Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,229
- 50,144
Daah 😂😂Kama hatoki zaidi ya km 30, apewe hiyo 40 ajikate mkoani tunaangalia umbali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daah 😂😂Kama hatoki zaidi ya km 30, apewe hiyo 40 ajikate mkoani tunaangalia umbali
Hakuowe[emoji777] akuowe[emoji3581]Ngoja nkuongezee hasira
Kwaiyo ana taka hakuoe ?? pia ana onekana ana kiburi sanaa[emoji848]
Wewe ni mmoja kati ya wanaume wachache msiotakiwa kuachwa kabisa, Napoleone haustahili kuachwa....ole wake mwanamke yule atakaejaribu kukuacha, laana ikawe juu yake.....AmenMkuu..niache
Au haitoshiDaah 😂😂
🤣🤣🤣 Aki nimecheka sana!Ni shujaa na jasiri anayejua nini anachokitaka na jinsi ya kukipata, alikuwa anamuomba jamaa kwa heshima tu, sasa yeye hakumheshimu🤣
Kosa la jamaa lilianzia hapa....Ni shujaa na jasiri anayejua nini anachokitaka na jinsi ya kukipata, alikuwa anamuomba jamaa kwa heshima tu, sasa yeye hakumheshimu🤣
Amen kubwa sanaWewe ni mmoja kati ya wanaume wachache msiotakiwa kuachwa kabisa, Napoleone haustahili kuachwa....ole wake mwanamke yule atakaejaribu kukuacha, laana ikawe juu yake.....Amen
Ashawahi kukurob kwani?Mimi hata nikiwa nae ndani hela lazima nifiche aisee Niko Makin na kitu kinaitwa binadam.