Hili kosa linafaa kumuacha kabisa huyu binti?

Sasa unaleta uzi huku ili tiukuonee huruma kuchangie au unatakaje maana sijakuelewa lengo lako
Nataka tu muone tabia za wanawake..akil sjui huwa wanaacha wap. Kama wew ni ke ndo ujue mna tatzo nyie
 
Acha kuokoteza kila takataka na kupeleka nyumbani kwako. Heshimu chumba/nyumba yako kidoogo
 
Hahahahah akija utapiga atachukua laki 2 ingine tena! πŸ˜‚

Kibarua ni wewe kutembea na gari bila hela hata ya hongo ya askari!πŸ˜… Au kwa miguu mpaka kuipata ATM
 
IBA UFE Japo sijafika kwako ila najua kauli mbiu hii inatenda miujiza mjengoni πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Umemzoesha hela kila akitaka unampa tu huu utoto ndio umemfanya akwapue hela bila kuomba kumaninr [emoji28][emoji28][emoji28] we pambana na hali yako maana kumuacha huna ubavu huo!

Maisha demu wangu hathubutu kunifanyia huo ushenzi!
Nmemwambia kuwa katika makosa ambayo kawai fanya..hilo ni kosa kubwa sana...sasa tena nadhan kanipa sabab ..yaan kanisaidia...hato kuja iona hela yangu had mwaka huu unaisha mam.ae zake
 
Nmemwambia kuwa katika makosa ambayo kawai fanya..hilo ni kosa kubwa sana...sasa tena nadhan kanipa sabab ..yaan kanisaidia...hato kuja iona hela yangu had mwaka huu unaisha mam.ae zake
Atakukimbia kabla ya mwaka kuisha kama ukianza huo msimamo!πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Inategemea na jinsi ulivyomuanza na unavyomtreat maana kama mtu wako ukimwambia huna anaona kweli huna sasa huyo labda haaamini anahisi unamnyima tu maana kashazoea kukuona na mahela
Ni mwanamke asie na akil bas...after a long explanation kuwa sina hela anafanya hvyo...sasa atajuta..tena ndo amenipa sabab...yaan ni kama kanisaidia ..hatoiona hela yangu had mwaka huu unaisha
 
Yaan hyo kususa niliopanga kuufanya mwez mzima huu..atajuta..hapa katuma msg nmekaa kimyaa...tena kanipa sababu aisee..nahis kama amenisaidia aisee..yaan hata kuja ona hela yangu
Usimuache bana kama ni pisi kali, kwani laki 2 kitu gani! Pesa ni maua kumbuka

Ila jiandae tu j5 atakumbushia hela yake uliyomuahidi.
 
Siwez oa hii manzi asee...nakula nae ujana tu...matatoo hayo yote naoaje kwa mfano
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…