Hili la kifo cha Dkt. Faustine Ndugulile limeniumiza sana, shida ni nini?

Hili la kifo cha Dkt. Faustine Ndugulile limeniumiza sana, shida ni nini?

Huu msiba umenifundisha jambo
Mungu akikuinua Muombe akupe uhai ili uweze kufurahia mafanikio yako

Mungu akikuinua usimuache mshikilie akupe na afya uweze kufurahia Baraka zako
R.I.P champion
Kwani unapoinuka, unajuaje kuwa umeinuliwa na Mungu?
Na ni Mungu gani huyo amuinuaye mwanadamu akamnyima pumzi ya uhai?
 
USA sio India, wahindi sio India

Hata TZ wapo elewq mada
Matajiri wote wa Saudi na UAE wanaenda India kutibiwa, USA hawaendi kwa sababu madaktari wa India waliosoma India wanapewa visa na kuja kutibu USA.
India ina madaktari wazuri sana hela yako tu. Huwezi kufananisha na madokta Unjani.
Nimeelewa sana mada, unataka kusema India ni poor na doctors wake incompetent. \
YOU ARE WRONG!!
 
Wasiwasi wangu ni maneuver yalifanyika pale pale Congo, kwenye ulimwengu wetu tiba na Afya, human being ni very weak creature , na tunaijua anatomy ya human being exactly tunavoijua body smell zetu
Kifo cha human kinaweza kuwa induced slowly and within a specified period of time , as you suggested ulinzi wake ulipaswa kuwa priority kwa Taifa, shida kubwa CCM hawana kitu vichwani ni anaupiga mwingi ameweza ameshinda uchawa uchawa

West , North Africa ni very cruel creatures , I know them and some of them ninafanya nao
Kazi, selfishness

Faustine hakuwa na elimu kubwa kuwazidi wao, and he had very few published papers , while others walikuwa na more than 100 papers ……but akashinda kwa jitihada za URT, hi ilikuwa ni red light tumpe ulinzi.
Na ulinzi sio mapolisi, no one deal na gun now days , Ulinzi wa kisayansi sijui kama naeleweka

Tunasema tuna maafisa vipenyo, maafisa vipenyo are not trained to be smart but Dumb , ni kazi kupeleka umbeya here and there .walipaswa kuona hiyo post ina maslah makubwa kwa taifa, they should be ahead of time na kuuona ukweli. Sio Afisa kipenyo anazunguka na boda boda kufuatilia maisha ya watu , ni kuwafanya kuwa wajinga zaid. Kila kitu ni Sayansi and technology

Hapo TZ ni watanzania wangapi wapo kwenye makampuni ya UN , WHO ….. kufika huku ni kipengele kwa sababu hatuna watu kwenye decision making ndani ya hizo area. Utakuta UN ipo TZ but waajiriwa wengi sio watanzania

DG WHO was a lot na kila mwaka anapewa chances za kuajiri watanzania wenye uwezo, Kama vile Rais anavopewa viti maalum na kuteua

Endeleeni kufanya Siri na kupeleka watu india na South Africa

Faustine Ndugulile, A DG-WHO that never was
Kama nimekuelewa hivi
 
Wasiwasi wangu ni maneuver yalifanyika pale pale Congo, kwenye ulimwengu wetu tiba na Afya, human being ni very weak creature , na tunaijua anatomy ya human being exactly tunavoijua body smell zetu
Kifo cha human kinaweza kuwa induced slowly and within a specified period of time , as you suggested ulinzi wake ulipaswa kuwa priority kwa Taifa, shida kubwa CCM hawana kitu vichwani ni anaupiga mwingi ameweza ameshinda uchawa uchawa

West , North Africa ni very cruel creatures , I know them and some of them ninafanya nao
Kazi, selfishness

Faustine hakuwa na elimu kubwa kuwazidi wao, and he had very few published papers , while others walikuwa na more than 100 papers ……but akashinda kwa jitihada za URT, hi ilikuwa ni red light tumpe ulinzi.
Na ulinzi sio mapolisi, no one deal na gun now days , Ulinzi wa kisayansi sijui kama naeleweka

Tunasema tuna maafisa vipenyo, maafisa vipenyo are not trained to be smart but Dumb , ni kazi kupeleka umbeya here and there .walipaswa kuona hiyo post ina maslah makubwa kwa taifa, they should be ahead of time na kuuona ukweli. Sio Afisa kipenyo anazunguka na boda boda kufuatilia maisha ya watu , ni kuwafanya kuwa wajinga zaid. Kila kitu ni Sayansi and technology

Hapo TZ ni watanzania wangapi wapo kwenye makampuni ya UN , WHO ….. kufika huku ni kipengele kwa sababu hatuna watu kwenye decision making ndani ya hizo area. Utakuta UN ipo TZ but waajiriwa wengi sio watanzania

DG WHO was a lot na kila mwaka anapewa chances za kuajiri watanzania wenye uwezo, Kama vile Rais anavopewa viti maalum na kuteua

Endeleeni kufanya Siri na kupeleka watu india na South Africa

Faustine Ndugulile, A DG-WHO that never was
Unaeleweka sana mzee. Ila shida ni kuwa tunajua kushangilia na wivu.
 
