Hili la Dkt. Mpango kuwa Makamu wa Rais ni "mchafukoge" tafakari

Hili la Dkt. Mpango kuwa Makamu wa Rais ni "mchafukoge" tafakari

Mama kamleta karibu mtu anaejua vizuri matumizi ya fedha za miradi mikubwa wakati wa JPM
Watapata nafasi ya kushauriana miradi inayofaa kuendelezwa na kuachana na miradi isiyo na tija la taifa.
Amefanya chaguo sahihi
 
Dt mpango Ni mchapakazi ila kanikera tu kuanza kumsifia jiwe bungeni na kuponda wapinzani eti walikua hawaungi mkono budget yake ,nimemshangaa sn kusema hapana kwenye budget sio kupinga labda walikua na plan B ya kufikia lengo hakuna mbunge hataki maji,umeme,barabara ila Ni jinsi gani ya kupata hivyo vitu ,so dr mpango ajirekebishe aache wehu wa mwendazake
 
Hoja mujarab...!!!
You know what? CCM ni walewale pengine hii ni kujaribu kuficha uozo wa BOT!!
Huwezi kuhoji upotevu wa Fedha BOT ukamtenga Waziri wa Fedha, Gavana BOT na Mweka Hazina Mkuu wa Serikali. Hapa ni kupigwa changa la macho tu!

Katika utawala usio na transparency pia?

Aidha nashangaa sisi wa Tz sijui labda tunataka mtu ateuliwe kutoka mbinguni kwani hata hajaanza hiyo kazi tayari maneno yamekuwa mengi.
 
Makelele yanazidi lakini hicho cheo hakina majukumu yoyote ya kiutendaji ko nikusubiria kutumwa tuu
 
Huyu Makamu alicho nishangaza ni Kuhutubia mambo ya Magufuli.

...,Yy atuambie ata tufanyia nn Watanzania? siyo kuleta projo za mapambio. Be neutral bro.

Hii ni sawa na wakati alipokufa Karume 1972 tulikuwa tunaimba ‘kilichokufa ni kiwiliwili lakini fikra na mawazo yake vitadumu milele’

Jumbe alipokamata usukani alifanya mabadiliko mengi sana ambayo yalileta maendeleo makubwa.
 
Acha kutuaibisha marehemu hana chake tena, hakuna tz ya marehemu. Kama ukipenda kiasi hicho mfate ukaishi naye huko alipo. Kifupi ccm ni ileile hakuna asiye mwizi
Mpango mwenyewe kasema lazima kuyaenzi na kuyatekeleza maono ya Magufuri
 
We ulitaka awe Nani mkuu,,,?! Maana wabongo kazi yenu Ni kuongea tuuu,,, Yani hamna mazuri,,, ndio maana mzee baba aliwafunga midomo maana mmezidi..
 
Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Dkt. Philip Mpango kuwa Makamu wake. Amethibitishwa na Bunge kwa asilimia 100! Well, ni pendekezo lake.

Mpango amepewa sifa kedekede na wanaCCM wenzake as usual.

Shida yangu iko hapa, Rais amekuwa na mashaka makubwa katika hazina kuu BoT kwamba kuna uwezekano kuna ukwapuaji umefanyika hapo kati ya January na Mach 2021. Kimsingi ange-dout kuanzia January 2016+ kama amedhamiria kufukunyua ufisadi.

Swali langu, utawezaje kuchunguza fedha za BoT bila kumchunguza na Waziri wa Fedha? Sasa si huyu anayesifiwa ndiye alikuwa Waziri mwenye dhamana ambaye Gavana na Katibu Mkuu walikuwa chini yake? Leo nani atamchunguza Makamu wa Rais?

Is Samia seriuos?
#FreedomIsBack
Bado siamin zao la NYANI ,litakuwa Simba....NYANI DAIMA HUZAA NYANI,NA NYANI DAIMA HUISHI NA NYANI...
 
