Hiki anachofanya Masanja Mkandamizaji sio sahihi kabisa

Shule za msingi na sekondari sio sehemu ya kufanyia mambo ya kidini.
 
Vipindi vya dini mashuleni vifutwe
Mkuu serikali haina dini ila inatambua uwepo wa dini na imani za watu, na ndo mana ata mashuleni kuna muda umetengwa maalumu na kuingizwa kwenye time table kwa ajili ya vipindi vya dini.

Apo sidhan kama kuna tatizo
 
Hawa wachunga ng'ombe wana matatizo sana maamae zao wengine wanakula kondoo wengine wanaua waumini wengine wanawafanya mazuzu yaani ilimradi tu ,ila yakikukukuta umeyataka maana umejipeleka mwenyewe kwenye anga zao kama yule umbwa aliyewaua kwa kuwakanyagisha kimiminika kule Moshi. Watu wameacha kufanya kazi wamekua mazuzu wanasubiria eti miujiza mxiuuuuuuuuuuuuuu
 

Masanja ni TAPELI tu na Chawa wa Mwanyika.
 
Anafanya kwa watoto janja janja yake ili waje kuwa waumini wake in the future. Watoto ni Taifa la kesho
 
Anafanya kwa watoto janja janja yake ili waje kuwa waumini wake in the future. Watoto ni Taifa la kesho
Utapaza vipi sauti kwa jamii yako ili iweze kushtukia mchezo wa masanja. Au na ww sauti yako imeminywa
 
Nilidhani una akili kumbe una matope. Pole sana
Matapeli tu nyinyi! Hamna lolote!!! Karne ya 21 hii bado mnawaibia tu watu kupitia hayo mazingaombwe yenu! Masanja ni mchekeshaji tu wa siku zote! Hana tofauti na wachekeshaji wenzake akina Joti, Mpoki, Kingwendu, nk.
 
Huyu uliemjibu hapo juu nae ana kanisa lake huko alipo ss unategemea atakuja hapa kusapoti hili suala?
Cheza na vitu vingine ila nakuonya usicheze na Kanisa la Mungu linaloongwa na nguvu za Roho Mtakatifu.
 
Kama unapenda dini badala kumpenda Mungu endelea hivyo upotevuni.
 
Nilidhani una akili kumbe una matope. Pole sana
Wewe ni mtoto! Utajuaje kama nina akili? Muulize mama yako! Yeye ananifahamu vizuri kama nina akili au matope. Wewe endelea tu kunyonya ili ukue.
 
Hivi kuna wachungai ambao huenda mahospitalini kuwatoa mapepo wagonjwa?
Hao wagonjwa nao huanguka na kugalagala watolewapo mapepo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…