Hili la bwana mdogo chasambi likawe funzo kwa wachezaji chipukizi wa ndani wanaotaka kucheza simba na yanga

Hili la bwana mdogo chasambi likawe funzo kwa wachezaji chipukizi wa ndani wanaotaka kucheza simba na yanga

Simba na Yanga walishwahi kumtaka Abdul Suleiman Sopu lakini bwana mdogo alikataa ofa za mapacha na kukimbilia chamazi (azam ) siyo kwamba labda bwana mdogo alikua hataki exposure za mapacha hapana ila alijua timu za kariakoo hazina muda wa kumvumilia mtu zinataka ukivaa jezi tu basi ukafunge magoli kama halaand pale Manchester City.

Shafii Dauda alimtafutia timu za nje bwanamdogo Chasanbi lakini kakataa na kukimbilia Simba sc cha ajabu hapati namba na akipata anacheza kwa presha sana kiufupi bwana mdogo ana hali mbaya pale kwenye kikosi cha Simba sc

Aliwahi kusema Gadiel Michael kuwa '' katika kitu ambacho najutia ni kutoka Yanga kwenda simba sc'' akimaanisha kuwa muda mwingi aliupoteza kwa kukaa benchi kuliko kucheza na ukiangalia bwana mdogo alikua ana talanta na kipaji na kucheza ball lakini benchi liliua kipaji chake

Maoni Yangu : Mliokaribu na bwana mdogo Chasambi mwambie muda ndiyo huu wa kutoka simba kwenda kutafuta changamoto sehemu nyingine akiendelea hivyo atakaa benchi na atakuja kujutia muda wake alioupoteza kwa kukaa benchi kwani kipaji na uwezo anao mkubwa mno
Mimi ntakua against na wewe kwasababu kadhaa wa kadhaa...

Kuna wachezaji wengi Sana tunaweza kuwa mention hapa..
ambao walianza kua makinda kwenye timu kubwa na wakafanya vizuri na dunia ikawajua issue Ni kujiamini na kujituma mazoezini na uwanjani bila kusahau Mwenyezi Mungu..

Nilikua naangalia mechi ya Jana ya Simba mtu kama ONANA anavyo kosa kosa mabao ya wazi wazi 😊 bagoshaa

Binafsi kazi rahisi na ambayo Mwenyezi Mungu aliiweka ndani yangu Ni mpira wa miguu

Kwenye mguu wangu wa kushoto mungu aliweka kipaji Cha ajabu nimeshuhudia mengi Sanaa uwanjani jinsi mpira ulivyo nitii Ila nili udharau mpira wa miguu nikakomaa na kitabu

Enzi zile mpira haukua na value Kama leo
 
Mimi ntakua against na wewe kwasababu kadhaa wa kadhaa...

Kuna wachezaji wengi Sana tunaweza kuwa mention hapa..
ambao walianza kua makinda kwenye timu kubwa na wakafanya vizuri na dunia ikawajua issue Ni kujiamini na kujituma mazoezini na uwanjani bila kusahau Mwenyezi Mungu..
UNAWEZA KUNIAMBIA KUWA WACHEZAJI WAZAWA WANAOCHEZA YANGA NA SIMBA HAWAJUTUMI??
HIZI TIMU ZINATABIA ZA KUHUSUDU WAGENI KULIKO WAZAWA VIJANA WANAPIGA TIZI LAKINI HAWAPATI MATCH FITNESS

YUPO WAPI GADIEL MICHAEL WA YANGA NA YUPO WAPI BENO KAKOLANYA WA YANGA??

YUPO WAPI DENISI NKANE WA NABI AU UNATAKA KUSEMA DENIS NI MBOVU KULIKO SKUDU MBONA SKUDU ANAPATA NAMBA DENIS HAPATI ??
 
Simba na Yanga walishwahi kumtaka Abdul Suleiman Sopu lakini bwana mdogo alikataa ofa za mapacha na kukimbilia chamazi (azam ) siyo kwamba labda bwana mdogo alikua hataki exposure za mapacha hapana ila alijua timu za kariakoo hazina muda wa kumvumilia mtu zinataka ukivaa jezi tu basi ukafunge magoli kama halaand pale Manchester City.

Shafii Dauda alimtafutia timu za nje bwanamdogo Chasanbi lakini kakataa na kukimbilia Simba sc cha ajabu hapati namba na akipata anacheza kwa presha sana kiufupi bwana mdogo ana hali mbaya pale kwenye kikosi cha Simba sc

Aliwahi kusema Gadiel Michael kuwa '' katika kitu ambacho najutia ni kutoka Yanga kwenda simba sc'' akimaanisha kuwa muda mwingi aliupoteza kwa kukaa benchi kuliko kucheza na ukiangalia bwana mdogo alikua ana talanta na kipaji na kucheza ball lakini benchi liliua kipaji chake

Maoni Yangu : Mliokaribu na bwana mdogo Chasambi mwambie muda ndiyo huu wa kutoka simba kwenda kutafuta changamoto sehemu nyingine akiendelea hivyo atakaa benchi na atakuja kujutia muda wake alioupoteza kwa kukaa benchi kwani kipaji na uwezo anao mkubwa mno
Dauda kwenye Moja na mbili
 
Jitu likisha kuwa SHABIKI LA YANGA lina hulka ya UCHAWI na ROHO MBAYA sana! Kila kukicha Unaona kasoro za Simba tuuuu.

