Mungu abariki mabeberuMungu mbariki Hilda Newton
Huyo Hilda ni demu fulani mshamba mshamba hata sura bado anaonekana wa kienyeji. Hakuna wa kuangaika nae japo anapambana kupata attention.
Hajui hata anatafuta nini kwenye siasa wenzake wajanja wanamtumia kufanikiwa kisiasa na kuingiza pesa, ataishia hivyo hivyo kupiga kelele twitter na sura yake nzito.
Usichelewe.Ngoja nami nikajionee huko Twittern
Sasa hivi anatokea puvu ile mbaya alikuuwa anajua viti maalumu atakuwepo kumbe ni kamende Fulani hivi.Huyu dada mngempa hata udiwani wa viti maalumu.
Watu waligundua ukiwa mbishi na mwenye marusi ndio unaonekana kamanda.Huyu dada huwa namkubali sana, ana misimamo na hatumbishwi ila jamani hata akina Mdee na covid 19 nao walikua kama hilda, i don't know what went wrong walah[emoji22][emoji22][emoji22]
Binadamu kwa asili ana kipimo chake cha ukomo wa kustahimili changamoto. Ingawa wapo ambao ni consistent akianza lazima ahakikishe anamaliza.Siada za Tanzania zinakatisha tamaa sana, of all the people sikuwahi kuwaxa Halima atasaliti mapambano
Bahati nzuri nayajua Maisha yake huko Kwao Wilayani Temeke, Elimu yake ya Kuungaunga ya Chuo Kimoja pale Ilala Shariff Shamba na sina uhakika kama aliyamaliza pamoja na harakati zake za kutafuta Pesa za Kuishi hapa Mjini (ambalo kwa hili namstahi) huku nikimlinda zaidi Kimaadili. Umemuonya vyema kabisa kwani anachokifanya ni Kuwaringishia Mwili wake Simba wenye Njaa Kali Mbugani huku akijijua hana Mbio.Dada yangu Hilder, sikufahamu na hata wewe hunifahamu, ila binafsi nakusoma sana Twitter kama mmoja wa makamanda.
Kabla sijaendelea, naomba kwanza nikupongeze kwa post zako na msimamo yako kwani unaonekana kupinga na kuchukia udhalimu unaoendelea hapa nchini, na katika hili la kupinga vitendo hivi, ndipo naungana nawe kwakuwa hata mjmi binafai nachukizwa sana na vitendo /matendo kama uonevu, unyanyasaji, mauaji, utesaji, double standards,usaliti na mengineyo ya aina hiyo ambayo kwa sasa yamekuwa sehemu ya maisha yetu katika Taifa hili.
Hata hivyo, kwakuwa unafahamika kwa maana ya kutotumia ID fake huko Twitter, nakushauri uwe makini katika nyendo zako kwani unagusa watu fulani ambao, kwa hulka zao, wanaweza wasiwe wavumilivi hivyo kuwa makini sana.
Endeleza mapambano ila kuwa macho na watu wasiojulikana.
Hao ni Covid 19Halima Mdee na wenzake 18 ndio wasiojulikana?
Wasiojulikana utawajua tu kwa komenti zao .Huyo Hilda ni demu fulani mshamba mshamba hata sura bado anaonekana wa kienyeji. Hakuna wa kuangaika nae japo anapambana kupata attention.
Hajui hata anatafuta nini kwenye siasa wenzake wajanja wanamtumia kufanikiwa kisiasa na kuingiza pesa, ataishia hivyo hivyo kupiga kelele twitter na sura yake nzito.
Threats , Ni wanawake wamepigwa vitisho vya nguvu sana , Jiwe akose tilioni mbili ?Huyu dada huwa namkubali sana, ana misimamo na hatumbishwi ila jamani hata akina Mdee na covid 19 nao walikua kama hilda, i don't know what went wrong walah[emoji22][emoji22][emoji22]
Haya watu wasiojulikana mambo hayo, utawala unayaficha,Dada yangu Hilder, sikufahamu na hata wewe hunifahamu, ila binafsi nakusoma sana Twitter kama mmoja wa makamanda.
Kabla sijaendelea, naomba kwanza nikupongeze kwa post zako na msimamo yako kwani unaonekana kupinga na kuchukia udhalimu unaoendelea hapa nchini, na katika hili la kupinga vitendo hivi, ndipo naungana nawe kwakuwa hata mjmi binafai nachukizwa sana na vitendo /matendo kama uonevu, unyanyasaji, mauaji, utesaji, double standards,usaliti na mengineyo ya aina hiyo ambayo kwa sasa yamekuwa sehemu ya maisha yetu katika Taifa hili.
Hata hivyo, kwakuwa unafahamika kwa maana ya kutotumia ID fake huko Twitter, nakushauri uwe makini katika nyendo zako kwani unagusa watu fulani ambao, kwa hulka zao, wanaweza wasiwe wavumilivi hivyo kuwa makini sana.
Endeleza mapambano ila kuwa macho na watu wasiojulikana.
Hivi hayo mauaji huwa yanafanyika wapi mbona watu wote naona wapo au ni mauaji ya viumbe gani?Dada yangu Hilda, sikufahamu na hata wewe hunifahamu, ila binafsi nakusoma sana Twitter kama mmoja wa makamanda.
Kabla sijaendelea, naomba kwanza nikupongeze kwa post zako na msimamo yako kwani unaonekana kupinga na kuchukia udhalimu unaoendelea hapa nchini, na katika hili la kupinga vitendo hivi, ndipo naungana nawe kwakuwa hata mjmi binafai nachukizwa sana na vitendo /matendo kama uonevu, unyanyasaji, mauaji, utesaji, double standards,usaliti na mengineyo ya aina hiyo ambayo kwa sasa yamekuwa sehemu ya maisha yetu katika Taifa hili.
Hata hivyo, kwakuwa unafahamika kwa maana ya kutotumia ID fake huko Twitter, nakushauri uwe makini katika nyendo zako kwani unagusa watu fulani ambao, kwa hulka zao, wanaweza wasiwe wavumilivi hivyo kuwa makini sana.
Endeleza mapambano ila kuwa macho na watu wasiojulikana.
Halima Mdee na wenzake 18 ndio wasiojulikana?