Hili la Dkt. Mpango kuwa Makamu wa Rais ni "mchafukoge" tafakari

Hili la Dkt. Mpango kuwa Makamu wa Rais ni "mchafukoge" tafakari

KooZito

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2020
Posts
397
Reaction score
1,377
Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Dkt. Philip Mpango kuwa Makamu wake. Amethibitishwa na Bunge kwa asilimia 100! Well, ni pendekezo lake.

Mpango amepewa sifa kedekede na wanaCCM wenzake as usual.

Shida yangu iko hapa, Rais amekuwa na mashaka makubwa katika hazina kuu BoT kwamba kuna uwezekano kuna ukwapuaji umefanyika hapo kati ya January na Mach 2021. Kimsingi ange-dout kuanzia January 2016+ kama amedhamiria kufukunyua ufisadi.

Swali langu, utawezaje kuchunguza fedha za BoT bila kumchunguza na Waziri wa Fedha? Sasa si huyu anayesifiwa ndiye alikuwa Waziri mwenye dhamana ambaye Gavana na Katibu Mkuu walikuwa chini yake? Leo nani atamchunguza Makamu wa Rais?

Is Samia seriuos?
#FreedomIsBack
 
Cv yake ni kali ! Akiitumia vizuri Tz ya marehemu JPM itazidi kusonga mbele . Hongera Mama kwa kuona mbali .

Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
Acha kutuaibisha marehemu hana chake tena, hakuna tz ya marehemu. Kama ukipenda kiasi hicho mfate ukaishi naye huko alipo. Kifupi ccm ni ileile hakuna asiye mwizi
 
Pengine aliempa hizo taarifa na kumpa mbinu ya kuomba BOT wamletee hizo Taarifa ni Dr Mpango

Kumbuka Paymaster General Doto James alikuwa anaingia Ikulu bila ya appointment muda wowote
Mtoto wa dada anajua yote kuhusu pesa
 
Wanaeweza kukwapua yeye asijue ama akaja kujua baadaye, kwani saini yake ilihitajika ili zitoke huko bot?
 
Kumbuka kama kuna wizi umefanyika Bot,basi chini ya Maghu,Mpango asingeweza kufanya kitu,kama tirioni 1.5,ilitolewa Hazina kwa "baraka"za Maghu,Huwezi kumlaumu Mpango,Mpango anajuwa wezi wote wa hazina waliokuwa wanaiba kwa jina la Jiwe,asingeweza kuwafanya kitu,walikuwa ni team jiwe,sasa hv anawakati mzuri wa kusafisha.
 
Punguzeni ujinga na upumbavu.

Siyo kila kitu ni cha kuweka weka maneno tu muda wote
 
Back
Top Bottom