Hili la nauli Serikali iliangalie upya yaani ongezeko la Tsh 15,000/ kweli!? Nauli kutoka 38,000 hadi 53,000 jamani kweli!? Mbona mmekuwa wabinafsi?

Hili la nauli Serikali iliangalie upya yaani ongezeko la Tsh 15,000/ kweli!? Nauli kutoka 38,000 hadi 53,000 jamani kweli!? Mbona mmekuwa wabinafsi?

Unaropoka tuu ,unajua gharama za maisha zilivyo Zambia wewe? Unajua kwamba watu wa Zambia Wanalia.kwa ugumu wa Maisha sio tuu mafuta kuanzia vyakula bei ziko Juu na hawamtaki huyo Rais aliyetokea upinzani kama Machadema yanavyowadanganya?

Yaani wewe Kwa akili Yako unadhani Wanasiasa wanatafuta madaraka kukusaidia wewe au?
Mkuu mbona unanikaripia, ni hayo maoni yangu tu au kuna lingine?

Me nimezungumzia gharama za mafuta ambayo wakazi wa Tunduma huenda kila Leo hapo Zambia na kununua badala ya kununua huku Bongoland
 
Mkuu mbona unanikaripia, ni hayo maoni yangu tu au kuna lingine?

Me nimezungumzia gharama za mafuta ambayo wakazi wa Tunduma huenda kila Leo hapo Zambia na kununua badala ya kununua huku Bongoland
Mkuu achana nae huyo niachie mm... Ntapomosheana nae matusi maana mm tahira km yeye. Ww akuache a deal na mm kichaa mwenzie
 
Mkuu mbona unanikaripia, ni hayo maoni yangu tu au kuna lingine?

Me nimezungumzia gharama za mafuta ambayo wakazi wa Tunduma huenda kila Leo hapo Zambia na kununua badala ya kununua huku Bongoland
Kwa sababu wewe na wajinga wengine mnapenda sana kupotosha.

Nimeuliza humu nitajie route yeyote ambayo nauli imeongezeka straight kati ya 15,000-22,000 hakuna aliyetaja na nikaweka hapo nauli kutoka Latra.

Watu mnaopotosha kama wewe Kwa nini msichukuliwe hatua? Mnafika hauta ya kutaja mifano ya Nchi jirani wakati hata hamjui kinachojiri huko.Kutoa taarifa za uongo Ili kuichafua Serikali, Kuzua taharuki na kuigombanisha Serikali na Umma unajua kwamba ni kosa?

Mwisho nauli ya Mwanza-Songea Kwa mfano ni Maxim 96,000 Kwa Luxury lakini ukienda Ofisi za bus wanatoza 93,000 Ongezeko la sh.12,000 tuu Kwa njia ya zaidi km 1,100.

Kwa mfano huo ni wazi kwamba Latra wametoa bei kilomo.lakini hakuna Kampuni inatoza bei za kikomo Kwa sababu soko nalo litaamua bei zake halosia.

View: https://twitter.com/SUPERFEOEXPRESS/status/1734478935495164414?t=E24N4EJJZjJLJOK6YnqFRw&s=19
 
Wamefuja pesa,now wanazikusanya kwa nguvu
 
hapo kuna mkono wa samia.hao hawawezi kupandisha nauli bila kumtaarifu na kutoa baraka zake.ndo maana unamuona yupo kimya
 
Wewe mbona umekaa Kamasi kichwani? Shida nini?
Tumia sehemu ndogo ya ubongo kufikiri mkuu, acha upumbavu.

Nauli Moro-Dar ilikuwa 10,000. Imepanda hadi 15,000. Hilo ni ongezeko la 50%, wapi umeona ongezeko la 50% kwenye bidhaa yoyote?

Tatizo mnalala na kula bure, kutembelea vx v8 bure mnaacha kushirikisha masaburi. Ongezeko lolote halitakiwi kizidi 15%, ona ulivyo mpumbavu.
 
Tumia sehemu ndogo ya ubongo kufikiri mkuu, acha upumbavu.

