Hili kosa linafaa kumuacha kabisa huyu binti?

Hili kosa linafaa kumuacha kabisa huyu binti?

Piga chini iyo sio pisi inakuja 7bu inashida km angekua muelewa angekuelewa na sio kusachiana uyo demu wako sio,nakuambia mwanangu siku atakuletea pigo utajuta kumjua piyo pisi sio ya kujenga nayo maisha ina miselenge yake iyo inajua ikifika lkwako kibosi...
 
Kwel maisha yana utofauti sana,demu wangu alichukua 2000 bila ridhaa yangu,moto niliouwasha gubu kama lote mbona alinikoma...toka siku hyo hata akute 100 nmeacha kwenye suruali anairudisha dadeq
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kwel maisha yana utofauti sana,demu wangu alichukua 2000 bila ridhaa yangu,moto niliouwasha gubu kama lote mbona alinikoma...toka siku hyo hata akute 100 nmeacha kwenye suruali anairudisha dadeq
😂😂😂 Sasa ungechukuliwa laki 2 ingekuaje mkuu
 
Sasa aliona tangu saba saba unampinda tu bila tips kiasi akaona utampiga wash kweupe wewe😀😀😀
Hilo siyo kosa la kumuacha mkuu wewe mpige Ukoloni mambo leo mpaka uridhike. Pesa ya mgumu inarudi hivyo
 
Back
Top Bottom