Maaaaamae zako, Kabla ya kumshauri CHASAMBI wa Simba anza na DENNIS NKANE wa Utopolo maaana unajifanya kana kwamba Yanga ndio hao chipukizi hawapo. Juma Mahadhi yuko wapi, Malimi Busungu yuko wapi, Bahanuzi yuko wapi?
Ya simba waachie wenyewe malizana kwanza na utopolo wenu pimbi wewe.
Hahahahaha hili konzi umepigaje
 
Katika maisha ya binadam yeyeto kwenye utafutaji chakwanza ni pesa pesa pesa!. Soup hajuzikataa Simba na yanga Bali Azam walimpa pesa iliyozidi ofa ya timu hizi.
 
Mk
Jitu likisha kuwa SHABIKI LA YANGA lina hulka ya UCHAWI na ROHO MBAYA sana! Kila kukicha Unaona kasoro za Simba tuuuu.

Maaaaamae zako, Kabla ya kumshauri CHASAMBI wa Simba anza na DENNIS NKANE wa Utopolo maaana unajifanya kana kwamba Yanga ndio hao chipukizi hawapo. Juma Mahadhi yuko wapi, Malimi Busungu yuko wapi, Bahanuzi yuko wapi?
Ya simba waachie wenyewe malizana kwanza na utopolo wenu pimbi wewe.
Mkuu haya mawazo ni yake sio ya mashabiki wa yanga sawa . Huyu pimbi hata sisi Wana yanga hatumtambui yupo kama kimbora hivi...
 
Katika maisha ya binadam yeyeto kwenye utafutaji chakwanza ni pesa pesa pesa!. Soup hajuzikataa Simba na yanga Bali Azam walimpa pesa iliyozidi ofa ya timu hizi.
KWANI UNAZANI AZAM WALIWEKA DAU KUBWA SANA KUWAZIDI SIMBA NA YANGA
 
Mk

Mkuu haya mawazo ni yake sio ya mashabiki wa yanga sawa . Huyu pimbi hata sisi Wana yanga hatumtambui yupo kama kimbora hivi…
pole sana kijana unashindwa kujikita kwenye hoja unatumia hisia kiusambaza chuki
 
Kocha aliyekuwa anatoa nafasi kwa Simba na Yanga mpaka kwa vijana ni Nabi, wengine sioni
HAKIKA MKUU NABI ALIPENDA SANA TALANTA ZA VIJANA WA KIBOKO
DENIS NKANE ALIPENDWA SANA NA NABI KILA UKIMTAJA NABI NAMKUMBUKA NKANE NA COASTAL UNION KWENYE KOMBE LA FA ADDUL SOPU KATUPIA TATU YANGA WAMELOWA DAKIKA ZA MWISHO KABISA NKANE KASIMAMA ANAKWENDA KUWEKA KAMBA YA KUSAWAZISHA
 
🤣🤣🤣 kwanza wachezaji wengi wanaelimu ndogo Sana. Hii pia inasababishwa na umri ambao ilibidi wawe shule kukomaza akili ndio umri sahihi wa kucheza mpira so wasipopata washauri Wazuri lazima wakosee. Simba ilienda kubomoa utawala wa Yanga Wala sio kwamba iliwahitani Sana Ajibu na Gadiel ila Kwa sababu uelewa wao ulikuwa mdogo wakaingia kwenye 18 zao. Hata Morison kurudi Yanga kutoka Simba ilikuwa kuibomoa Simba baada ya kutawala soka la Tz Kwa miaka minne
 
Simba na Yanga walishwahi kumtaka Abdul Suleiman Sopu lakini bwana mdogo alikataa ofa za mapacha na kukimbilia chamazi (azam ) siyo kwamba labda bwana mdogo alikua hataki exposure za mapacha hapana ila alijua timu za kariakoo hazina muda wa kumvumilia mtu zinataka ukivaa jezi tu basi ukafunge magoli kama halaand pale Manchester City.

Shafii Dauda alimtafutia timu za nje bwanamdogo Chasanbi lakini kakataa na kukimbilia Simba sc cha ajabu hapati namba na akipata anacheza kwa presha sana kiufupi bwana mdogo ana hali mbaya pale kwenye kikosi cha Simba sc

Aliwahi kusema Gadiel Michael kuwa '' katika kitu ambacho najutia ni kutoka Yanga kwenda simba sc'' akimaanisha kuwa muda mwingi aliupoteza kwa kukaa benchi kuliko kucheza na ukiangalia bwana mdogo alikua ana talanta na kipaji na kucheza ball lakini benchi liliua kipaji chake

Maoni Yangu : Mliokaribu na bwana mdogo Chasambi mwambie muda ndiyo huu wa kutoka simba kwenda kutafuta changamoto sehemu nyingine akiendelea hivyo atakaa benchi na atakuja kujutia muda wake alioupoteza kwa kukaa benchi kwani kipaji na uwezo anao mkubwa mno
Nkane, Mshery &Farid hawaitaji ushauri?.
 
Back
Top Bottom