Spartacus boy
JF-Expert Member
- Sep 22, 2020
- 1,727
- 3,464
Sio mimi madameIle ya Kenya au sio wewe jamani....kule kwa Riki boy
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio mimi madameIle ya Kenya au sio wewe jamani....kule kwa Riki boy
Huyu manzi bettri zimekata moto kbsaNadhani mtu anajua kuna amri kumi za Mungu. Sasa hii ya amri ya 6 tunaipuuziaga ila ndani ya hii amri Mungu alificha mengi.
Nimekuja kujua tunda la kati kati ni tamu ila madhara yake ndio kutoolewa kwa wakati, kupata shida ya vizazi, kuwa na maroho ya ajabu ajabu ambayo yanaweza kuharibu mambo yako kabisa. Kisa ulifanya mapenzi na watu kadhaa.
Ndio kusalitiwa ndio kubadilisha badilisha wanaume nakutojielewa unatakaje. Kweli ningekuwa nimejitunza walahi I think nisingekuwa single na jikomba ili status ibadilike mtu bikra hajikombi anapata kitu classic.
Na ashasema anapenda kudekezwa sijui itakuwaje....itabidi da maua anifunde hata kwa mkopo maana mimi kwenye kudekeza nimepata FNdio muache tutoe maoni, uone mishangazi ya shem itakavyotutupia mawe siku hiyo 😂😂😂😂
Maana da Joana alisema shem alikuwaga na mishangazi humu 😂😂😂
Onhoo samahani boss itakuwa nmekosea idSio mimi madame
Nimefanya nini Mjukuu 😜Ila babu 😂😂😂
Kesho uwahi kuleta idadi
😂😂😂😂 Kazi unayo bffNa ashasema anapenda kudekezwa sijui itakuwaje....itabidi da maua anifunde hata kwa mkopo maana mimi kwenye kudekeza nimepata F
Unavyoongea kwa msisitizo unanichekesha 😂😂😂Nimefanya nini Mjukuu 😜
Kuna watu wameolewa na bikra zao na ni singo mama saa hii .usifanye mchezo na sis wanaume dada .hatunaga formulaNadhani mtu anajua kuna amri kumi za Mungu. Sasa hii ya amri ya 6 tunaipuuziaga ila ndani ya hii amri Mungu alificha mengi.
Nimekuja kujua tunda la kati kati ni tamu ila madhara yake ndio kutoolewa kwa wakati, kupata shida ya vizazi, kuwa na maroho ya ajabu ajabu ambayo yanaweza kuharibu mambo yako kabisa. Kisa ulifanya mapenzi na watu kadhaa.
Ndio kusalitiwa ndio kubadilisha badilisha wanaume nakutojielewa unatakaje. Kweli ningekuwa nimejitunza walahi I think nisingekuwa single na jikomba ili status ibadilike mtu bikra hajikombi anapata kitu classic.
Hahaha............... Wazee wengi wa Zamani tumekuwa hivyo Siku zote 😜🏃🏃Unavyoongea kwa msisitizo unanichekesha 😂😂😂
Nitafutie nyakanga basiii.....anifundishe hadi kuremba sauti maana sauti kama burnaboy nitadekezaje mtoto wa watu😂😂😂😂 Kazi unayo bff
Itabidi ufundwe usije kutuaibisha
Nina hela nyingiUmechelewa nimefunga mkataba na shetani ya uzinifu
Nipo sawa tatizo wanaume wa humu wanapenda nyapu wakiona mtu kajitambua eti hajielewiMuombee mwenzio hayuko sawa
Huna nini?Wala hata ninajutia bikra yangu tu kwani hata ikiwa nimelika sana inapunguza nini nasina??
Wapo teleTulia panga mipango yako vizuri unaweza kuolewa na mzungu. Mlio shindikana ndo mna kismati cha wazungu. Sijawahi kuona mswahili geti kali kaolewa na mzungu
Labda na mimi nina bipolar maana mimi naona nyuzi zake za kawaida tu, nadhani humu ndani kuna watu maalum wanajifanya wana akili sana na kuwafanya wengine wajinga, kuna yule kid kidukulile alikuwa anajimwambafai humu basi akipost kitu chochote walikuwa wanamuambia dishi limeyumba, kuna masuala ya unyanyasaji wa mitandaoni huu ni mmoja wapo, tuacheni mambo ya kijinga inawezekana kuna wana wawili watatu waliwahi kujisevia kwa da mauwa kwa hiyo wanajikuta wajanja wakati ni mambo ya kawaida tu, ache acheni ushamba uliopitiliza, tena kuna mademu utakuta wanaunga mkono mambo kama haya ujinga mtupu, kabla hujamuona mwenzako dishi limeyumba, una uhakika na wewe hatukuoni hivyo hivyo sema tu tumeamua kukustiri?kweli kwa huu muandiko wake
mwanzo nilijua anaigiza ila nyuzi zake zote zipo hivi
she has a screw loose for sure
Mmmh, unakumbuka shuka tayari kumekucha!Nadhani mtu anajua kuna amri kumi za Mungu. Sasa hii ya amri ya 6 tunaipuuziaga ila ndani ya hii amri Mungu alificha mengi.
Nimekuja kujua tunda la kati kati ni tamu ila madhara yake ndio kutoolewa kwa wakati, kupata shida ya vizazi, kuwa na maroho ya ajabu ajabu ambayo yanaweza kuharibu mambo yako kabisa. Kisa ulifanya mapenzi na watu kadhaa.
Ndio kusalitiwa ndio kubadilisha badilisha wanaume nakutojielewa unatakaje. Kweli ningekuwa nimejitunza walahi I think nisingekuwa single na jikomba ili status ibadilike mtu bikra hajikombi anapata kitu classic.