Hili kosa linafaa kumuacha kabisa huyu binti?

Hili kosa linafaa kumuacha kabisa huyu binti?

Omg, mbona natetemeka mimi kwa niaba yako[emoji23][emoji23] mbona ni mwanamke jambazi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119] ningeweza hizi mambo ningekua na x5 yangu saa hizi. Naogopa kuitwa mwiziii[emoji23][emoji23] uwe mdada mrembo halaf mwizii... yeuuwuuuuuui
 
suala ni kwamba inakuwa kama wajibu wako kumtunza mtu mzima mwenzio wakati anawazazi.....mapenzi sio kazi kusema ni lazima tuwalipe kila wanapoomba.....kwahali hiyo akikuta mil 30 za mradi wa ujenzi, si anakimbia nazo anaenda bush kujenga nyumba ya ndoto yake.....
 
Hawezi kuwa na huruma sababu ulishamhakikishia unazo tu na yupo sababu anazipata hizo hela[emoji28]!!!

Kama utafikia kuoa huyo demu kwa siku za usoni hakikisha hio kazi unayofanya ya kukupa hizo pesa & butters haiishi kwa namna yeyote maana hamtakatiza miezi 6 ukiwa jobless kabla hajakulambisha mchanga!
Kaka kuna vitu fulani ukiendekeza kama kijana kamwe huwezi kufanya maendeleo sasa hapo kaka atajenga na kusomesha watoto shule nzuri kweli kwa aina hiyo ya mwanamke...
 
Kaka kuna vitu fulani ukiendekeza kama kijana kamwe huwezi kufanya maendeleo sasa hapo kaka atajenga na kusomesha watoto shule nzuri kweli kwa aina hiyo ya mwanamke...
Mwanamke wako ana influence sana maendeleo yako kama utapata mwanamke kichwa! Ila hawa vichwa maji wa kuwaza kubandika kucha na kutoka out vilabuni kila weekend then una safari ndefu sana ya kutoboa maana 50% ya pato litakuwa linaishia kumfurahisha yeye!
 
Mwanamke wako ana influence sana maendeleo yako kama utapata mwanamke kichwa! Ila hawa vichwa maji wa kuwaza kubandika kucha na kutoka out vilabuni kila weekend then una safari ndefu sana ya kutoboa maana 50% ya pato litakuwa linaishia kumfurahisha yeye!
Fact kaka wanawake wengi wanajua mwanamme ni mtu wa kuchunwa na sio kufanya nae maisha....sikuhizi kilasiku ni kuombwa matumizi tu na ukilegeza kodi utatoa, na wadogo zake utasomesha ukija shtuka mahari yake hauiwezi wenzio wanang'oa chuma
 
Fact kaka wanawake wengi wanajua mwanamme ni mtu wa kuchunwa na sio kufanya nae maisha....sikuhizi kilasiku ni kuombwa matumizi tu na ukilegeza kodi utatoa, na wadogo zake utasomesha ukija shtuka mahari yake hauiwezi wenzio wanang'oa chuma
Hahahahahahah demu anakutumia kama daraja na wewe upo tu umebung’aa ukibaniwa sauti umelegea
 
Mwanamke wako ana influence sana maendeleo yako kama utapata mwanamke kichwa! Ila hawa vichwa maji wa kuwaza kubandika kucha na kutoka out vilabuni kila weekend then una safari ndefu sana ya kutoboa maana 50% ya pato litakuwa linaishia kumfurahisha yeye!
Umeongea kwa hisia sana. That was a deep shit. Ila sasa vichwa vyenu vya chini huwa vina maamuzi makubwa zaidi ya vichwa vya juu[emoji23][emoji23][emoji1635][emoji1635]
 
Umeongea kwa hisia sana. That was a deep shit. Ila sasa vichwa vyenu vya chini huwa vina maamuzi makubwa zaidi ya vichwa vya juu[emoji23][emoji23][emoji1635][emoji1635]
Heheheh sio cha kwangu beste 😍,,, im super sensitive when it comes to being used!
 
