Hili la kufungwa barabara limekaaje? Kwa namna hali ilivyokuwa leo kwenye usafiri maeneo ya Posta na Kivukoni mpaka ifike hiyo tarehe 30 tutakuwa hoi

Kwahio barabara hazitafungwa siku nzima?
 
Dipresheni hama huo mkoa.
 
Hiyo ya hivyo naifaham, hii ya kuwatoa maafisa usafirishaji kwenye maeneo yao ya kazi ni mateso kwetu wasafiri.
 

"Black people are not complete human beings because they don't have a good brain to govern the society as White people. They are still under the process of becoming the complete human beings."

Pieter W. Botha, a former President of South Africa during the Apartheid era.
 
Wamekurupuka hawakufanya tathimini ni barabara zipi zifungwe. Mbona ni rahisi kupanga road pattern kwa misafara ya viongozi hao? Hizo siku itakuwa kero kubwa wa wakazi wa jiji la dar, wavumilie tu hakuna namna
Tupe wewe pattern zako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…