Kama wewe huamini it's better ukakaa kimya, hakuna atakayeingilia imani yako, ¡pendejo !
 
Hija ni moja ya ngozo katika dini ya kiislam.
Nguzo nyingine ni shahada,swalat,swaumu na zakat,

Tofauti na Sunni,dhehebu la shia katika mafundisho yao hawafundishi shahada kama nguzo ya kiislam,shahada ni kama kukiri kwa kinywa chako kuwa hakuna Mungu mwingine ila Allah na Mohamad ni mtume wake

Hijjah ni nguzo iliyokaa kimtego mtego maana inabagua kati ya masikini na wenye uwezo ,tofauti na nguzo nyingine,huwezi kwenda hijjah kama uchumi wako ni mdogo,sasa Allah hawezi kuwa mbaguzi kwa waja wake kwa kiasi hicho.matokeo yake inaonekana kama ni sunna,sunna ni kitu ukifanya sio dhambi na usipofanya pia sio dhambi.

Nikujulishe tu hakuna atakayechomwa moto kisa hakwenda hijja,

hijja ni project ya waarabu kupiga hela za utaliikupitia waumini wake,
Mwaka 2022 Saudia iliingiza dola bilioni 150 kupitia religious tourism hasa hijja,takribani trilioni 400 za kitanzania,
Saudi Arabia inaweza kuendesha nchi kupitia hijjah peke yake kama chanzo cha uchumi bila kutegemea sekta nyingine na chenji ikabaki.

Si ajabu Hijjah asili yake ni matambiko ya waarabu wa kale sema wameigeuza na kuonekana ni something spiritual matokeo yake Allah kushikwa hasira hadi kupelekea vifo vya mahujaj kila mwaka
Binadamu na dini zake!
Utapeli mtupu!
 
Back
Top Bottom