Hili la Dkt. Mpango kuwa Makamu wa Rais ni "mchafukoge" tafakari

Hili la Dkt. Mpango kuwa Makamu wa Rais ni "mchafukoge" tafakari

Pengine aliempa hizo taarifa na kumpa mbinu ya kuomba BOT wamletee hizo Taarifa ni Dr Mpango

Kumbuka Paymaster General Doto James alikuwa anaingia Ikulu bila ya appointment muda wowote
Nilikaa na kufanyakazi na waha ni balaa, kwa upole na kufanyakazi wako vizuri ila kwa fitna na kuzungukana wako vizuri. Angalia Zitto hajawahi kamatwa Kama Mbowe.

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
 
Acha kutuaibisha marehemu hana chake tena, hakuna tz ya marehemu. Kama ukipenda kiasi hicho mfate ukaishi naye huko alipo. Kifupi ccm ni ileile hakuna asiye mwizi
Nyumbu acha kupangia watu mahaba yao, uliona alivyoagwa, huna budi kusikia sifa zake hadi kifo kitakapokukuta na wewe, kwa iyo kuweni wapole tu mpractice iyo democracy ya pro magufuli kusema vitu vyao, kama hamtaki, hamieni serengeti national park then migrate to mara
 
Pengine aliempa hizo taarifa na kumpa mbinu ya kuomba BOT wamletee hizo Taarifa ni Dr Mpango

Kumbuka Paymaster General Doto James alikuwa anaingia Ikulu bila ya appointment muda wowote
Exactly ndivyo ilivyo Mpango , katoa siri zote za wizi wa hela ndio maana mama kamteua , hata hiyo mbinu kaambiwa na Mpango . Mpaka hela zingine DPP Bizwalo Mganga alizipeleka China kuficha kwa balozi Mbelwa Kariuki
Screenshot_20210330-153551.png
Screenshot_20210330-153537.png
 
Toeni majungu yenu serikali imevipa vyombo huru kuchunguza na tayari kazi imeanza, jana mmemsifu CAG leo mnamkana kwamba hana meno, tulieni mpeni muda CAG na TAKUKURU. Tumetekeleza Kazi inaendelea
Majungu au wanajadili? Hao ni watanzania Wana haki ya kujadili kuhusu nchi yao
 
Poor reasoning, poor assumptions! Kama BoT kuna wizi, nani alimdokeza President?
Hapo umejionesha kwamba huamini miaka yote ya Magufuli ilikuwa wizi tu! Kwa nini usitilie mashaka tangu enzi za escrow? Nahisi una personal bad wishes kwa watu wema.
 
Kazi za Mpango alikuwa anazifanya mwenda zake,Mpango alikuwa anapangiwa tu nini cha kufanya
 
Mama Samia ni kiongozi makini sana maamuzi yake hayachagizwi na ujinga wa Twitter.
 
Nimpongeze Dr. Mpango, nakubali nimchapa kazi na anaweza kutuvusha kwenda nchi ya haki na Demokrasia pamoja na utawala wa sheria.

Wasiwasi wangu ni kwamba huyu anatoka jikoni na kelele nyingi za wananchi zilielekezwa hazina ambayo alikuwa anaisimamia yeye na Miradi yote ilipata fedha kutoka ofisini kwake. Ikumbukwe pia hata fedha zilizokuwa zinakusanywa vikosi kazi zilipita kwake. Je katika mazingira haya, ataryhusu achunguzwe kuhusu uhalali wa matumizi ya fedha hizo?

Ataruhusu uchunguzi dhidi ya waliokuwa chini yake? Ataruhusu kufanyika mabadiliko katika taasisi alizosimamia wakati hajawahi kutilia mashaka mtendaji yeyote?

Kwanini tusiamini tu kwamba hakuna kufukua makaburi labda tutegemee mipango mipya? Je, endapo upo uchafu yeye anakuwaje msafi ikibainika hakuwai kukemea?
 
Punguzeni ujinga na upumbavu.

Siyo kila kitu ni cha kuweka weka maneno tu muda wote

Mkuu mimi naona ww ndio mwenye tatizo, kwani kuna mtu kakuita kuja kusoma soma humu ndani? Kaangalie TBC1, huko wanaongea unachotaka. Huku utapata wendawazimu bure.
 
Back
Top Bottom