Megalodon
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 3,534
- 7,866
- Thread starter
- #81
Wasiwasi wangu ni maneuver yalifanyika pale pale Congo, kwenye ulimwengu wetu tiba na Afya, human being ni very weak creature , na tunaijua anatomy ya human being exactly tunavoijua body smell zetuAndiko lako linafikirisha sana. Hii hali anaipitia Doctor Tulia. Anahitaji ulinzi wa kutosha. Wazungu hawapendi pesa wanazoamini zinatoka kwenye kodi zao ziliwe na Mwafrika. Lakini pia Waafrika hatupendani. Ubinafsi wa madaraka unafanya tunauana wenyewe kwa wenyewe.
Ndugulile alipaswa kuwa na ulinzi imara since alipopata cheo hicho. Tulia analindwa ni miongoni mwa walinzi akiwa ughaibuni ni hao wazungu. Hii kitu hawaitaki kabisa kunahitajika umakini
Kifo cha human kinaweza kuwa induced slowly and within a specified period of time , as you suggested ulinzi wake ulipaswa kuwa priority kwa Taifa, shida kubwa CCM hawana kitu vichwani ni anaupiga mwingi ameweza ameshinda uchawa uchawa
West , North Africa ni very cruel creatures , I know them and some of them ninafanya nao
Kazi, selfishness
Faustine hakuwa na elimu kubwa kuwazidi wao, and he had very few published papers , while others walikuwa na more than 100 papers ……but akashinda kwa jitihada za URT, hi ilikuwa ni red light tumpe ulinzi.
Na ulinzi sio mapolisi, no one deal na gun now days , Ulinzi wa kisayansi sijui kama naeleweka
Tunasema tuna maafisa vipenyo, maafisa vipenyo are not trained to be smart but Dumb , ni kazi kupeleka umbeya here and there .walipaswa kuona hiyo post ina maslah makubwa kwa taifa, they should be ahead of time na kuuona ukweli. Sio Afisa kipenyo anazunguka na boda boda kufuatilia maisha ya watu , ni kuwafanya kuwa wajinga zaid. Kila kitu ni Sayansi and technology
Hapo TZ ni watanzania wangapi wapo kwenye makampuni ya UN , WHO ….. kufika huku ni kipengele kwa sababu hatuna watu kwenye decision making ndani ya hizo area. Utakuta UN ipo TZ but waajiriwa wengi sio watanzania
DG WHO was a lot na kila mwaka anapewa chances za kuajiri watanzania wenye uwezo, Kama vile Rais anavopewa viti maalum na kuteua
Endeleeni kufanya Siri na kupeleka watu india na South Africa
Faustine Ndugulile, A DG-WHO that never was