Binafsi Nina Imani na mpango sijui kwa nini..
Hivi tangu lini cheo cha makamu wa raisi kimekuwa na nguvu hiyo..huyo atazindua vyoo na mifereji ya maji machafu..JK anaongoza nchi kwa mbaaliii
 
Kazi ya makamo wa Raisi ni kuweka mawe ya msingi ya ujenzi wa vyoo na pia kufungua miradi kama ya masoko ya kata na wilaya au kufungua wodi za wagonjwa wa matende na mabusha...
Sasa hio taaluma yake ya uchumi sijui ataitumia wapi?!
Kwa kifupi mpango ndio keshapotea
 
Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Dkt. Philip Mpango kuwa Makamu wake. Amethibitishwa na Bunge kwa asilimia 100! Well, ni pendekezo lake.

Mpango amepewa sifa kedekede na wanaCCM wenzake as usual.

Shida yangu iko hapa, Rais amekuwa na mashaka makubwa katika hazina kuu BoT kwamba kuna uwezekano kuna ukwapuaji umefanyika hapo kati ya January na Mach 2021. Kimsingi ange-dout kuanzia January 2016+ kama amedhamiria kufukunyua ufisadi.

Swali langu, utawezaje kuchunguza fedha za BoT bila kumchunguza na Waziri wa Fedha? Sasa si huyu anayesifiwa ndiye alikuwa Waziri mwenye dhamana ambaye Gavana na Katibu Mkuu walikuwa chini yake? Leo nani atamchunguza Makamu wa Rais?

Is Samia seriuos?
#FreedomIsBack
Wewe ni ile team MsG mliokuwa ba VP wenu mfukoni.


Shenzytype we
 
Hii ni Tanzania ya Mh. Rais Samia Suluhu Hassan. Huwa hatuongozwi na wafu
Ya Magufuli ilikwisha siku aliyotoa Roho akabaki kwenye machine mpaka walipotangaza rasmi. Tuheshimu Utawala na ukiisha umeisha. Hatuna Tanzania ya Magufuli sisi.
Kuna Watz wapuuzi sana hasa ma-CCM. Bado wanafikiri hii Tanzania bado ni ya Hayati Magufuli. That's very NONSENSE!!!!. Biblia imesema wazi kabisa kuwa Mungu si Mungu wa WAFU na bado imeende mbele zaidi na kusema AMELAANIWA AMTEGEMEAE MWANADAMU tena marehemu!!!!.
Ma-CCM mtegemeeni Mungu na si Marehemu Magufuli...!!!Over n' Out.
 
Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Dkt. Philip Mpango kuwa Makamu wake. Amethibitishwa na Bunge kwa asilimia 100! Well, ni pendekezo lake.

Mpango amepewa sifa kedekede na wanaCCM wenzake as usual.

Shida yangu iko hapa, Rais amekuwa na mashaka makubwa katika hazina kuu BoT kwamba kuna uwezekano kuna ukwapuaji umefanyika hapo kati ya January na Mach 2021. Kimsingi ange-dout kuanzia January 2016+ kama amedhamiria kufukunyua ufisadi.

Swali langu, utawezaje kuchunguza fedha za BoT bila kumchunguza na Waziri wa Fedha? Sasa si huyu anayesifiwa ndiye alikuwa Waziri mwenye dhamana ambaye Gavana na Katibu Mkuu walikuwa chini yake? Leo nani atamchunguza Makamu wa Rais?

Is Samia seriuos?
#FreedomIsBack
Baadhi ya Wabongo mna washwa washwaaaaa. Tafuteni pesa. Mkizipata mtapona huo ugonjwa wenu wa kuwashwa washwa
 
Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Dkt. Philip Mpango kuwa Makamu wake. Amethibitishwa na Bunge kwa asilimia 100! Well, ni pendekezo lake.

Mpango amepewa sifa kedekede na wanaCCM wenzake as usual.

