200000Γ·2400Mamamamamaaaa...elf2400 yaan acha tu
Hamna Ni mwendo wa kukaa chonjo nazidisha umakin tu.!Ashawahi kukurob kwani?
Msamehe muendelee kupendana....Hapana...mim huyu demu ndo namuonea huruma kumuacha..unajua mi nna huruma flan hiv ambayo inanicost sana
Kweli kabisa, na tumeambiwa tusamehe 7*70Msamehe.
Kosa si kosa, kosa ni kulirudia kosa.
Naona we ni mwanaume na nusu yani....Hahahahah.kwann mkuu....
Basi hujampenda huyo, au anatokea kwa mtogole so unajihamiπHamna Ni mwendo wa kukaa chonjo nazidisha umakin tu.!
Ni rahisi ukiamuaKama rahis vile
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwel maisha yana utofauti sana,demu wangu alichukua 2000 bila ridhaa yangu,moto niliouwasha gubu kama lote mbona alinikoma...toka siku hyo hata akute 100 nmeacha kwenye suruali anairudisha dadeq
πππ Sasa ungechukuliwa laki 2 ingekuaje mkuuKwel maisha yana utofauti sana,demu wangu alichukua 2000 bila ridhaa yangu,moto niliouwasha gubu kama lote mbona alinikoma...toka siku hyo hata akute 100 nmeacha kwenye suruali anairudisha dadeq
Angekufaπππ Sasa ungechukuliwa laki 2 ingekuaje mkuu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nenda ATM najua chenji unazo,,,mkianzaga nao kwa mbwembwe muwe mnafikiria kuwa kuna siku utakosa pia [emoji23][emoji23][emoji23]
Ingebaki historiaππAngekufa