Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapi hiyo?!!
Waaachie wenye Dini Yao wahukumu!
Duuu hizi dini shida nini izo madrasa aisee
Si ushakua mtu mzima, si ushaweza kutype ndio maana unaongea hvo. Hao ni watoto wamelelewa ukarimu na heshima, ndio maana wanakubali, kwao hayo ni yakupita wanaona wamefanya makosa makubwa sana ndio kulubali huko.Ila kwa Mimi angekula ngumi mpaka akome!
Hajawahi washenyeta mzee. Au unataka na watoto wa sasahvi wavuliwe bukta kama wewe. Hivi una watoto wewe.Kusema ukweli utandawazi umeharibu maadili hivi hapo kina kipi cha ajabu? Kipindi tunasoma sisi mwalimu wetu alikuwa anakuvua kaptura unabaki na chupi ndo anakushushia mvua ya fimbo lakn hakuna kulalamika.
Lakin sasa hiv mnataka mtoto akikosea apetiwe petiwe acheni mambi yenu bwana nyie ndiyo mnasababisha maadili yanaporomoka
Nilimpa kichapo mwalimu nikiwa darasa la 2,Ndio maana naongea nilichokifanya mkuu nikiwa mtoto!Si ushakua mtu mzima, si ushaweza kutype ndio maana unaongea hvo. Hao ni watoto wamelelewa ukarimu na heshima, ndio maana wanakubali, kwao hayo ni yakupita wanaona wamefanya makosa makubwa sana ndio kulubali huko.
Wewe sahvi hata uambiwe umalaya acha unaona unazinguliwa, kwao wanaona tabi mbaya haifai.
Sasa ngumi wataweza hao na mtu mzima huyo.
Huyu ni wakudeal nae sisi watuwazima mpaka awajibishwe.
Umepiga walimu mara ngapi? Wenzako wangapi walifanya kama wewe?Nilimpa kichapo mwalimu nikiwa darasa la 2,Ndio maana naongea nilichokifanya mkuu nikiwa mtoto!
According to accent that should be ZanzibarWapi hiyo?!!
Ninyi ndio mmeifanya hii nchi kua masikini mpaka kesho.Kusema ukweli utandawazi umeharibu maadili hivi hapo kina kipi cha ajabu? Kipindi tunasoma sisi mwalimu wetu alikuwa anakuvua kaptura unabaki na chupi ndo anakushushia mvua ya fimbo lakn hakuna kulalamika.
Lakin sasa hiv mnataka mtoto akikosea apetiwe petiwe acheni mambi yenu bwana nyie ndiyo mnasababisha maadili yanaporomoka
Mwanangu humchapi hivyo na madrassa ndo basi tena,toka nizaliwe sijawahi piga kiumbe Cha kike Leo mwanangu unampigaje hivyo.Si ushakua mtu mzima, si ushaweza kutype ndio maana unaongea hvo. Hao ni watoto wamelelewa ukarimu na heshima, ndio maana wanakubali, kwao hayo ni yakupita wanaona wamefanya makosa makubwa sana ndio kulubali huko.
Wewe sahvi hata uambiwe umalaya acha unaona unazinguliwa, kwao wanaona tabi mbaya haifai.
Sasa ngumi wataweza hao na mtu mzima huyo.
Huyu ni wakudeal nae sisi watuwazima mpaka awajibishwe.