Tetesi: Hiki kinachofanyika hapa kwenye ligi kuu ya bongo ni dhahiri Yanga atakua bingwa kila msimu!

Tetesi: Hiki kinachofanyika hapa kwenye ligi kuu ya bongo ni dhahiri Yanga atakua bingwa kila msimu!

Yule guede goli la kwanza kasaidiwa na kichwa cha yule mchezaji wa singida kusukumiza ndani...yani hii ligi ni utopolo mtupu...
Mnaangalia mpira huku ukiwa na mahaba na usimba badala ya kuujua mpira
 
Mkuu unazungumzia Yanga hiihii iloanza safari ya kumtoa El Merreikh na kuingia hatua ya makundi klabu bingwa?

Yanga ilomfunga Simba goli 5? Yanga ilotoshana nguvu na Al Ahly na Mamelod ikiwa ktk peak yake uwanja wa Benjamin Mkapa mpaka kule South Afrika?

Si ni Yanga hiihii ilomfunga muarabu goli 4 kwa Mkapa? Leo unataka useme Yanga haina ubora wa kuwafunga Singida Fountain Gate?

Tazama tena mechi ya leo, umeyaangalia vizuri yale magoli? Mechi umeiona ilivyokuwa ya kutafutana? Yale magoli unayaona ni ya kununua mkuu?
 
Uliona Yanga imetuma CAF kuwa kipa katoka kwenye mstari kabla ya kupiga penati? Maana ni kama huelewi walichokuwa wanakilalamikia Yanga ni kipi
Historia ya mechi za mchongo ilishia pale kilichopo hapa napo mtachukua ubingwa wenu wa mbeleko maisha yaendelee!
 
Mkuu unazungumzia Yanga hiihii iloanza safari ya kumtoa El Merreikh na kuingia hatua ya makundi klabu bingwa?

Yanga ilomfunga Simba goli 5? Yanga ilotoshana nguvu na Al Ahly na Mamelod ikiwa ktk peak yake uwanja wa Benjamin Mkapa mpaka kule South Afrika?

Si ni Yanga hiihii ilomfunga muarabu goli 4 kwa Mkapa? Leo unataka useme Yanga haina ubora wa kuwafunga Singida Fountain Gate?

Tazama tena mechi ya leo, umeyaangalia vizuri yale magoli? Mechi umeiona ilivyokuwa ya kutafutana? Yale magoli unayaona ni ya kununua mkuu?
Eeeh hiyo hiyo inacheza nusu fainal caf sijui na timu gani vile!
 
Nimeangalia michezo ya Yanga vs Ihefu(Singida black stars) na mchezo wa leo ni hakika hizi timu mbili zipo hapo kumtengenezea Yanga point 12 kila msimu, na hiyo imefanywa kwa makusudi na mmiliki wa hizo timu ambae ni mmoja wa baraza la wadhamini wa Yanga.

wengi wasichokijua nyuma ya pazia mdhamini mkuu wa Yanga yeye ndio master mind wa mchongo wa kununua hizo timu anapenyeza pesa kwa kiongozi wake wa baraza la wadhamini ,
hivyo timu nyingine kila mtakavyopambana jueni Yanga tayari ana point sita mzunguuko wa kwanza na mzunguuko wa pili kwa Singida Fountain na Singida Black.

Mdhamini wa Yanga kaapa hata kama Singida zote zitashuka basi plan yake ni kununua timu tatu nyingine.
TFF nao pia wawe makini kwa kuwa huu mpango sio mzuri kwa afya ya soka la bongo ,huku timu zinashinda kimchongo zikienda huko kimataifa robo fainali ndio mafanikio yao.

