Hili la Job Ndugai kutoonekana hadharani lazima liwekwe wazi yasije kutokea yaliyotokea mwaka jana

Hili la Job Ndugai kutoonekana hadharani lazima liwekwe wazi yasije kutokea yaliyotokea mwaka jana

Atakuwa jimboni kwake anakusanya kero za wapiga kura wake ili aje kuihoji Serikali ilikuwa wapi mpaka maisha ya wanakongwa yamekuwa ya kifukara kiasi kile.......!
 
Kwa siasa chafu alizoendesha chini ya dhalimu, anastahili kukutwa na mabaya ili ajue dunia ni duara.
Acha kuwa na roho mbaya. Ukiulizwa siasa gani chafu alizoendesha utasema kuruhusu akina Mdee Bungeni. Mna matatizo sana watanzania.
 
Mara mwisho ni pale alipoonekana akiwa amepiga picha na Rais Samia Suluhu Ikulu ya Chamwino Dodoma.

Hajaonekana hadharani tena na hatujulishwi rasmi yupo wapi na nini kinamsibu. Hatujui ni mzima wa afya au anaumwa.

Watanzania walishaumwa na nyoka sasa hata unyasi unawashutua. Yuko wapi Job Ndugai ? Haonekani hadharani iwe Bungeni au kwenye shughuli za kitaifa.

View attachment 2116339
Hapa Betisaida kilasiku tunakutana nae
 
Viongozi ishini maisha mema
utawala ni wa muda tu ni zaidi ya dhamana.

Upendo ukitawala.
 
Mara mwisho ni pale alipoonekana akiwa amepiga picha na Rais Samia Suluhu Ikulu ya Chamwino Dodoma.

Hajaonekana hadharani tena na hatujulishwi rasmi yupo wapi na nini kinamsibu. Hatujui ni mzima wa afya au anaumwa.

Watanzania walishaumwa na nyoka sasa hata unyasi unawashutua. Yuko wapi Job Ndugai ? Haonekani hadharani iwe Bungeni au kwenye shughuli za kitaifa.

View attachment 2116339
Labda yupo kwenye kifungo cha ndani, Yani labda haruhusiwi kutoka nje ya geti maana kule sio kujiuzulu tu bali ni kukimbia kama ilivyo kwa bashite na yeye ajiandae kunyolewa upara wake
 
Mara mwisho ni pale alipoonekana akiwa amepiga picha na Rais Samia Suluhu Ikulu ya Chamwino Dodoma.

Hajaonekana hadharani tena na hatujulishwi rasmi yupo wapi na nini kinamsibu. Hatujui ni mzima wa afya au anaumwa.

Watanzania walishaumwa na nyoka sasa hata unyasi unawashutua. Yuko wapi Job Ndugai ? Haonekani hadharani iwe Bungeni au kwenye shughuli za kitaifa.

View attachment 2116339
Non of our business, he is irrelevant kwa sasa. Nasikia amejinyonga
 
Mara mwisho ni pale alipoonekana akiwa amepiga picha na Rais Samia Suluhu Ikulu ya Chamwino Dodoma.

Hajaonekana hadharani tena na hatujulishwi rasmi yupo wapi na nini kinamsibu. Hatujui ni mzima wa afya au anaumwa.

Watanzania walishaumwa na nyoka sasa hata unyasi unawashutua. Yuko wapi Job Ndugai ? Haonekani hadharani iwe Bungeni au kwenye shughuli za kitaifa.

View attachment 2116339
Kwa Jambo lililomkuta ni lazma ajipe muda zaidi wa kumpumzika. Anawez kwenda Israel kuhji kidgo Akili ikae sawa.
Tumuache lazma atarud tu. Ila itachukua muda mrefu hta mwaka.
 
Karma is real
Job Ndugai kamfukuza Lissu bungeni Leo hii Job huyu huyu anaona aibu kuingia bungeni. Yaani kajifukuzisha bungeni.
Na Kama Betina atatumia utaratibu aliotumia Job kumfukuza Lissu, Basi ni miezi michache tu Job atafukuzwa bungeni.
One thing you can be sure of is
JOB HAKANYAGI MLE BUNGENI TENA LABDA MWILI WAKE UPELEKWE AKIFA
 
MTU akiniomba ushauri namwambia usije kuoa mgogo au kuolewa na mgogo waache waoane wenyewe

Hakuna watu wenye hasira kama hilo kabila akichukia hadi anatetemeka na kutoka mijasho utafikiri ana malaria kali anashindwa hadi kuongea

Ukabila ruksa hasa kwa wagogo waachwe waoane wenyewe makabila mengine kaeni nao mbali
Akichukia anakutwisha hengo
 
Mara mwisho ni pale alipoonekana akiwa amepiga picha na Rais Samia Suluhu Ikulu ya Chamwino Dodoma.

Hajaonekana hadharani tena na hatujulishwi rasmi yupo wapi na nini kinamsibu. Hatujui ni mzima wa afya au anaumwa.

Watanzania walishaumwa na nyoka sasa hata unyasi unawashutua. Yuko wapi Job Ndugai ? Haonekani hadharani iwe Bungeni au kwenye shughuli za kitaifa.

View attachment 2116339

Anaogopa kukaa benchi la nyuma ndani ya bunge
 
Back
Top Bottom