Hilda Newton nakushauri kuwa macho na wasiojulikana

Hilda Newton nakushauri kuwa macho na wasiojulikana

Huyo Hilda ni demu fulani mshamba mshamba hata sura bado anaonekana wa kienyeji. Hakuna wa kuangaika nae japo anapambana kupata attention.

Hajui hata anatafuta nini kwenye siasa wenzake wajanja wanamtumia kufanikiwa kisiasa na kuingiza pesa, ataishia hivyo hivyo kupiga kelele twitter na sura yake nzito.

Ukikua utajua huyu dada ni nani na anatafuta nini!...hivi unajua alikotokea na siasa alianzia wapi na lini? Na je ni nani aliyemuibua...!??
Unachokiona siyo kilivyo, hivi unamfahamu vyema kijana mmoja anayeitwa Malisa??
Nadhani hata Pole pole hujawahi mdhania kabla kuwa angekuwa kama alivyo hivi sasa!
 
Damu za uanaharakati huwa sio za mchezo, hawanaga cha kupoteza, kufa au kuishi kwao ni sawa.
Hata hivyo kila binadamu anayeishi haijalishi ni nani tangu anatoka tumboni mwa mama yake Mungu alishampangia aina ya kifo atakachokufa,
So yale maneno utasikia kwamba bila kile au hiki bwana yule au mtu yule asingekufa hua ni mapambio tu kutokana na siri kubwa Mungu ameificha kwa mwanadamu.
So ujumbe huu ukamfikie kila mmoja ajionaye ana nguvu sana juu ya dunia hii, kubadilika ni muhim japo sio lazima
 
Huyu dada huwa namkubali sana, ana misimamo na hatumbishwi ila jamani hata akina Mdee na covid 19 nao walikua kama hilda, i don't know what went wrong walah[emoji22][emoji22][emoji22]
Watu waligundua ukiwa mbishi na mwenye marusi ndio unaonekana kamanda.

Inasikitisha Sana kuona mtu anamsifia huyu dada. Kwanza huwa hana hoja.

Anyway ndivyo CDM walivyo
 
Enzi hizo

Screenshot_20201203-214002.jpg
 
Mapambano gani nyie wajinga. Kinachowasumbua ni kutafuta viti maaluum au nafasi za uongozi CHADEMA. Mnatafuta kuganga njaa kwenye siasa. Mnakuwa na chuki na frustrations siku zote. Sisi tuko na JPM na hapa kazi tu.
 
Nampenda sana huyu dada, natamani nionane nae alau siku moja
 
Dada yangu Hilder, sikufahamu na hata wewe hunifahamu, ila binafsi nakusoma sana Twitter kama mmoja wa makamanda.

Kabla sijaendelea, naomba kwanza nikupongeze kwa post zako na msimamo yako kwani unaonekana kupinga na kuchukia udhalimu unaoendelea hapa nchini, na katika hili la kupinga vitendo hivi, ndipo naungana nawe kwakuwa hata mjmi binafai nachukizwa sana na vitendo /matendo kama uonevu, unyanyasaji, mauaji, utesaji, double standards,usaliti na mengineyo ya aina hiyo ambayo kwa sasa yamekuwa sehemu ya maisha yetu katika Taifa hili.

Hata hivyo, kwakuwa unafahamika kwa maana ya kutotumia ID fake huko Twitter, nakushauri uwe makini katika nyendo zako kwani unagusa watu fulani ambao, kwa hulka zao, wanaweza wasiwe wavumilivi hivyo kuwa makini sana.

Endeleza mapambano ila kuwa macho na watu wasiojulikana.
Bahati nzuri nayajua Maisha yake huko Kwao Wilayani Temeke, Elimu yake ya Kuungaunga ya Chuo Kimoja pale Ilala Shariff Shamba na sina uhakika kama aliyamaliza pamoja na harakati zake za kutafuta Pesa za Kuishi hapa Mjini (ambalo kwa hili namstahi) huku nikimlinda zaidi Kimaadili. Umemuonya vyema kabisa kwani anachokifanya ni Kuwaringishia Mwili wake Simba wenye Njaa Kali Mbugani huku akijijua hana Mbio.
 
Huyo Hilda ni demu fulani mshamba mshamba hata sura bado anaonekana wa kienyeji. Hakuna wa kuangaika nae japo anapambana kupata attention.

Hajui hata anatafuta nini kwenye siasa wenzake wajanja wanamtumia kufanikiwa kisiasa na kuingiza pesa, ataishia hivyo hivyo kupiga kelele twitter na sura yake nzito.
Wasiojulikana utawajua tu kwa komenti zao .
 
Huyu dada huwa namkubali sana, ana misimamo na hatumbishwi ila jamani hata akina Mdee na covid 19 nao walikua kama hilda, i don't know what went wrong walah[emoji22][emoji22][emoji22]
Threats , Ni wanawake wamepigwa vitisho vya nguvu sana , Jiwe akose tilioni mbili ?
 
Dada yangu Hilder, sikufahamu na hata wewe hunifahamu, ila binafsi nakusoma sana Twitter kama mmoja wa makamanda.

Kabla sijaendelea, naomba kwanza nikupongeze kwa post zako na msimamo yako kwani unaonekana kupinga na kuchukia udhalimu unaoendelea hapa nchini, na katika hili la kupinga vitendo hivi, ndipo naungana nawe kwakuwa hata mjmi binafai nachukizwa sana na vitendo /matendo kama uonevu, unyanyasaji, mauaji, utesaji, double standards,usaliti na mengineyo ya aina hiyo ambayo kwa sasa yamekuwa sehemu ya maisha yetu katika Taifa hili.

Hata hivyo, kwakuwa unafahamika kwa maana ya kutotumia ID fake huko Twitter, nakushauri uwe makini katika nyendo zako kwani unagusa watu fulani ambao, kwa hulka zao, wanaweza wasiwe wavumilivi hivyo kuwa makini sana.

Endeleza mapambano ila kuwa macho na watu wasiojulikana.
Haya watu wasiojulikana mambo hayo, utawala unayaficha,
 
Mwalimu akaniambia Heshima na Tamaa hazikai nyumba moja ,mimi nikachagua heshima ndio maana unaniona nipo hapa - Makamba Snr.
 
Dada yangu Hilda, sikufahamu na hata wewe hunifahamu, ila binafsi nakusoma sana Twitter kama mmoja wa makamanda.

Kabla sijaendelea, naomba kwanza nikupongeze kwa post zako na msimamo yako kwani unaonekana kupinga na kuchukia udhalimu unaoendelea hapa nchini, na katika hili la kupinga vitendo hivi, ndipo naungana nawe kwakuwa hata mjmi binafai nachukizwa sana na vitendo /matendo kama uonevu, unyanyasaji, mauaji, utesaji, double standards,usaliti na mengineyo ya aina hiyo ambayo kwa sasa yamekuwa sehemu ya maisha yetu katika Taifa hili.

Hata hivyo, kwakuwa unafahamika kwa maana ya kutotumia ID fake huko Twitter, nakushauri uwe makini katika nyendo zako kwani unagusa watu fulani ambao, kwa hulka zao, wanaweza wasiwe wavumilivi hivyo kuwa makini sana.

Endeleza mapambano ila kuwa macho na watu wasiojulikana.
Hivi hayo mauaji huwa yanafanyika wapi mbona watu wote naona wapo au ni mauaji ya viumbe gani?
 
Back
Top Bottom