NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
- Thread starter
- #21
MKUU MBONA UMEWEKA ALAMA YA NGURUWEYeye mwenyewe ameridhika kama Nkane!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MKUU MBONA UMEWEKA ALAMA YA NGURUWEYeye mwenyewe ameridhika kama Nkane!
Mimi ntakua against na wewe kwasababu kadhaa wa kadhaa...Simba na Yanga walishwahi kumtaka Abdul Suleiman Sopu lakini bwana mdogo alikataa ofa za mapacha na kukimbilia chamazi (azam ) siyo kwamba labda bwana mdogo alikua hataki exposure za mapacha hapana ila alijua timu za kariakoo hazina muda wa kumvumilia mtu zinataka ukivaa jezi tu basi ukafunge magoli kama halaand pale Manchester City.
Shafii Dauda alimtafutia timu za nje bwanamdogo Chasanbi lakini kakataa na kukimbilia Simba sc cha ajabu hapati namba na akipata anacheza kwa presha sana kiufupi bwana mdogo ana hali mbaya pale kwenye kikosi cha Simba sc
Aliwahi kusema Gadiel Michael kuwa '' katika kitu ambacho najutia ni kutoka Yanga kwenda simba sc'' akimaanisha kuwa muda mwingi aliupoteza kwa kukaa benchi kuliko kucheza na ukiangalia bwana mdogo alikua ana talanta na kipaji na kucheza ball lakini benchi liliua kipaji chake
Maoni Yangu : Mliokaribu na bwana mdogo Chasambi mwambie muda ndiyo huu wa kutoka simba kwenda kutafuta changamoto sehemu nyingine akiendelea hivyo atakaa benchi na atakuja kujutia muda wake alioupoteza kwa kukaa benchi kwani kipaji na uwezo anao mkubwa mno
NIKAJUA WEWE NI NGURUE FC
WATOTO WANAPATA NAMBAAzam ni sehm salama sana kwa vipaji vya bongo
UNAWEZA KUNIAMBIA KUWA WACHEZAJI WAZAWA WANAOCHEZA YANGA NA SIMBA HAWAJUTUMI??Mimi ntakua against na wewe kwasababu kadhaa wa kadhaa...
Kuna wachezaji wengi Sana tunaweza kuwa mention hapa..
ambao walianza kua makinda kwenye timu kubwa na wakafanya vizuri na dunia ikawajua issue Ni kujiamini na kujituma mazoezini na uwanjani bila kusahau Mwenyezi Mungu..
Dauda kwenye Moja na mbiliSimba na Yanga walishwahi kumtaka Abdul Suleiman Sopu lakini bwana mdogo alikataa ofa za mapacha na kukimbilia chamazi (azam ) siyo kwamba labda bwana mdogo alikua hataki exposure za mapacha hapana ila alijua timu za kariakoo hazina muda wa kumvumilia mtu zinataka ukivaa jezi tu basi ukafunge magoli kama halaand pale Manchester City.
Shafii Dauda alimtafutia timu za nje bwanamdogo Chasanbi lakini kakataa na kukimbilia Simba sc cha ajabu hapati namba na akipata anacheza kwa presha sana kiufupi bwana mdogo ana hali mbaya pale kwenye kikosi cha Simba sc
Aliwahi kusema Gadiel Michael kuwa '' katika kitu ambacho najutia ni kutoka Yanga kwenda simba sc'' akimaanisha kuwa muda mwingi aliupoteza kwa kukaa benchi kuliko kucheza na ukiangalia bwana mdogo alikua ana talanta na kipaji na kucheza ball lakini benchi liliua kipaji chake
Maoni Yangu : Mliokaribu na bwana mdogo Chasambi mwambie muda ndiyo huu wa kutoka simba kwenda kutafuta changamoto sehemu nyingine akiendelea hivyo atakaa benchi na atakuja kujutia muda wake alioupoteza kwa kukaa benchi kwani kipaji na uwezo anao mkubwa mno
mimi syo dauda ila nimejenga hoja na kuwakumbusha wadogo zetuDauda kwenye Moja na mbili
Hahahahaha hili konzi umepigajeJitu likisha kuwa SHABIKI LA YANGA lina hulka ya UCHAWI na ROHO MBAYA sana! Kila kukicha Unaona kasoro za Simba tuuuu.