Nauli Moro-Dar ilikuwa 10,000. Imepanda hadi 15,000. Hilo ni ongezeko la 50%, wapi umeona ongezeko la 50% kwenye bidhaa yoyote?

Tatizo mnalala na kula bure, kutembelea vx v8 bure mnaacha kushirikisha masaburi. Ongezeko lolote halitakiwi kizidi 15%, ona ulivyo mpumbavu.
Una uhakika? Nioneshe risiti uliyolipa 15,000 manaa nauli maximum ni 13,000.

Nikiwaambia nyie machadomo ni vinyesi mtabisha?
 

Attachments

Una uhakika? Nioneshe risiti uliyolipa 15,000 manaa nauli maximum ni 13,000.

Nikiwaambia nyie machadomo ni vinyesi mtabisha?
Pumbav..u wewe, unafikiri kila anayehoji anamilikiwa na lichama kama wewe, jinger kabisa! Nauli haikutakiwa kuzidi 12,000 moro-dar. Na wanaosema ni 15,000 sio wajinger kama wewe wa buku saba saba!!
 
Kama:

1. Mafuta bei juu; tuko kimya.

2. Mabasi yafungwe vig'amuzi Kwa gharama zao; tuko kimya.

3. Walipie gharama za ving'amuzi kwa mwezi; tuko kimya.

4. Kelele za uwapo wabrashi viatu majiani; tuko kimya.

5. Wanunue machine za tiketi mtandao; tuko kimya.

6. Walipie gharama za kuendeshwa tiketi mtandao mwezi kwa mwezi; tuko kimya.

7. Kelele za Kodi, kubambikiziwa faini, wapiga debe, nk; tuko kimya.

Tutegemee maajabu yapi kwenye nauli?

Nashauri bei ziongezwe mara dufu tupate kujitambua!
Kazi kweli kweli !!
 
Pumbav..u wewe, unafikiri kila anayehoji anamilikiwa na lichama kama wewe, jinger kabisa! Nauli haikutakiwa kuzidi 12,000 moro-dar. Na wanaosema ni 15,000 sio wajinger kama wewe wa buku saba saba!!
Toa upumbavu wako hapa,unahamisha magoli 🤪🤪🤪🤪

Hao wanakosema ni machadomo mapuuzi tuu yanaotegemea uzushi Ili ku survive Kisiasa.

Walipokuwa wanazusha kwamba Bandari zimeoigwa mnada na haturuhusiwi kujenga Mpya ni nani kama sio Machadema? Serikali imesaini miradi mipya ya ujenzi wa Bandari,mbona DP World hajazuia?

Na nyie Kwa kuwa ni mbumbumbu hamtaki kutafuta ukweli mnashabikia kama manyumbu,the same case to nauli.

Narudia tena kuwamabia Latra Imetoa bei kikomo haijasema lazima bei ziwe hizo walizotoa Kwa sababu soko litapanga bei Upya kulingana na ushindani.Mfano Luxury bus kutoka Songea-Mwanza bei kikomo ni 96,00/ Lakini Mabasi yanachaji 90,000-93,000.
 
Kazi kweli kweli !!

1. Tumejiwekea utaratibu wa Kila mtu kushinda mechi zetu.

2. Mafuta CIF Dar Bei nusu tunayoiziwa mtaani.

3. Tulipiga kelele hivi mafuta yakipanda na makorokoro yote hayo yakisokomezwa wengine.

Tuna nchi ya hovyo sana.

"LATRA pandisha tena zaidi tafadhali!"
 
1. Tumejiwekea utaratibu wa Kila mtu kushinda mechi zetu.

2. Mafuta CIF Dar Bei nusu tunayoiziwa mtaani.

3. Tulipiga kelele hivi mafuta yakipanda na makorokoro yote hayo yakisokomezwa wengine.

Tuna nchi ya hovyo sana.

"LATRA wapandisha tena zaidi tafadhali!"
Watatumaliza ! Wampe Kazi ya muda Mzee David Mwaibula hapo Latra naamini hali itakaa vizuri !!
 
Back
Top Bottom