Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo mechi inabidi kocha atanue uwanja apunguze viungo wengiTatizo wale Medeama wanashambulia kama nyuki. Ikitokea hivyo basi nahodha Bakary Mwanyeto ndiyo apumzishwe.
Naona wengine wameingia leo. Mna shughuli pevu J5 wananguKitambo sana wapo mjini.
Sawasawa. NakubaliiiTutawapiga kama ngoma hiyo keshokutwa. Just wait and see. Muhimu tunwaingie kwenye mfumo wetu.
Mbona kibabage anacheza vizuri tu! Au kwakuwa lomalisa ni mgeni?Tuombe Lomalisa Mutambala awe Fiti [emoji2935]
Bila Mo na GSM hakuna Simba na Yanga za kimataifa huu ndiyo ukweli wenyewe.Sijui kwanini ila nauchukia sana mpira wa bongo. Tena hasa baada ya kuibuka hawa matapeli wanaojiita wahisani sijui watoa pesa, yaani wameviteka kabisa. Wana take advantage ujinga wa watu wengi , wananufaika wao wenyewe, na wabongo maskini hawana habari , wamegeuzwa mtaji. Wamekaa kushangilia upumbavu tu..
Hawa mnaowaita wawekezaji wanapata faida kubwa sana , Hakuna mkataba wowote upo hadharani, wamejimilikisha vilabu. Wameweka matangazo mpaka matakoni, yaani sijui hata nisemeje mnielewe. Aisee soka linakua , ila kuna watu wanafaidi sana hivi vilabu
Naishia hapa Kwa leo
Kama vile Mzee Akilimali na wazee wenzake walivyomlamba miguu Yusuf Manji .Dah! Pole sana Kiongozi. Bongo bila ya wawekezaji, maisha hayaendi!! Na kama huamini, basi subiri Mo atangaze leo kujitoa pale Msimbazi!! Nakuhakikishia kuna watu watamlamba hata migui, ili tu abadili huo uamuzi wake.
Yaani Aziz Ki acheze straika? Aucho namba 7? Konkoni namba 10?Naomba nisiwachoshe.
1. Djugui Diarra
2. Kwasi Jeshi
3. Joyce Lomalisa/Farid Mussa Malick
4. Dickson Job
5. Bakary Mwamnyeto
6. Ibrahim Bacca
7. Khalid Aucho
8. Max Nzengeli
9. Stephen Aziz Kii
10. Hafiz Konkoni
11. Pacome Zouazoua.
Subs: Abutwalib Mshery, Kibwana Shomary, Nickson Kibabage, Gift Fred, Zawadi Mauya, Sure Boy, Mudathir Yahaya Abbas, Clement Mzize, Kenned Musonda, Jesus Moloko.
Lengo la kuanza na hicho kikosi ni kuhakikisha timu inashambulia kwa kasi, inamiliki mpira na pia kukaba kwa wakati mmoja. Mzize akiingia dakika za mwisho atasaidia timu kwenye kuongeza mashambulizi. Maana hao Medeama kwenye ile mechi ya yao awali kule Ghana, walionesha dalili za kukata pumzi kwenye dakika za mwisho.
Napendekeza Hafiz Konkoni kuanza, kwa sababu anawafahamu zaidi hao Medeama kuliko hata Mzize au Musonda.
Aziz Kii mchezaji mkubwa. Uwepo wake kwenye mechi kama hiyo ya kufanya maamuzi, ni muhimu sana.
All in all, mechi hii ushindi ni lazima ili kufufua matumaini ya kusonga mbele. Naitakia ushindi mnono timu ya Wananchi Yanga.
Hii formation inaitwa 3- 2- 4- 1. Mabeki 3 nyuma. Mabeki wa 2 wa kushoto na kulia wanakaba na kushambulia kupitia pembeni, Striker namba 9 ni Hafiz Konkoni. Aucho 6! Halafu hawa watatu waliobaki~Pacome, Aziz Kii na Nzengeli ni mwendo tu wa kukichafua pale katikakati.Yaani Aziz Ki acheze straika? Aucho namba 7? Konkoni namba 10?
