Hili la kifo cha Dkt. Faustine Ndugulile limeniumiza sana, shida ni nini?

Hili la kifo cha Dkt. Faustine Ndugulile limeniumiza sana, shida ni nini?

Matajiri wote wa Saudi na UAE wanaenda India kutibiwa, USA hawaendi kwa sababu madaktari wa India waliosoma India wanapewa visa na kuja kutibu USA.
India ina madaktari wazuri sana hela yako tu. Huwezi kufananisha na madokta Unjani.
Nimeelewa sana mada, unataka kusema India ni poor na doctors wake incompetent. \
YOU ARE WRONG!!
Nioneshe huyo Tajiri.?

All in all hujaelewa mada.utabibu sio madaktari, utabibu ni vifaa. Hata dawa unazoandikiwa hazitoki kwenye vichwa vyetu, zinatoka kwenye guideline na miongozo ambayo imeshaweka…. Akiumwa malaria mpe hiki, akiwa na infection mpe hicho….. ndio mana hata wasiosomea udaktari akipewa train anaweza ku practice. Unaponiambia madaktari wanatoka india na kwenda USA na wanafanya vema…….. unakuwa na notion kuwa udaktari ni watu

Now days tunatumia robotucs and automation with machine learning and artificial intelligence kutibu. Tunahitaji limited number of human resources.

Hata ukimchukua Dr wa Tanzania, akienda USA akafanya registration, atafanya vema kwa sababu hatotibu from his head bali from miongozo na resources zinazokuwepo ambazo ni advanced

Je umenielewa ? Au unahitaji kueleweshwa zaid ?
 
Lakini isituzuie kuchukua tahadhari just because kifo ni kifo na kifo mpango wa mungu. Tukiamini kwenye haya yatupasa tukae na tusubiri kifo. Lisu alipona kwa sababu the right place inayoweza kusababisha kifo haikuguswa
Nakubaliana na wewe tahadhari ni muhimu sana na ndio inavyotakiwa na juhudi zinatakiwa katika kutetea uhai

Lkn mwisho wa siku uhai na kifo vipo mikononi mwa muumba
 
Acheni kusingizia India wengi wa viongozi wetu wanatembeaga nao tu.

Victoire King Kong III

VIongozi wetu wanakufa ghafla sana ,Mafuru naye kabla hajapelekwa india siku kama nne alikuwa Arusha kwenye mkutano ,na Dr Faustine na yeye kama siku 10 nyuma alikuwa fresh tu anapiga story na wabunge wenzake na kushauriana mambo.
 
Viongozi hawa nao. Wanaiba. Wanalipana mahela mengi na marupurupu kibao. Wanakula vinono. Ni kutoka kiyoyozi home mpaka kiyoyozi cha kwenye vi eite. Mazoezi hata yale ya kutembea tu hakuna. Wengi wana BP, high cholesterol na ni pre-diabetic. Insulin resistance imeshaanza. Lakini wao wanatanua tu kwa nyama choma na vinywaji vya kila aina.

Na wengi wao ukiwaona sura zao hazina nuru. Likely wamo kwenye gridi ya taifa na wanaishi kwa kula njugu mawe. Na ubaya wa njugu mawe ni kwamba siku likibumburuka linabumburuka kweli maana inafika mahali viungo vinachoka. Na culprit mkubwa ni figo, ini na hata moyo.

Mbali na sarakasi za hata kuondoana wao wenyewe kwa wenyewe kimya kimya lakini wengi wao wanaishi maisha ya hatari sana maana kwa mwanaume ukivuka 50 inabidi uwaangalie sana maadui hawa watatu - cholesterol, Hypertension na diabetes. Na ikibidi ubadilishe kabisa mtindo wa maisha...

Anyway. Safari yetu wanadamu hapa duniani ni fupi; na kila mtu ni kwa zamu yake. Apumzike salama daktari huyu msomi. Kama taifa tumepoteza mtu wa muhimu sana kabla hata hajashika nafasi yake ambayo ingemtambulisha yeye na nchi yetu. Na jana Yanga walipigwa magoli mawili. Na leo Simba wanacheza. Ndiyo mjadala wa kitaifa. Mengine yote hayana maana. Hili nalo litapita. Na maisha yataendelea tu.

Maisha!

Hata sijui yana maana gani!

Fumbo tata ajabu!
Wana uwezo wa kula vizuri na kufanya mazoezi lakin wapi ,unavyosema viongozi wengi ukiwaangalia hawana nuru kabisa wagonjwa wagonjwa tu
umesema 💯
 
Moja ya benefits alizokuwa anakwenda kupata ni salary not less than 130M on monthly , international health insurance, watoto wote wanasomeshwa majuu, wife analipwa 60% of the salary yake, anapewa nafasi 14 kila mwaka za kuajiri from his country, lots of benefits with the country recognition
Hapo lazima watu wauane 130m +78m(60% ya 130m) kwa mwezi almost 200m inaingia kwa family ,a lot of money aisee.
 