Mnaishia kumtukana Motsepe ili hali mnajua magahamu mnayoyafanya, leo mpira kabla haujachezwa tayari unajua kabisa timu fulani inakwenda kufungwa kwa kuzote ni za mmiliki mmoja.
Kiukweli sio poa hata kidogo ligi inapoteza hadhi na mvuto!
Niseme tu, kila zama ina kitabu chake. Kitabu cha Simba kimefungwa misimu mitatu hii. Simba tusipobadilika tutawapa fursa Yanga wachukue Kombe miaka mitano badala ya minne tuliyolibeba sisi. Chop chop! Tuamke!
 
Nimeangalia michezo ya Yanga vs Ihefu(Singida black stars) na mchezo wa leo ni hakika hizi timu mbili zipo hapo kumtengenezea Yanga point 12 kila msimu, na hiyo imefanywa kwa makusudi na mmiliki wa hizo timu ambae ni mmoja wa baraza la wadhamini wa Yanga.

wengi wasichokijua nyuma ya pazia mdhamini mkuu wa Yanga yeye ndio master mind wa mchongo wa kununua hizo timu anapenyeza pesa kwa kiongozi wake wa baraza la wadhamini ,
hivyo timu nyingine kila mtakavyopambana jueni Yanga tayari ana point sita mzunguuko wa kwanza na mzunguuko wa pili kwa Singida Fountain na Singida Black.

Mdhamini wa Yanga kaapa hata kama Singida zote zitashuka basi plan yake ni kununua timu tatu nyingine.
TFF nao pia wawe makini kwa kuwa huu mpango sio mzuri kwa afya ya soka la bongo ,huku timu zinashinda kimchongo zikienda huko kimataifa robo fainali ndio mafanikio yao.

Mnaishia kumtukana Motsepe ili hali mnajua magahamu mnayoyafanya, leo mpira kabla haujachezwa tayari unajua kabisa timu fulani inakwenda kufungwa kwa kuzote ni za mmiliki mmoja.
Kiukweli sio poa hata kidogo ligi inapoteza hadhi na mvuto!
Mbona mnajisahaulisha kuwa mlishakula 5, mlidhaminiwa na nani siku hiyo???
 
Historia ya mechi za mchongo ilishia pale kilichopo hapa napo mtachukua ubingwa wenu wa mbeleko maisha yaendelee!
Iliishia kwa Yanga kudhurumiwa goli na pia Mamelodi kushindwa kupata goli hata la offside. Vipi upande wa timu yako Simba matokeo yake yalikuwaje huko?
 
Mfa maji haishi kutapatapa, niliona makolo walimsakama Tshabalala kuwa ndio chanzo cha kufeli Simba eti hafai kuwa kepteni hana ushawishi, mara limekuja suala la Yanga kununua mechi, mwingine katengeneza list ya mishahara ya wachezaji wa Yanga kaposti, ilimradi fujo tupu si muiache Yanga ishinde mechi zake na Simba kibonde nayo ishinde mechi zake twende sawa.

Kuna elimu inaitwa Rise and Fall theory, ukipanda juu unabweteka walio chini wanakuja juu na kukushusha, hicho ndicho kinatokea kwa Simba hivi sasa, Simba imeporomoka ila mbumbumbu ni wabishi sana kamwe hawataki kukubali ukweli visingizio na fitna tu ndo vimetawala kolokoloni
 
Tukutane tarehe 20 bosi awanunue na nyie , maneno mengi ya nini.

Naam na wakipigwa watoe ushahidi wa hizo team kununuliwa sio blah blah tu wakati team zote hizo hadi kupigwa ni uwezo ndo umesababisha sio hela!

Mllivyokula zile 5 nani alipokea hela huko 5imba?


Kenge wa msimbazi bado hawajasema.
 
Mwisho wa siku mtajikuta timu zote mdhamini ni GSM mtashinda vizuri ila kiboko yenu south na wale marefa wenye akili wa caf!
Sasa nyie juzi na mashujaa dk 57 wanacheza pungufu mnashindwa kufunga,mkapigwa kwenye matuta,ile mechi mliyo cheza Moro dk ya 60+ wako pungufu mkapigwa.Sasa hapa tusemeje na zote mkapigwa. South kwani walitufanya nini Mamelod....... eti au na nyie kiboko yenu Mashujaa.