Anzisha uzi wako au una stress mwenzetuSijui kwanini ila nauchukia sana mpira wa bongo. Tena hasa baada ya kuibuka hawa matapeli wanaojiita wahisani sijui watoa pesa, yaani wameviteka kabisa. Wana take advantage ujinga wa watu wengi , wananufaika wao wenyewe, na wabongo maskini hawana habari , wamegeuzwa mtaji. Wamekaa kushangilia upumbavu tu..
Hawa mnaowaita wawekezaji wanapata faida kubwa sana , Hakuna mkataba wowote upo hadharani, wamejimilikisha vilabu. Wameweka matangazo mpaka matakoni, yaani sijui hata nisemeje mnielewe. Aisee soka linakua , ila kuna watu wanafaidi sana hivi vilabu
Naishia hapa Kwa leo
Kumbe Gift Fred ni beki mkatili? Ni mkatili uwanjani au kwa familia yake kuwalisha watoto ugali dagaa huku anakula mshahara mnono toka Yanga?Konkoni ni finisher mzuri akicheza na viungo wengi wanaomzunguka. Sema mwalimu hajampa nafasi ya kutosha, kama ilivyo kwa beki mkatili Gift Fred.
Mimi sio Yanga ila sitaki Nahodha Mwamnyeto apunguzwe mara ya mwisho kucheza bila yeye Yanga iliruhusu magoli matatuTatizo wale Medeama wanashambulia kama nyuki. Ikitokea hivyo basi nahodha Bakary Mwanyeto ndiyo apumzishwe.
Sio mechi ya Majalibio kama tupo serious kuvuka.Konkoni ni finisher mzuri akicheza na viungo wengi wanaomzunguka. Sema mwalimu hajampa nafasi ya kutosha, kama ilivyo kwa beki mkatili Gift Fred.
Naunga mkono hojaBila Mo na GSM hakuna Simba na Yanga za kimataifa huu ndiyo ukweli wenyewe.
bila mudathir yanga ni mtibwa sugar tu.Naomba nisiwachoshe.
1. Djugui Diarra
2. Kwasi Jeshi
3. Joyce Lomalisa/Farid Mussa Malick
4. Dickson Job
5. Bakary Mwamnyeto
6. Ibrahim Bacca
7. Khalid Aucho
8. Max Nzengeli
9. Stephen Aziz Kii
10. Hafiz Konkoni
11. Pacome Zouazoua.
Subs: Abutwalib Mshery, Kibwana Shomary, Nickson Kibabage, Gift Fred, Zawadi Mauya, Sure Boy, Mudathir Yahaya Abbas, Clement Mzize, Kenned Musonda, Jesus Moloko.
Lengo la kuanza na hicho kikosi ni kuhakikisha timu inashambulia kwa kasi, inamiliki mpira na pia kukaba kwa wakati mmoja. Mzize akiingia dakika za mwisho atasaidia timu kwenye kuongeza mashambulizi. Maana hao Medeama kwenye ile mechi ya yao awali kule Ghana, walionesha dalili za kukata pumzi kwenye dakika za mwisho.
Napendekeza Hafiz Konkoni kuanza, kwa sababu anawafahamu zaidi hao Medeama kuliko hata Mzize au Musonda.
Aziz Kii mchezaji mkubwa. Uwepo wake kwenye mechi kama hiyo ya kufanya maamuzi, ni muhimu sana.
All in all, mechi hii ushindi ni lazima ili kufufua matumaini ya kusonga mbele. Naitakia ushindi mnono timu ya Wananchi Yanga.
Hii siyo mechi ya Makudubela, hapa wanatakiwa wanaume wa shoka. Skudu anafaa kwenye mechi soft. Ile mechi ya Azam tu alishindwa kuhimili vishindo akakaa majeruhi kwa muda mrefu.Yuko wapi Makudubela sasa!!! Hata Sub!!!