Hapo lazima watu wauane 130m +78m(60% ya 130m) kwa mwezi almost 200m inaingia kwa family ,a lot of money aisee.
kuna benefits nyingine na mambo ya vacation, it was a really steak 🥩 mzee, tena Sirloin steak 🥩. Kuna benefits za nchi pia zinapatikana

Aisee haya maisha unatakiwa uwe katili na mbishi ndio utafika kwenye ukuu, otherwise…….
 
VIongozi wetu wanakufa ghafla sana ,Mafuru naye kabla hajapelekwa india siku kama nne alikuwa Arusha kwenye mkutano ,na Dr Faustine na yeye kama siku 10 nyuma alikuwa fresh tu anapiga story na wabunge wenzake na kushauriana mambo.
Msiba wa Mafuru mama ulimuumiza sana , CCM wanaelewa vema

Jamaa wanamichezo ya hovyo sana
 
Cha kusikitisha kabisa ni haijulikani Faustine ameanza kuumwa lini na ameumwa nini. Ukiwa kiongozi na nyie viongozi tabia ya kufanya siri ugonjwa wenu hata mnapoumwa kikawaida muwe sana makini, wakati mwingine watu wanatembea humo humo, ukishakuwa kiongozi na public figure vitu kama magonjwa sio siri, ijulikane unaumwa nini.
Na baadhi ya magonjwa yana waganga wazuri kabisa hapahapa nchini ila hawako recognized
 
Mke wa Faustine ambae ni Program Manager pale NBTS, Magdalena Swai nilifanya nae kazi kwa karibu akiwa kama Program manager NBTS na dada yangu mkubwa huku mm nikiwa Junior pale Ocean Road Cancer Institute na kabla sijakimbilia Ottawa, Canada na kuachana na Utumishi wa Umma.

Faustine kuwa DG-WHO Africa, ni fursa na Watz wengi wangeingia huko , ila jamaa amelala kabla hata ya kukalia kiti cha enzi . kuna thin layer kati ya mafanikio ya ndoto yako na mstari wa kuzimu, a very thin layer. Carefully !

Cha kusikitisha kabisa ni haijulikani Faustine ameanza kuumwa lini na ameumwa nini. Ukiwa kiongozi na nyie viongozi tabia ya kufanya siri ugonjwa wenu hata mnapoumwa kikawaida muwe sana makini, wakati mwingine watu wanatembea humo humo, ukishakuwa kiongozi na public figure vitu kama magonjwa sio siri, ijulikane unaumwa nini.

Faustine ameenda India no one knows , tunakuja kupewa taarifa za Maiti, Mafuru kaenda India, tunakuja kupewa taarifa za maiti.

Moja ya sehemu ambazo sitamani kusikia kiongozi wenye maono ameenda kwa matibabu ni India na SA, these places ni very corrupt na system govt za nchi nyingi ikiwemo Tanzania. Kama kweli wewe ni mtu potential and public figure , those are not places to go . Bora uende hapo MNH.

Magufuli amepekekwa Hospitali , mkafanya siri, tunakuja kupewa info za maiti, yaani haijulikani mnauliwa au mnakufa. Mbona wenzetu nje kiongozi akiumwa inajulikana na inajulikana ameenda wapi, hata JK alipoumwa tupo tulioenda pale Hopkins kumcheki! This is how a leader should be , sio unafanya fanya siri then wanakuua huko unaletwa maiti na kuwekwa upande wa mizigo wa ndege.

wanajua wazi watz wamezoea tu kupewa taarifa za msiba. Hii ni mbaya sana you guys need to change. Kuna viongozi wengi sna ni wagonjwa na tumewapa nafasi kubwa za uongozi na mpo na watu wanatamani hizo nafasi au ni maadu but mnafanya siri hali zenu mnawasafirisha kwa siri then mnakuja kutupa taarifa za msiba !

Kama mnawakatishana uhai je?

Post ya Faustine ilikuwa na upinzani mkubwa sna, na fitna tulizozifanya kama taifa zinajulikana…….na kwa umoja wa taifa akashinda, lakini mapambano hayaishi hapo, kuna some people loses the battle but not war …… tulipaswa kuendelea kumlinda Faustine ….. worst enough na kwa usiri wa hovyo mkaja kumpeleka India, a very corrupt places kwenye system za govt nyingi.

Moja ya benefits alizokuwa anakwenda kupata ni salary not less than 130M on monthly , international health insurance, watoto wote wanasomeshwa majuu, wife analipwa 60% of the salary yake, anapewa nafasi 14 kila mwaka za kuajiri from his country, lots of benefits with the country recognition , it was not just a post for him , it was a post for the country.

Kuna kitu hakipo sawa kwenye hilo taifa!

Poleni watanzania, tumenyang’anywa tonge mdomoni.
Kifo ni Kifo !! Kila mtu atapitia kifo....ulitaka afe nani uone sawa ?
 
Back
Top Bottom