Shida yangu iko hapa, Rais amekuwa na mashaka makubwa katika hazina kuu BoT kwamba kuna uwezekano kuna ukwapuaji umefanyika hapo kati ya January na Mach 2021. Kimsingi ange-dout kuanzia January 2016+ kama amedhamiria kufukunyua ufisadi.

Swali langu, utawezaje kuchunguza fedha za BoT bila kumchunguza na Waziri wa Fedha? Sasa si huyu anayesifiwa ndiye alikuwa Waziri mwenye dhamana ambaye Gavana na Katibu Mkuu walikuwa chini yake? Leo nani atamchunguza Makamu wa Rais?

Is Samia seriuos?
#FreedomIsBack
Maswali yako ni mazuri sana,ila na mimi najiuliza,ni kwa jinsi gani tunaweza kujiridhisha kwamba hii scandal haikutengenezwa na wana mtandao ili kumzuia Dr, F. Mpango kuwa VP?
tuendelee kutafakari.
 
Kuna Watz wapuuzi sana hasa ma-CCM. Bado wanafikiri hii Tanzania bado ni ya Hayati Magufuli. That's very NONSENSE!!!!. Biblia imesema wazi kabisa kuwa Mungu si Mungu wa WAFU na bado imeende mbele zaidi na kusema AMELAANIWA AMTEGEMEAE MWANADAMU tena marehemu!!!!.
Ma-CCM mtegemeeni Mungu na si Marehemu Magufuli...!!!Over n' Out.
Tanzania ni ya watanzania,si ya ccm au chama chochote cha siasa.Ni muhimu sana kulijua hili
Nchi hii ni yetu sote watanzania .hivyo nashauri tabia ya kutusemea watanzania wenzenu ife.
Mfano mzuri ni maziko aliyoyapata magufuli,huo ni ujumbe tosha kwamba watanzania tunataka kuongozwa kwa mfumo alioutumia magufuli.
Kama uliangalia picha zote za msiba,waliovaa uniform za ccm ni wachache sana ukilinganisha na umati ambao hawakujulikana walikuwa wanachama gani.
Biblia umeinukuu vizuri,lakini ina vipengele vingi vya kunukuu.
kimojawapo ni hiki kutoka kitabu cha Ufunuo wa Yohana " heri wafu wafao katika Bwana,........kwa kuwa matendo yao yafuatana nao" Mdo 14:13. Kama wewe ni mkristo unaelewa fika kuwa watumishi wote walioandika vitabu vya injili walikufa lakini maandiko yao waliyoyaandika kwa kuongozwa na Roho wa Mungu hata sasa yanaishi na yanawavusha wanaomtumaini Mungu.
Kwa hiyo mtu anaweza kufa ndio lakini matendo yake yakaishi. Tumesema mara nyingi kuyaenzi mazuri ya baba wa taifa,
sasa ubaya uko wapi tukiyaenzi mazuri ya Magufuli.
Naomba niwe mkweli kwamba,suala la kusema hili zuri na hili baya inategemea na dhamira ya huyo anayetoa maamuzi ya kusema ni wa mlengo gani.
Mfano,kwenye mtaa kikizinduliwa kituo cha polisi.watu wema wanafurahi lakini vibaka na wauza bangi wanachukia hata kuuhama mtaa.
 
Kuna Watz wapuuzi sana hasa ma-CCM. Bado wanafikiri hii Tanzania bado ni ya Hayati Magufuli. That's very NONSENSE!!!!. Biblia imesema wazi kabisa kuwa Mungu si Mungu wa WAFU na bado imeende mbele zaidi na kusema AMELAANIWA AMTEGEMEAE MWANADAMU tena marehemu!!!!.
Ma-CCM mtegemeeni Mungu na si Marehemu Magufuli...!!!Over n' Out.
Uko vizuri Mkuu. Waambiwe hao viziwi waliobebwa na mwendazake. Mungu wao huyo waendelee kumuabudu. Sisi tuko live na Live President Samia Suluhu Hasan
 
Back
Top Bottom