Siku Watanzania walio wengi wakiamka na kung'amua kwamba MAISHA ni SIASA,patawaka MOTO..CCM endeleeni kuomba waTz waendelee kulalaNyie mkiwaga mtaani ndio huwa mnasema hampendi siasa!
Cha kushangaza bei za nauli zinapanda mnakuja kuwaoamba wanasiasa wapunguze!
Endeleeni kuwa watu msiopenda siasa
Sawq chawaπππππToa mfano wa sehemu ambako nauli imeongezeka Kwa 15,000 acha upumbavu.
Jedwali la nauli hili hapa π
Wewe changia hela ya mafuta V8 zao zinahitaji mafuta ya kutosha na inabidi waingize zingine mpya hizi chakavu zikae sub in uchaguzi umekaribiaHilo ongezeko la kiwango hicho limekuwaje? Yaani sehemu uliyo kuwa unasafiri kwa elfu 10 saihiz ni elfu 15 sehemu uliyo safiri kwa 40,000 sasa hivi ni 55,000, hivi wananchi wanaangaliwa hapa au ni maslahi ya wafanya biashara ndio yanazingatiwa zaidi?
Ebu ww nend hospitali kapime hiyo akili yako kwanza halafu urudi tuendelee na mjadalaπππππππMachadema nyie ni mapunguani na hamjielewi.
Kwa kichwa chako hicho unachofugia nywe unadhani kuja siku Machadema yatakusaidia wewe uwe na maisha mazuri au?
Kuelewa hutaki hata mifano kwenye Nchi zilizochagua Wapinzani kipi Cha maana wamewaletea zaidi ya kuzidisha ugumu wa Maisha? Pole kukosa akili ni kama ugonjwa.
Hapo na serikal imeweka cha juu.Nadhan kodi wameongeza piaHivi hii ni makusudi au ninini, au kuna mbinu ya kumkomoa Mh Rais kimya kimya baada ya kujua sio mfuatiliaji wa maswala kama hayo?
Hilo ongezeko la kiwango hicho limekuwaje? Yaani sehemu uliyo kuwa unasafiri kwa elfu 10 saihiz ni elfu 15 sehemu uliyo safiri kwa 40,000 sasa hivi ni 55,000, hivi wananchi wanaangaliwa hapa au ni maslahi ya wafanya biashara ndio yanazingatiwa zaidi?
Kwakweli kwa sasa naona wafanya biashara wameishika nchi kweli kweli yaan wanaamua watakalo.
Hii nchi hiii, ndio maana kuna mtu alisema wafanya hiashara wakubwa sasa wanafanya kila wawezalo kuhakikisha mama anabaki madarakani kumbe kuna wanacho nufaika naye.
Mama tafadhari simama na wananchi maana ndio unao waongoza kwa wingi na ndio unao wahitaji kwenye kura hawa wafanya biashara wawe na kiasi usiwakumbatie sana wananchi tuna umizwa sana.
Wenzio wanatembelea V8 zenu, mafuta mnawalipia nyinyi, wanakula posho za kutosha, maisha yao na nyie ni dunia mbili tofauti. Hawawezi kuelewa shida zenu. Haziwahusu na hawaguswi na maumivu yenu, wapo peponi na hawataki kutoka.Hivi hii ni makusudi au ninini, au kuna mbinu ya kumkomoa Mh Rais kimya kimya baada ya kujua sio mfuatiliaji wa maswala kama hayo?
Hilo ongezeko la kiwango hicho limekuwaje? Yaani sehemu uliyo kuwa unasafiri kwa elfu 10 saihiz ni elfu 15 sehemu uliyo safiri kwa 40,000 sasa hivi ni 55,000, hivi wananchi wanaangaliwa hapa au ni maslahi ya wafanya biashara ndio yanazingatiwa zaidi?
Kwakweli kwa sasa naona wafanya biashara wameishika nchi kweli kweli yaan wanaamua watakalo.
Hii nchi hiii, ndio maana kuna mtu alisema wafanya hiashara wakubwa sasa wanafanya kila wawezalo kuhakikisha mama anabaki madarakani kumbe kuna wanacho nufaika naye.
Mama tafadhari simama na wananchi maana ndio unao waongoza kwa wingi na ndio unao wahitaji kwenye kura hawa wafanya biashara wawe na kiasi usiwakumbatie sana wananchi tuna umizwa sana.
CCM ni takataka. Itolewe.Hii Nchi imekuwa ni kama ng'ombe aliyekatwa kichwa.......tunajiendea tu
Suala la kupanda kwa gharama za Nauli tulijua lazima tutafika huku. Shida kubwa ililetwa na kupanda kwa bei ya Mafuta (Fuels).
Ajabu gharama za Dizeli/Petrol huku kwetu ni kubwa kuliko hata hapo Zambia japo wao wanapitisha mafuta yao kupitia Tanzania
Ng'ombe hawezi kumpangia mchunga ng'ombe nini cha kufanya atafanya vile anataka na hakuna kitu ng'ombe atafanyaMaumivu haya yaelekezwe 2025. Msifanye makosa tukarudi tena mitandaoni kulalamika.
Binafsi nishachoka hata kusema mwisho utaishia kukamatwa. Ni mateso makubwa kwa wananchi halafu anayepaswa kuwasemea yuko kimya halafu anakuja mtu anasema manini gani sijui huko.
Waandamizi wengi ni wafanyabiashara wa magari na dala dala. Sasa mmateso mwenzangu unataka tuitwe mwanaraha ili iweje???
Wacha wale raha nasi tule mateso japo wanakale wanasema yana mwisho . Ni muda mwafaka kwao. Nasi ni muda murua kuinjoi haya mateso.
Aliposema Magufuli kwamba ipo siku tutamkumbuka hakika alikuwa amelewa gongo. Ila leo nimetambua haikuwa gongo bali ili