Huu msiba umenifundisha jambo
Mungu akikuinua Muombe akupe uhai ili uweze kufurahia mafanikio yako

Mungu akikuinua usimuache mshikilie akupe na afya uweze kufurahia Baraka zako
R.I.P champion
Ndio ilivyo. Kadri unavyofikia kilele cha mlima au mti ndio hatari ya kuanguka au kupoteza uhai inakuwa kubwa zaidi. Ndio wakati wa kujishikilia na kushikiliwa
 
Kwa mtazamo wangu au baada ya kusoma maoni ya wengi ni kwamba,kuficha kuumwa kwa public figure kama marehemu sio nzuri,ni vizur wananchi wapewe taarifa,hata likitokea la kutokea basi haiwi la kushangaza sana

Pili jamani ukomavu ni pamoja na kuwa tayar kupokea maoni ya watu wengine na si kutaka kile kinachokupendeza tu

Kuna watu hamtaki maoni upande wa pili wa dini kwa ambao tunaamini katika maneno ya Mungu,kwamba hakika Mungu haicheleweshi nafsi yoyote mda wake unapofika na wala haiwahishi kama mda wake haujafika

Kwahiyo iwe angeenda popote ambapo mnaamini kuna madaktar bingwa basi kama wa kufa ni wa kufa na kama ni wa kuwa hai hata ukipelekwa mwananyamala utapona

Kuna mdau alitoa mfano mzuri hapa,je kuna mtu angetegemea Lissu angepona? Au Sativa?

Hapa ndio ile dhana nzima ya kusema kama siku yako haijafika huondoki na ikifika utaondoka tu

Mjifunze kupokea maoni ya wengine hata kama hampendi na sio kutaka kusikia mnayoyapenda kusikia

Think Big
 
Mke wa Faustine ambae ni Program Manager pale NBTS, Magdalena Swai nilifanya nae kazi kwa karibu akiwa kama Program manager NBTS na dada yangu mkubwa huku mm nikiwa Junior pale Ocean Road Cancer Institute na kabla sijakimbilia Ottawa, Canada na kuachana na Utumishi wa Umma.

Faustine kuwa DG-WHO Africa, ni fursa na Watz wengi wangeingia huko , ila jamaa amelala kabla hata ya kukalia kiti cha enzi . kuna thin layer kati ya mafanikio ya ndoto yako na mstari wa kuzimu, a very thin layer. Carefully !

Cha kusikitisha kabisa ni haijulikani Faustine ameanza kuumwa lini na ameumwa nini. Ukiwa kiongozi na nyie viongozi tabia ya kufanya siri ugonjwa wenu hata mnapoumwa kikawaida muwe sana makini, wakati mwingine watu wanatembea humo humo, ukishakuwa kiongozi na public figure vitu kama magonjwa sio siri, ijulikane unaumwa nini.

Faustine ameenda India no one knows , tunakuja kupewa taarifa za Maiti, Mafuru kaenda India, tunakuja kupewa taarifa za maiti.

Moja ya sehemu ambazo sitamani kusikia kiongozi wenye maono ameenda kwa matibabu ni India na SA, these places ni very corrupt na system govt za nchi nyingi ikiwemo Tanzania. Kama kweli wewe ni mtu potential and public figure , those are not places to go . Bora uende hapo MNH.

Magufuli amepekekwa Hospitali , mkafanya siri, tunakuja kupewa info za maiti, yaani haijulikani mnauliwa au mnakufa. Mbona wenzetu nje kiongozi akiumwa inajulikana na inajulikana ameenda wapi, hata JK alipoumwa tupo tulioenda pale Hopkins kumcheki! This is how a leader should be , sio unafanya fanya siri then wanakuua huko unaletwa maiti na kuwekwa upande wa mizigo wa ndege.

wanajua wazi watz wamezoea tu kupewa taarifa za msiba. Hii ni mbaya sana you guys need to change. Kuna viongozi wengi sna ni wagonjwa na tumewapa nafasi kubwa za uongozi na mpo na watu wanatamani hizo nafasi au ni maadu but mnafanya siri hali zenu mnawasafirisha kwa siri then mnakuja kutupa taarifa za msiba !

Kama mnawakatishana uhai je?

