Hili la kifo cha Dkt. Faustine Ndugulile limeniumiza sana, shida ni nini?

pamoja na faida ya marupurupu uliyosema ni kweli ila mimi iliniumiza sana kifo cha mzee ALLY KIBAO
 
We Mzee umeamua kuniliza upya!
 
Halafu mbona nimeona huko post za juu kama ni mtu aliekubalika sana na kwny uchaguzi wa kchagua kwenye hiyo nafasi alipata kura nyingi kulinganisha na wenzie mpk mseme kiti kilikua na ushindani mkubwa kwamba labda amepita kibahati bahati...mpk maybe wa chini yake aone ilikua ni halali yake amuue...labda alikua na ugonjwa unamsumbua hizi nyingine ni hekaya za abunuwasi..
 
Itabidi tutubu kwa Mungu kwa damu zilizomwagiga bila hatia maana zinatunenea laana katika nchi hii. Hakuna aliye salama hata kama wewe ni kiongozi au una pesa. Toba ya kweli inahitajika tuweze kupona. Tukikaa kimya tu tutaendelea kusikia mengi mabaya kama tulivyoona ya kariakoo.
 
Who cares! Matonge mnapeana nyie wenyewe bila kujari watu wazuri wasomi wenye sifa walio mitaani. Mnajipa mavyeo na kugawiana kikabila na kindugu! Acha muendelee kulogana na kuuana! Mxiuuuuh!
 
Ulaya na Marekani wana huduma bora zaidi ila gharama za matibabu ni za juu kuliko sehemu nyingine yoyote duniani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…