Hilda Newton nakushauri kuwa macho na wasiojulikana

Sasa wewe unasema yuko Tweeter lakini wewe unampa ushauri huku JF!! Hivi wewe una akili timamu kweli??
We shida yako nini? Au wewe ni miongoni mwa wanaoitwa watu wasiojulikana?
 
We shida yako nini?Au wewe ni miongoni mwa wanaoitwa watu wasiojulikana?
Kwani wewe ID yako siyo Fake?

Huyo mwanasaccos mwenzio si umesema yuko Tweeter? Sasa ukimwandikia huku ataelewaje wakati yuko Tweeter kwanini usimwandikie huko huko tweeter??!
 
Katoto kamoja kafupi, kana rangi ya chocolate halafu kamejaza zile 'lahma' zenye ladha!

Halima Mdee asingewahi 'kubutua kombolela' kutetea wanyonge kina Nusrat basi nahakika 'Kamati kuu' ingemteua kuwa Mbunge wa viti Maalum
Weka picha yake chifu.
 
Mleta mada labda mnajipanga kumtumia
 
Hilda hayupo Tz... kwa taarifa yako. Hizo ndo faida za uanaharakati wa kujitambulisha hadharani kuliko akina "Salary Slip" au "Erythrocyte" mnaojificha kwenye fake name 😊
 
Unataka watu wote wawe nyuma ya keyboard? Anahamasisha watu wajitokeze waseme ukweli pasipo kujificha anawazidi wanaume wa humu so anawafundisha ujasiri
Waonye hao wasojulikana wamuache Hilda huyo dada anatakiwa apewe heshima anajitajihidi sana kusema ukweli bila kuhofia maisha yake kuwa hatarini ,tutaishi mpaka lini kwa uoga
 
Acheni uhuni wa kupaishana, nani amtafute huyu?
 
UMEONGEA JAMBO LA busara na la hekima... Hii jamii forum kumejaa watu walio na uwezo mdogo wa ku reason mambo kwa kweli.na wamejaa chuki sana badala ya kujibu hoja wanafanya kitu kinaitwa body shaming kwa watu wengine kana kwamba wao ni wazuri sana .
 
Mungu mbariki Hilda Newton
Mkuu yaani sijui nina illusion ama delusion nawe?!!

Huwa siku zote ninahisi na kudhani wewe ndiye comrade Hilda Newton...

Sema nini...ninahisi kule TWITTER na kwingineko UKO VOCAL SANA...na huku uko DIPLOMATIC SANA....🤣🤣

Niwie RADHI sana kwa kusema haya comrade dada yangu RBC's!!
 
Namjua inn out tangu 2016, najua hadi Temeke anapokaa hahaaaa. Mwepesi sana sana yan sanaaaa
 
Huyu Dada hayupo sawa kisaikolojia...
Kivipi ?!!!

Unajua duniani kote VIBRANT politicians wanaonekana WANAONEKANA HAWAKO SAWA....

Kuna PSYCHIATRIST mmoja alikuwa anatuchambulia kuanzia GEORGE WASHINGTON ABRAHAM LINCOLN mpaka kina Jeremy Corbyn na George Galloway.....

Akina Martin Luther King Jr....
Akina Malcolm X....
Akina Fannie Lou Hammer....
Akina Rosa Parks......
Akina Ralph Abernathy na WENGINEO....WALIONEKANA NA WANAONEKANA KAMA WATU FULANI "abnormal hivi".
 
Yaaahh Dada anafunguka Sanaa aiseee.....lakini sio yeye ...wengi tu kule twitter ni wanafahamika and yet wanaishambulia serikali day and night...
 
Haaa haaa na kweli tu, kanajifanya kamanda kweli. Huku wenzake wanapiga mtonyo
 
Mkuu, hebu pitia na kuhariri andiko lako ili ueleweke vyema. Hilda hata humu yumo. Ndiye yule aliyeagizwa na RC Hapi akaripoti kituo chochote cha polisi kilicho karibu yake? Hivi alikwenda? Ha ha ha ha
Hizi simu zinazoandika maneno kadri unavyo-type zinaleta changamoto hizi za kiuandishi ingawa pia zinarahisha uandishi.
 
Huyu ndio mmoja wa asiyejulikana, cheki anamponda kumbe anamfollow
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…