funluverx
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 480
- 343
Kumbe Tz ilikuwa ya Mtu?😱Cv yake ni kali ! Akiitumia vizuri Tz ya marehemu JPM itazidi kusonga mbele . Hongera Mama kwa kuona mbali .
Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe Tz ilikuwa ya Mtu?😱Cv yake ni kali ! Akiitumia vizuri Tz ya marehemu JPM itazidi kusonga mbele . Hongera Mama kwa kuona mbali .
Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
We endelea kuongea upupu nchi inazidi kwenda.Huyu Makamu alicho nishangaza ni Kuhutubia mambo ya Magufuli. Huyo JPM alikuwa mwizi tu kama wezi wengine. Asije dhani yy kuteuliwa na Samia ni Shukrani ya familia ya Marehemu kwake. Hii nchi imejengwa ktk misingi ya JK. Nyerere. Siyo huyo Dictator wake. Kwanza alikuwa sehemu nyeti sn. Hivyo wizi wote kashiriki. Wzi wote wa JPM 1.5 trioni, Ndege na miradi mikubwa anajua.Kupendelea budget Chato ni yeye. Naamini mama aki amua kufukua makaburi ya JPM hata yy ata jiuzuru. Yy atuambie ata tufanyia nn Watanzania? siyo kuleta projo za mapambio. Be neutral bro.
Pengine aliempa hizo taarifa na kumpa mbinu ya kuomba BOT wamletee hizo Taarifa ni Dr Mpango
Kumbuka Paymaster General Doto James alikuwa anaingia Ikulu bila ya appointment muda wowote
Kwahiyo bila wao siwezi kuishi?We endelea kuongea upupu nchi inazidi kwenda.
Labda sababu alikuwa mgonjwa , anaweza sema me sikuwepo.Hoja mujarab...!!!
You know what? CCM ni walewale pengine hii ni kujaribu kuficha uozo wa BOT!!
Huwezi kuhoji upotevu wa Fedha BOT ukamtenga Waziri wa Fedha, Gavana BOT na Mweka Hazina Mkuu wa Serikali. Hapa ni kupigwa changa la macho tu!
Yaani kuna upumbavu mwingi sana mkuu.It is unimaginable.Punguzeni ujinga na upumbavu.
Siyo kila kitu ni cha kuweka weka maneno tu muda wote
Una imani atafanya Nini? Kazi ya VP Ni kupanda miti tu
Hii Sukuma gang nikiiona nachekaa[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Exactly ndivyo ilivyo Mpango , katoa siri zote za wizi wa hela ndio maana mama kamteua , hata hiyo mbinu kaambiwa na Mpango . Mpaka hela zingine DPP Bizwalo Mganga alizipeleka China kuficha kwa balozi Mbelwa Kariuki View attachment 1738745View attachment 1738746
Watu wengine bwana,unasifia marehemu ambaye hata juma moja halijapita "madudu" kibao yamefukuliwa! Ama kweli tuna safari ndefu.Cv yake ni kali ! Akiitumia vizuri Tz ya marehemu JPM itazidi kusonga mbele . Hongera Mama kwa kuona mbali .
Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
Naada ya maovu yote kuwekwa wazi, utajitenga na hilo jina.Cv yake ni kali ! Akiitumia vizuri Tz ya marehemu JPM itazidi kusonga mbele . Hongera Mama kwa kuona mbali .
Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app