bin haroub
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 1,662
- 812
Inaleta twasira mbaya kwa kina nani ?Wamefanya maksudi ila sio sahihi maana ndani ya Tanzania Kuna Zanzibar kama lengo lilikuwa kuitangaza Zanzibar wametumia njia isiyo sahihi na inaleta taswira mbaya ukizingatia Rais wa Tanzania ni mzanzibar.
Zanzibar ni wabaguzi na weziAdui wa Tanganyika na Zanzibar huru ni CCM
Tanganyika iko pale TAMISEMI MkuuTanzania ni nini ? Na Tanganyika ipo wap sasa?
wewe ni likichaa kbs siyo nchi kwa vigezo gn? Unaijua katiba ya zanzibar inasemaje khs zanzibar? Inasema zanzibar ni nchi, na kama hujui nimekujuza pia ina bendera, wimbo wa taifa nalo nmekujuza.Zanzibar Siyo Nchi Haina Kiti UN Japo Bendera Wanayo
Viongozi Wetu Wanaotakiwa Kusimamia Hilo Wamejaa Hofu Bure
Hapo Bango Linalotakiwa Ni Tanzania
Mtikila alimaliza yote hapa.Zanzibar ni wabaguzi na wezi
Inashangaza sana watu kutokujua kuwa Zanzibar ni nchi huru iliyoungana na Tanganyika ambayo nayo ni nchi huru.Soma Katiba
Ni muungano wa Serikali 2
1. Serikali ya Jamhuri ya Muungano
2. Serikali ya Mapinduzi Zanzibar
Zanzibar ni Nchi ndio sababu Komandoo hakuwahi kuingia Baraza la Mawaziri na Nyerere alikuwepo 😂😂😂😂
Ukiwa na akili za kichama hutaelewa hili
Hiyo sio sahihi kabisa. Wameanza chokochoko tena. Wanaanza na kibao kisha bendera. Mambo ya nje ni masuala ya muungano tusiwaruhusu kuleta akili na ubishi wao wa kiswahili. Muliona huko nyuma wakisema wanataka muungano lakini hapohapo wanadai wawe na kiti umoja wa mataifa, wakidai mabalozi wao na rais wao akienda nje apigiwe mizinga.Tumeona picha ya ujumbe wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania ukiwa katika kikao huko China unavibao viwili. Kimoja kimeandikwa Tanzania na zingine kina wajumbe wameweka Bangor akiwa kibao cha Zanzibar. Hizi ndio Sera ya Nchi yetu sasa, baada ya kupata Waziri Mpya wa Mambo ya Nje au ilikuwepo kabla. Na nini tafsiri yake kimataifa na ndani ya nchi
Pia soma:Nchi zilizoungana ni Tanganyika na Zanzibar, kwanini Zanzibar ipo na sisi ni Tanzania bara, kwanini wasioitwe Tanzania Visiwani?
Tanzania ni muungano wa nchi mbili Tanganyika na zanzibar ila naona kuna Tanzania na zanzbari peke yake ,huwa najiuliza Tanganyika ilienda wap?Tanganyika iko pale TAMISEMI Mkuu
KATIBA YA ZANZIBAR INASEMA ZANZIBAR NI NCHI sjui kama unalijua hli.nchi ni 1 inaitwa JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, ina serikali mbili.......(upo sawa mkuu)
NAJAZIA...
hapo kwenye uwakilishi hiyo zanzibar imewakilishwa kama serikali
so bila kujali nia yao ni nini,hapo kuna uwakilishi wa serikali ya TANZANIA(kama kuna faida itagwana bara na visiswani)
pia kuna uwakilishi wa serikali MAPINDUZI ZANZIBAR(kama kuna faida itaenda visiwani)
sina hakika kama kuna kosa kisheria serikali ya mapinduzi ikiwakilishwa hapo au popote
ni kama wanavyoamua kwenda (IMF) au (WB) kukopa ni sawa tu
NB: uchambuzi huo kama una makosa naruhusu kukosolewa na kusahihishwa
R I P Rev. Christopher Mtikila true son of motherland TanganyikaMtikila alimaliza yote hapa.
Si ndio imewekwa chini ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI). Ipo ila haitajwi jina isije ikaamka ikawa shidaTanzania ni muungano wa nchi mbili Tanganyika na zanzibar ila naona kuna Tanzania na zanzbari peke yake ,huwa najiuliza Tanganyika ilienda wap?
Ni rahisi zaidi na hakutakuwa na madhara makubwa kwa raia kutangaza kuwa Tanzania ni moja , serikali moja na dola moja kuliko kuvunja muungano.tunangoja samia hatoke madarakanii iwe kivyovyote vile then tunahitaji rais mtanganyika mwenye uchungu na tanganyika yake ndio tunazishe hiyo agenda ya kuvunja huo muungano....tutaona nani huwa anamtegemea mwenzake
NCHI YA JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA ni muunganiko wa nchi mbili(Tanganyika na zanzibar)KATIBA YA ZANZIBAR INASEMA ZANZIBAR NI NCHI sjui kama unalijua hli.
Kwenye hili umeenda mbali mno. Wamekuibia nini?Zanzibar ni wabaguzi na wezi
TanganyikaKwenye hili umeenda mbali mno. Wamekuibia nini?
Kwa Komredi MchengerwaTanganyika iko pale TAMISEMI Mkuu