BoyOfGod
JF-Expert Member
- Jan 3, 2019
- 1,055
- 1,572
Ooh poleni BwanaHyo ni ajali kama ajali nyingine. Jua kuwa kali ni kawaida kwa maeneo ya jangwani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ooh poleni BwanaHyo ni ajali kama ajali nyingine. Jua kuwa kali ni kawaida kwa maeneo ya jangwani.
Na hapo jina lako limesadifu ulichokiandikaKwenda kuhijj maka kwa mwenye uwezo.
Kama uwezo unao na hautaki kwenda unapata dhambi. Alafu unakataa vipi kwenda kumsalimia mtume?
Kwenye bustani ndipo watu hupata kuburudisha nyoyo zao. Peponi.Kumbe
Ukiingia kwenye umauti ndiyo utajuwa ilipo, bahati mbaya mie bado sijafika kwenye umauti.Hiyo bustani iko wapi sasa
Kumbe wanaenda kumsalimia mtumeKwenda kuhijj maka kwa mwenye uwezo.
Kama uwezo unao na hautaki kwenda unapata dhambi. Alafu unakataa vipi kwenda kumsalimia mtume?
Hongera zako.Ipo mbinguni
Unadhani wanaenda kumsalimia yesu?Kumbe wanaenda kumsalimia mtume
Nilikuwa sijui kuwa wanaenda kumsalimia ntu aliyekufa miaka mingi mpaka na wao wanakufa kwa kukosa hewaUnadhani wanaenda kumsalimia yesu?
itakuwa ndo wanakuwa wamechaguliwa na mtume hao wanaenda moja kwa mojaKwa nini kila mwaka mamia ya watu hufa kwenye hoja? Au ndiyo njia ya kwenda peponi
Na pepo ni nini?"mbinguni" ndiyo wapi? Watu hatutafuti kwenda ?mbinguni", watu tunaamrishana mema na kukatazana maovu kwa kujihakikishia pepo.
Mtume sio binadamu wa kawaida. Ana cheo cha kipekee. Ndo maana mafundisho yake yanabaki milele. Na ukienda kumtolea salam aatakuitikia.Nilikuwa sijui kuwa wanaenda kumsalimia ntu aliyekufa miaka mingi mpaka na wao wanakufa kwa kukosa hewa
Bila kusahau michongo ya kuua albino inatokea parokianiPilipili usioila yakuwashia nini? Yaani asubuhi hii ushafungua Uzi wa kukandia uislamu?
Haya tumekuelewa, amka kapakwe mafuta ufukuliwe mtaro ( hiyo ndio dini)