Kwa aina ya mashabiki hii kama nyie Mangungu na Try Again wataendelea kuwambia mafanikio yenu ni kufungua account ya WhatsApp na Kibegi. Yaani hata kuuchambua mpira hujui.
 
Mamelodi wapo nusu fainal!
Mindset Kama zako ndio zinafanya Yanga azidi kuchukua ubingwa na wenda akacheza nusu fainali mapema zaidi kuliko si simba. Si mashabik wa Simba sijui tuna matatizo gan kichuani kutwa tupo kubeza ubora wa Yanga kwa maneno ya kupotoshwa at wananunua Mechi!!!! How??? Yaani timu inacheza mpira imetulia kabisaa na wachezaji wake wanajituma huk tunaona afu anatokea mtu mmoja kutuaminisha ujinga na sisi tunajaa. Yanga ya sasa inamfunga yoyote hapa Afrika how tukazane kusema sijui Singida au nani wameuza mechi kwa kigezo kipi??? Kwamba yanga hawana uwezo wa kuifunga Singida Fountain Gate??

Ni upumbavu tuu umetujaa, Tunaacha kuandaa tim yetu tupo bize na Propaganda za kipuuzi Mara Mayele, Mara Azam wamefuta hik, Mara Ubuntu Botho upuuzi tuu. Tim yetu imeondosha wachezaji Muhim Baleke na Moses Phir na imeshindwa kuwafanyia replacement kwa haraka lakin hatulion hilo kazi kubeza Mafanikio ya Yanga kwa kutaka kujifariji. Mechi yetu dhidi ya Ihefu tulikuwa na uhakika wa kushinda kabisaa tena si chin ya Gol tatu ila wachezaj wametuangusha, yote hayo hatuon tuko busy at Yanga ananunua mechi. Anyway ngoja na sisi April 20 tumuuzie
 
Mkuu unazungumzia Yanga hiihii iloanza safari ya kumtoa El Merreikh na kuingia hatua ya makundi klabu bingwa?

Yanga ilomfunga Simba goli 5? Yanga ilotoshana nguvu na Al Ahly na Mamelod ikiwa ktk peak yake uwanja wa Benjamin Mkapa mpaka kule South Afrika?

Si ni Yanga hiihii ilomfunga muarabu goli 4 kwa Mkapa? Leo unataka useme Yanga haina ubora wa kuwafunga Singida Fountain Gate?

Tazama tena mechi ya leo, umeyaangalia vizuri yale magoli? Mechi umeiona ilivyokuwa ya kutafutana? Yale magoli unayaona ni ya kununua mkuu?
Hawa jamaa wamevurugwa tuwapuuze.
 
Mindset Kama zako ndio zinafanya Yanga azidi kuchukua ubingwa na wenda akacheza nusu fainali mapema zaidi kuliko si simba. Si mashabik wa Simba sijui tuna matatizo gan kichuani kutwa tupo kubeza ubora wa Yanga kwa maneno ya kupotoshwa at wananunua Mechi!!!! How??? Yaani timu inacheza mpira imetulia kabisaa na wachezaji wake wanajituma huk tunaona afu anatokea mtu mmoja kutuaminisha ujinga na sisi tunajaa. Yanga ya sasa inamfunga yoyote hapa Afrika how tukazane kusema sijui Singida au nani wameuza mechi kwa kigezo kipi??? Kwamba yanga hawana uwezo wa kuifunga Singida Fountain Gate??