Hahahahahahah demu anakutumia kama daraja na wewe upo tu umebung’aa ukibaniwa sauti umelegea
hahahaha asilimia 90% wanatutumia kama madaraja ya kufikia ndoa bora wanazoziota......inahitajika akiki ya ziada sana kugundua hilo
 
Mwanaume kbsa hela yoote unaweka sehemu moja na demu ulie nae tayari anaonekana ana element za kutaka ela yako mzee unafeli sana
 
hahahaha asilimia 90% wanatutumia kama madaraja ya kufikia ndoa bora wanazoziota......inahitajika akiki ya ziada sana kugundua hilo
Heheheh akipata bwana wa ndoto zake anaanza visa anakuacha solemba na nyuzi za vilio jeiefu 😂😂😂
 
Wakuu ..siku mbili tatu hiz kuna majukum makubwa nimefanya sasa kwa asilimia kubwa nimekwangua mfuko wangu na akiba karibu asilimia 80...

Sasa nikabak na kapesa kadogo kakusukuma siku mbil tatu...

Sasa kuna bint huyu shemej yenu kaja hapa kwangu tokea siku ya sabasaba kaondoka leo mda si mref...huyu bint yan sijui..akil yake huwa ni nin..huyu bint aliniomba kias flan cha pesa nkamwambia sina kwasasa nmetumia hela nying mda si mref...huyu bint toka hyo siku anaongea vimaneno maneno vya kukera tokea hyo j5 had jana nkamwambia wee ndugu yangu una tatzo gan...akanijib wee kama huna hela mbona tunakula makuku na kunywa kila siku hapa...nkamwambia hvyo unavyokula umeona nimetoka nje kwenda kununua?au unakula vilivyohifadhiwa kwenye jokofu ..unapika na kula...bas toka hyo siku ya j5 anakunja mdomo tu..sasa.

Ndan kwenye surual nilikua kama na lak2 hiv..ya kusukuma gurudum ....sasa sjui kanipekua..yaan huwez amin...binti kachkua hyo hela yoote...hapa nmebak na korodani zangu tuu.

Ila nna hasira had natetemeka..halaf katuma msg..ndio nimechkua hela..

Well...kiukwel mim mtu kuchkua hela bila ridhaa sipend....yaan dah..well..hyo hela sio ishu.magoli yangu yananipa tu hata kesho asubuh...ila sasa unachkuaje hela namna hyo?

Inamana tumezoeana sana ama?

Hiv kosa kama hili si la kumuacha kabisa binti huyu au ni hasira tu wakuu..hahahah

Uzi tayar...
Angekuwa mkeo kakufanyia hivyo siyo mbaya, kama ni lidem tu litakuwa jizi sanaaa mwanamke anaye kupenda hawez kukuchukulia hela kinyemela bila kukuomba au kukupa taarifa.
 
Heheheh sio cha kwangu beste [emoji7],,, im super sensitive when it comes to being used!
Ha ha ha ha ha ha yaan huwa muna maamuzi ya kishujaaa. Yaan hutaamini na venye hakuna cha kuwafanya... ila its very bad kumtumia mtu. Its a sin. Na haisameheki hakika. Na hasa akiwa jambazi. Mwanamke bora awe mbea ila siyo jambazi
 
Hapana.ni demu wangu sema.huwa haamin nikimwambia sina hela...sjui wanawake wengne hamna huruma au nin..tena nimejielezea sana kuwa hal ni mbaya ntampa j5 hyo hela..sasa kachkua hela hapa hata vocha siwez nunua...
Hawez kukuamin kwasababu umesha jiaminisha Una pesa, kila akikuomba pesa Una mpa Kwa wakati, unatakiwa Umzoeshe kuto kumpa pesa unataki wakati mwingine akikuomba pesa unatakiwa umnyime ili ajue kama unaishiwaga pesa, siyo kila akikuomba pesa lazima umpe ni kosa unafanya.
 
Sasa aliona tangu saba saba unampinda tu bila tips kiasi akaona utampiga wash kweupe wewe😀😀😀
Hilo siyo kosa la kumuacha mkuu wewe mpige Ukoloni mambo leo mpaka uridhike. Pesa ya mgumu inarudi hivyo
Ukolon mambo leo???
 
Nadhani umemdekeza sana...anaanzaje kukusachi na wewe unakubali...usipojua kuacha leo hutakuja kuacha kamwe
Wa Africa tuna tabia ya kusachi vitu vya wagen, marafik, wapenz, ata wewe naima umewai kusachi
 
Back
Top Bottom