Maaaaamae zako, Kabla ya kumshauri CHASAMBI wa Simba anza na DENNIS NKANE wa Utopolo maaana unajifanya kana kwamba Yanga ndio hao chipukizi hawapo. Juma Mahadhi yuko wapi, Malimi Busungu yuko wapi, Bahanuzi yuko wapi?
Ya simba waachie wenyewe malizana kwanza na utopolo wenu pimbi wewe.
mashabiki wa simba hampendi kujikita kwenye hoja bali mnapenda kupanikiHahahahaha hili konzi umepigaje
Mkuu haya mawazo ni yake sio ya mashabiki wa yanga sawa . Huyu pimbi hata sisi Wana yanga hatumtambui yupo kama kimbora hivi...Jitu likisha kuwa SHABIKI LA YANGA lina hulka ya UCHAWI na ROHO MBAYA sana! Kila kukicha Unaona kasoro za Simba tuuuu.
Maaaaamae zako, Kabla ya kumshauri CHASAMBI wa Simba anza na DENNIS NKANE wa Utopolo maaana unajifanya kana kwamba Yanga ndio hao chipukizi hawapo. Juma Mahadhi yuko wapi, Malimi Busungu yuko wapi, Bahanuzi yuko wapi?
Ya simba waachie wenyewe malizana kwanza na utopolo wenu pimbi wewe.
KWANI UNAZANI AZAM WALIWEKA DAU KUBWA SANA KUWAZIDI SIMBA NA YANGAKatika maisha ya binadam yeyeto kwenye utafutaji chakwanza ni pesa pesa pesa!. Soup hajuzikataa Simba na yanga Bali Azam walimpa pesa iliyozidi ofa ya timu hizi.
Hahahahaha ..mashabiki wa simba hampendi kujikita kwenye hoja bali mnapenda kupaniki
pole sana kijana unashindwa kujikita kwenye hoja unatumia hisia kiusambaza chukiMk
Mkuu haya mawazo ni yake sio ya mashabiki wa yanga sawa . Huyu pimbi hata sisi Wana yanga hatumtambui yupo kama kimbora hivi…
HAKIKA MKUU NABI ALIPENDA SANA TALANTA ZA VIJANA WA KIBOKOKocha aliyekuwa anatoa nafasi kwa Simba na Yanga mpaka kwa vijana ni Nabi, wengine sioni
Nkane, Mshery &Farid hawaitaji ushauri?.Simba na Yanga walishwahi kumtaka Abdul Suleiman Sopu lakini bwana mdogo alikataa ofa za mapacha na kukimbilia chamazi (azam ) siyo kwamba labda bwana mdogo alikua hataki exposure za mapacha hapana ila alijua timu za kariakoo hazina muda wa kumvumilia mtu zinataka ukivaa jezi tu basi ukafunge magoli kama halaand pale Manchester City.
Shafii Dauda alimtafutia timu za nje bwanamdogo Chasanbi lakini kakataa na kukimbilia Simba sc cha ajabu hapati namba na akipata anacheza kwa presha sana kiufupi bwana mdogo ana hali mbaya pale kwenye kikosi cha Simba sc
Aliwahi kusema Gadiel Michael kuwa '' katika kitu ambacho najutia ni kutoka Yanga kwenda simba sc'' akimaanisha kuwa muda mwingi aliupoteza kwa kukaa benchi kuliko kucheza na ukiangalia bwana mdogo alikua ana talanta na kipaji na kucheza ball lakini benchi liliua kipaji chake
Maoni Yangu : Mliokaribu na bwana mdogo Chasambi mwambie muda ndiyo huu wa kutoka simba kwenda kutafuta changamoto sehemu nyingine akiendelea hivyo atakaa benchi na atakuja kujutia muda wake alioupoteza kwa kukaa benchi kwani kipaji na uwezo anao mkubwa mno