Hijjah ni mpango wa waarabu kupiga hela kupitia utalii, haina uhusiano na kwenda mbinguni siku ya kiyama

Hijjah ni mpango wa waarabu kupiga hela kupitia utalii, haina uhusiano na kwenda mbinguni siku ya kiyama

Mtume sio binadamu wa kawaida. Ana cheo cha kipekee. Ndo maana mafundisho yake yanabaki milele. Na ukienda kumtolea salam aatakuitikia.
Alafu kifo ni kawaida. maeneo ya jangwa yana joto sana. Imetokea ajali kama ajali nyingine za magari,au trying au tetemeko la ardhi n.k.
Kwa hyo usiweke chuki zako za juu ya uislamu kisa watu kufa hajj.
Maana hayo majanga yapo.
Sijaweka chuki mkuu maana wanatimiza jambo la kiimani, ila wanakufa kila mwaka mkuu, au la kufa sio muhimu?

Mwamposa walikufa kama 20 waking'ang'ania mafuta yaliongelewa maneno mingi, saa huku kila mwaka wanakufa au na yenyewe ni sehemu ya ibada, ukishasema tu wanakufa kwa sababu ya joto na hali ya hewa inatosha
 
mimi ni mfia dini(islam)
ila kwa hapa sipingi,mwarabu kuna ujanja aliuzidisha kwenye hili,ukitoa lile la kutumia kiarabu kwenye masuala yote yanayohusu dini...anatutesa sana waswahili wafuata mkumbo..
 
Kwa akili ya kawaida kabisa unaona ule ni kama wendawazimu, eti kwenda kushika kaburi sijui ujinga gani huku unaongea kiarabu.

Dini zinapumbaza sana watu. Unakuta mtu ana phd yake kabisa anaenda kufanya ule uendawazimu. Nina boss wangu mwaka jana alienda akakaa mwezi mzima, amerudi anajiita alhadji, moyoni nikacheka sana kweli nikakumbuka vyeo hata wajinga wanapata tu.
 
Sijaweka chuki mkuu maana wanatimiza jambo la kiimani, ila wanakufa kila mwaka mkuu, au la kufa sio muhimu?

Mwamposa walikufa kama 20 waking'ang'ania mafuta yaliongelewa maneno mingi, saa huku kila mwaka wanakufa au na yenyewe ni sehemu ya ibada, ukishasema tu wanakufa kwa sababu ya joto na hali ya hewa inatosha
Mbona haushangai watu wakifa kwenye tetemeko la ardhi au mafuriko?
 
Mbona haushangai watu wakifa kwenye tetemeko la ardhi au mafuriko?
Hayo ni majanga na hayatokei kila mwaka, lakini Hija ni kila mwaka lazima vifo viripotiwe, na kwanini hayo majanga yatokee mwezi wa Hija kila mwaka? na kusiwe hata tahadhari zinazotolewa kila mwaka sababu iwe ile ile hali ya hewa tu? ndo maana nikauliza kama kufa ni sehemu ya ibada!
 
ulishawahi kusikia lini tetemekonla ardhi limetolewa taarifa kuwa litatokea watu wahame?
Mkuu tetemeko likitokea na kuleta madhara serikal huchukua hatua, moja kuwaambia watu wahame maeneo ambayo tetemeko limeleta athari kubwa, lakini pia ujenzi wa majengo marefu maeneo hayo huzuiwa ili pengine likitokea tena lisilete madhara, lakini mafuriko watu wanaambiwa kuwa mvua zitanyesha kwa kiwango hiki na zinatarajiwa kuleta madhara haya watu wa mabondeni hameni mapema, hali kadhalika Kimbunga hayo ni majanga ya asili.

Huko Hija kila mwaka watu wanakufa kwa sababu ile ile hali ya hewa, basi kama imeonekana hali ya hewa ni tatizo mahali hapo hamieni sehemu zingine ambao hali ya hewa haitaleta shida kwa waumini
 
Mkuu tetemeko likitokea na kuleta madhara serikal huchukua hatua, moja kuwaambia watu wahame maeneo ambayo tetemeko limeleta athari kubwa, lakini pia ujenzi wa majengo marefu maeneo hayo huzuiwa ili pengine likitokea tena lisilete madhara, lakini mafuriko watu wanaambiwa kuwa mvua zitanyesha kwa kiwango hiki na zinatarajiwa kuleta madhara haya watu wa mabondeni hameni mapema, hali kadhalika Kimbunga hayo ni majanga ya asili.

Huko Hija kila mwaka watu wanakufa kwa sababu ile ile hali ya hewa, basi kama imeonekana hali ya hewa ni tatizo mahali hapo hamieni sehemu zingine ambao hali ya hewa haitaleta shida kwa waumini
Kwa hyo unataka watu wasitekeleza ibada kisa wanakufa?
Hapo nisawa na kuzuia kuendesha magari kisa kuna ajali. Mzee hija itabaki siku zote mpaka kiama kinasimama.suala la kufutwa hija msahau
 
Back
Top Bottom