Ni upumbavu tuu umetujaa, Tunaacha kuandaa tim yetu tupo bize na Propaganda za kipuuzi Mara Mayele, Mara Azam wamefuta hik, Mara Ubuntu Botho upuuzi tuu. Tim yetu imeondosha wachezaji Muhim Baleke na Moses Phir na imeshindwa kuwafanyia replacement kwa haraka lakin hatulion hilo kazi kubeza Mafanikio ya Yanga kwa kutaka kujifariji. Mechi yetu dhidi ya Ihefu tulikuwa na uhakika wa kushinda kabisaa tena si chin ya Gol tatu ila wachezaj wametuangusha, yote hayo hatuon tuko busy at Yanga ananunua mechi. Anyway ngoja na sisi April 20 tumuuzie
Hayo ni mawazo yako ila kilichopo si kizuri kwa mpira wa bongo hatukuanza kuangalia mpira jana sasa kama wewe ni simba mimi sio simba tengeneza hiyo timu yako mimi hata ikifungwa mia hainihusu kinachonihusu ni kuchezwa ligi yenye fair sio mtu ananunua timu za kuraisishia timu nyingine kupata ushindi bila kuhenyeka ndio maana wabongo hamfanikiwi kwa lolote kwa kupenda njia za mkato!
 
Mindset Kama zako ndio zinafanya Yanga azidi kuchukua ubingwa na wenda akacheza nusu fainali mapema zaidi kuliko si simba. Si mashabik wa Simba sijui tuna matatizo gan kichuani kutwa tupo kubeza ubora wa Yanga kwa maneno ya kupotoshwa at wananunua Mechi!!!! How??? Yaani timu inacheza mpira imetulia kabisaa na wachezaji wake wanajituma huk tunaona afu anatokea mtu mmoja kutuaminisha ujinga na sisi tunajaa. Yanga ya sasa inamfunga yoyote hapa Afrika how tukazane kusema sijui Singida au nani wameuza mechi kwa kigezo kipi??? Kwamba yanga hawana uwezo wa kuifunga Singida Fountain Gate??

Ni upumbavu tuu umetujaa, Tunaacha kuandaa tim yetu tupo bize na Propaganda za kipuuzi Mara Mayele, Mara Azam wamefuta hik, Mara Ubuntu Botho upuuzi tuu. Tim yetu imeondosha wachezaji Muhim Baleke na Moses Phir na imeshindwa kuwafanyia replacement kwa haraka lakin hatulion hilo kazi kubeza Mafanikio ya Yanga kwa kutaka kujifariji. Mechi yetu dhidi ya Ihefu tulikuwa na uhakika wa kushinda kabisaa tena si chin ya Gol tatu ila wachezaj wametuangusha, yote hayo hatuon tuko busy at Yanga ananunua mechi. Anyway ngoja na sisi April 20 tumuuzie
Hayo ni mawazo yako ila kilichopo si kizuri kwa mpira wa bongo hatukuanza kuangalia mpira jana sasa kama wewe ni simba mimi sio simba tengeneza hiyo timu yako mimi hata ikifungwa mia hainihusu kinachonihusu ni kuchezwa ligi yenye fair sio mtu ananunua timu za kuraisishia timu nyingine kupata ushindi bila kuhenyeka ndio maana wabongo hamfanikiwi kwa lolote kwa kupenda njia za mkato
Sasa nyie juzi na mashujaa dk 57 wanacheza pungufu mnashindwa kufunga,mkapigwa kwenye matuta,ile mechi mliyo cheza Moro dk ya 60+ wako pungufu mkapigwa.Sasa hapa tusemeje na zote mkapigwa. South kwani walitufanya nini Mamelod....... eti au na nyie kiboko yenu Mashujaa.

Kwa aina ya mashabiki hii kama nyie Mangungu na Try Again wataendelea kuwambia mafanikio yenu ni kufungua account ya WhatsApp na Kibegi. Yaani hata kuuchambua mpira hujui.
Mimi sihitaji kuchambua mpira nisicho taka mimi ni mtu mmoja kununua timu za ligi kuu kurahisishia timu yake ubingwa bila kuhenyeka simba hainihusu!
 
Back
Top Bottom