Hiki ndiyo kituko nlichowahi kukutana nacho makaburini usiku. Sitosahau

utoke shule, ukacheze mpira, uende muvi, kisha karate
uongo wa hali ya juu
kwanza kutoka mikumi hadi manzese siyo mchezo ,ni mbali kinoma
Ukijua kujipangia muda wa kufanya kile unachokitaka, mbona ni kawaida tu kaka.
 
Pole sana ndugu, hivi viumbe nasikia huwa vinapenda kucheza na akili zetu. Sasa kama hukushtuka mapema inakula kwako.

Mimi nilijiongeza mapema, kwa sababu nilishangaa iweje kibwengo awakimbie vibwengo wenzie, hapo lazima kuna jambo limepangwa dhidi yangu, hivyo mimi nikakunja kulia huku nikiruka makaburi kwa mwendo wa ferari.

Nahisi hata mbuzi mwenyewe alipogeuka hakujua nimepotelea upande gani, aliambulia kuona vumbi tu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Siku hiyo baada ya mazoezi ya karate, ulivuta bangi kidogo?
 
Eti mwendo wa ferari nimecheka mbavu hoi,🀣🀣🀣
 
Walikuwa wanakuelewa sana. Ndio maana hukuona kitu.....
 
Sio kukuteka sababu wangehitaji kukufanya vibaya bado ilikua simple tuu,inshu waliona umeshaleta mazoea na viwanja vyao
 
🀣🀣🀣🀣🀣Wacha nicheke tu siku iwe murwaaaaaaaaa
Tufurahie maisha mwanangu, maana pengine leo hii na mimi ningekuwa miongoni kwa vibwengo.

Kuna mwana alinambia kuwa vibwengo wakishakula na wewe unageuka kuwa mwenzao. Sijui kweli πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…