Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
- Thread starter
-
- #41
kiuchumi hizo siku ni nyingi sana, kuna watu wanategemea kazi walizokuwa wanajishughulisha nazo maeneo hayo.Kiuchumi hapo tumeanguka. Watu itabidi waache kwenda makazini kufanya kazi wakati huohuo hao wageni wanahudumiwa Kwa kugharamiwa na serikali ya Tanzania
Ndio kwa ninavyoelewa ni kutembea kwa miguu, mwenye uelewa zaidi na hilo atafafanua zaidi.Samahani Ndugu zangu hivi wanaposema barabara inafungwa kwahio wanaokaaa maeneo hayo wanabidi watembeee kwa miguu tu Half american
Unashangaa hiyo bado hujaona laki juu ya lami,Wikii kulikuwa na marekebisho ya barabara za mijini hasa zile ambazo zina mashimo mashimo au madimbwi,nikiwa katika harakati za hapa na pale nimeshangazwa na hali ya kuona baadhi ya barabara maeneo ya masaki na Posta zikiwa zinawekwa lami juu ya lami ya zamani.
Kwa maana kwamba nimezoea kuona ka kipande fulani ka bara bara kinafanyiwa marekebisho utakuta wanafunga njia kisha wanaharibu au kuvunja na kubomoa ile ya zamani kisha wanaanza upya from the scratch kuitengeneza au kama ni issue ya vilaka inafahamika kuwa wanachonga kile kipande korofi kisha wanaweka kilaka ila kwa hii ambayo nimeiona this week ni kitu kigeni kwangu,naomba engineers Waweze kunielewesha hili limekaaje kitaalamu.
Huku ni kujidanganya, hii haina tofauti na kufanya usafi ndani alafu uchafu unaukusanyia uvunguniNimekumbuka kipindi Cha jakaya.ujio wa Obama.
Watu na biashara zao walizolewa,bomoa,fagia fagia Ili kuweka madhari vizuri Kuna mgeni anakuja🤣🤣
Kulifagiliwa mjini kote kusafii
Alivyoondoka tukarudi Tena vilevile
Karibu sana,unajicheleweshaBora nihamie huko uyole
Inabidi wawe na plans,aibu nchi haijajipanga kupokea wageni mwisho kuishia kuumiza wazawa kisa mgeni.Huku ni kujidanganya, hii haina tofauti na kufanya usafi ndani alafu uchafu unaukusanyia uvunguni
Kweli kabisa maana kila ikitokea ugeni hali itajirudiaInabidi wawe na plans,aibu nchi haijajipanga kupokea wageni mwisho kuishia kuumiza wazawa kisa mgeni.
Tatizo huko hakuna ufukwe wa bahari ndio maana nachelewa.Karibu sana,unajichelewesha
Kama mjini watu wenye upeo na akili wanahamishwa wakisema wafanyie mbugani na kuna wanyama wasio na akili si ndio watawatoa wote.Hivi Huwa wanakosa kabisa eneo la pembezoni huko wakajifungie wafanye mikutano? Hata huko mbugani huko wangeweza kwenda kukaa mbona?
Nyie endeleeni na harakati zenu.Sisi wa bagamoyo road hairuhusu hio
Asante kwa picha maana nilikuwa natembea kwa mguu nikashindwa kutoa ka Tecno kangu kwa kuhofia kukamatwa na kuweka ndani hadi uchunguzi kuja kukamilika na kujuwa kuwa sina nia hovu juu yao lazima nitoke na mvi na makunyanzi usoni maana hii nchi haina dogo,nikafunika kombe mwanaharamu apite.
Ukihoji lazima uonekane unataka kukwamisha maendeleo.Yaani hii nchi inaongozwa na wajinga na ndio maana ujingaujinga ni mwingi
Ukihoji huu ujinga wanaotufanyia unaonekana mpinzani