Post ya Faustine ilikuwa na upinzani mkubwa sna, na fitna tulizozifanya kama taifa zinajulikana…….na kwa umoja wa taifa akashinda, lakini mapambano hayaishi hapo, kuna some people loses the battle but not war …… tulipaswa kuendelea kumlinda Faustine ….. worst enough na kwa usiri wa hovyo mkaja kumpeleka India, a very corrupt places kwenye system za govt nyingi.

Moja ya benefits alizokuwa anakwenda kupata ni salary not less than 130M on monthly , international health insurance, watoto wote wanasomeshwa majuu, wife analipwa 60% of the salary yake, anapewa nafasi 14 kila mwaka za kuajiri from his country, lots of benefits with the country recognition , it was not just a post for him , it was a post for the country.

Kuna kitu hakipo sawa kwenye hilo taifa!

Poleni watanzania, tumenyang’anywa tonge mdomoni.
Bahati mbaya humu JF mtu akipost speculations tena zikawa za ulozilozi akaongezea na masuala ya wivuwivu, bila kujali uhalisia wa hoja mezani, basi kila mtu atakubali!!
 
Kuna kit hukielewi ndugu yangu..kwann wat hua wanapelekwa India zaid ya nchi zingine izo ulizozitaja.
Nchi za Dunia ya tatu hii zinamambo mengi sana mtu ana ukimwi ila sio ukimwi ngoma ngum
..,Sasa waindi kama ni vitu havieleweki wanaeka sawa kwanza mazingira ndo tunaendelea na tiba za kizungu.
Ujinga

Wataendelea kurudishwa kama mizigo kwenye ndege
 
Kuna kit hukielewi ndugu yangu..kwann wat hua wanapelekwa India zaid ya nchi zingine izo ulizozitaja.
Nchi za Dunia ya tatu hii zinamambo mengi sana mtu ana ukimwi ila sio ukimwi ngoma ngum
..,Sasa waindi kama ni vitu havieleweki wanaeka sawa kwanza mazingira ndo tunaendelea na tiba za kizungu.
Hamna hicho kitu ,sababu kuu ya kukimbilia India ni cost effective . Kwa mfano, brain tumor surgery , india inaweza kwenda hadi mil 20 tu
Europe na USA not less than 50M , with this , ndio maana indiq ipo corrupt na serikali nyingi

Ni vile Viongozi wetu hasa CCM ni hamnazo, wanaweza ku invest hapo hapo TZ . Medicine is not about Having physicians and so forth , medicine is about technology na equipments za kisasa, mtaala ni huu huu , but why tunakuja majuu kwa tiba ; ? Watu wanafuata vifaa na technology inayofanya screening na kuona tatizo
Hapo bongo unaweza kuambiwa unakisukari kumbe wala huna kisukari na unaanza kupewa dawa intensively ,it is because hatuna uwezo na vifaa vya kufanya screening ya maana

Kwa mfano, TZ tuna MRI ngapi?
 
Mara mia mgonjwa akapelekwa Egypt kuliko india.

Ila hapa kwa ukubwa wa.ile nafasi nachelea kusema kuna mkono wa shetani hapa si mapenzi ya mungu
 
Kwa mtazamo wangu au baada ya kusoma maoni ya wengi ni kwamba,kuficha kuumwa kwa public figure kama marehemu sio nzuri,ni vizur wananchi wapewe taarifa,hata likitokea la kutokea basi haiwi la kushangaza sana

Pili jamani ukomavu ni pamoja na kuwa tayar kupokea maoni ya watu wengine na si kutaka kile kinachokupendeza tu

Kuna watu hamtaki maoni upande wa pili wa dini kwa ambao tunaamini katika maneno ya Mungu,kwamba hakika Mungu haicheleweshi nafsi yoyote mda wake unapofika na wala haiwahishi kama mda wake haujafika

Kwahiyo iwe angeenda popote ambapo mnaamini kuna madaktar bingwa basi kama wa kufa ni wa kufa na kama ni wa kuwa hai hata ukipelekwa mwananyamala utapona

Kuna mdau alitoa mfano mzuri hapa,je kuna mtu angetegemea Lissu angepona? Au Sativa?

Hapa ndio ile dhana nzima ya kusema kama siku yako haijafika huondoki na ikifika utaondoka tu

Mjifunze kupokea maoni ya wengine hata kama hampendi na sio kutaka kusikia mnayoyapenda kusikia

Think Big
Lakini isituzuie kuchukua tahadhari just because kifo ni kifo na kifo mpango wa mungu. Tukiamini kwenye haya yatupasa tukae na tusubiri kifo. Lisu alipona kwa sababu the right place inayoweza kusababisha kifo haikuguswa
 
Back
Top Bottom