Watanzania wako busy na kuzomeana kati ya simba na yake nani anaafadhali .acha ifiki hata 120000Yaani Bora ipande sn labda watz wataamka Kwa pamoja
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watanzania wako busy na kuzomeana kati ya simba na yake nani anaafadhali .acha ifiki hata 120000Yaani Bora ipande sn labda watz wataamka Kwa pamoja
Mwamba mmoja alisema mtanikumbuka kwa yale mazuri sio kwa yale mabaya !!Hivi hii ni makusudi au ninini, au kuna mbinu ya kumkomoa Mh Rais kimya kimya baada ya kujua sio mfuatiliaji wa maswala kama hayo?
Hilo ongezeko la kiwango hicho limekuwaje? Yaani sehemu uliyo kuwa unasafiri kwa elfu 10 saihiz ni elfu 15 sehemu uliyo safiri kwa 40,000 sasa hivi ni 55,000, hivi wananchi wanaangaliwa hapa au ni maslahi ya wafanya biashara ndio yanazingatiwa zaidi?
Kwakweli kwa sasa naona wafanya biashara wameishika nchi kweli kweli yaan wanaamua watakalo.
Hii nchi hiii, ndio maana kuna mtu alisema wafanya hiashara wakubwa sasa wanafanya kila wawezalo kuhakikisha mama anabaki madarakani kumbe kuna wanacho nufaika naye.
Mama tafadhari simama na wananchi maana ndio unao waongoza kwa wingi na ndio unao wahitaji kwenye kura hawa wafanya biashara wawe na kiasi usiwakumbatie sana wananchi tuna umizwa sana.
Watu wanakutana kwenye vikao vya bar Ajenda inakuwa moja tu how to maximize profit jibu ni moja kamua raia mpaka maji waite mmaNafikiri Latra na Ewura ni ndugu moja.
HakikaMambo ya serikali ndivyo yalivyo...
Kama TISS ni Wazalendo,Mpango angekabidhiwa nchi alafu mengine tutajadili baadaye!Hivi hii ni makusudi au ninini, au kuna mbinu ya kumkomoa Mh Rais kimya kimya baada ya kujua sio mfuatiliaji wa maswala kama hayo?
Hilo ongezeko la kiwango hicho limekuwaje? Yaani sehemu uliyo kuwa unasafiri kwa elfu 10 saihiz ni elfu 15 sehemu uliyo safiri kwa 40,000 sasa hivi ni 55,000, hivi wananchi wanaangaliwa hapa au ni maslahi ya wafanya biashara ndio yanazingatiwa zaidi?
Kwakweli kwa sasa naona wafanya biashara wameishika nchi kweli kweli yaan wanaamua watakalo.
Hii nchi hiii, ndio maana kuna mtu alisema wafanya hiashara wakubwa sasa wanafanya kila wawezalo kuhakikisha mama anabaki madarakani kumbe kuna wanacho nufaika naye.
Mama tafadhari simama na wananchi maana ndio unao waongoza kwa wingi na ndio unao wahitaji kwenye kura hawa wafanya biashara wawe na kiasi usiwakumbatie sana wananchi tuna umizwa sana.
Na itafika tu na zaidi ya hiyo !!Watanzania wako busy na kuzomeana kati ya simba na yake nani anaafadhali .acha ifiki hata 120000
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Yalivyo kivipi ??Mambo ya serikali ndivyo yalivyo...
Latra aombwe Mzee David Mwaibula akawape somo kama atakubali !!Mabus malori ya viongozi we unategemea nini
Mtanikumbuka kwa yale mazuri !!Kila kitu wanapewa bure wakufikirie we nani,
Latra awawezi toa maamuzi bila baraka ya Rais Samia! Nauli mpya zina baraka za Rais Samia ndio maana yupo kimya!Hivi hii ni makusudi au ninini, au kuna mbinu ya kumkomoa Mh Rais kimya kimya baada ya kujua sio mfuatiliaji wa maswala kama hayo?
Hilo ongezeko la kiwango hicho limekuwaje? Yaani sehemu uliyo kuwa unasafiri kwa elfu 10 saihiz ni elfu 15 sehemu uliyo safiri kwa 40,000 sasa hivi ni 55,000, hivi wananchi wanaangaliwa hapa au ni maslahi ya wafanya biashara ndio yanazingatiwa zaidi?
Kwakweli kwa sasa naona wafanya biashara wameishika nchi kweli kweli yaan wanaamua watakalo.
Hii nchi hiii, ndio maana kuna mtu alisema wafanya hiashara wakubwa sasa wanafanya kila wawezalo kuhakikisha mama anabaki madarakani kumbe kuna wanacho nufaika naye.
Mama tafadhari simama na wananchi maana ndio unao waongoza kwa wingi na ndio unao wahitaji kwenye kura hawa wafanya biashara wawe na kiasi usiwakumbatie sana wananchi tuna umizwa sana.
Madala5 mengi wamiliki ni wafanyakz wa RatraViongozi wakuu ndio wafanya biashara wakubwa wa usafirishaji wa abiria unategemea nini?. Afu Latra wanakwambia nauli zimepanda ili kugharamia matengenezo ya magari na malipo ya wafanyakazi!!, Yaani abiria tunapandishiwa nauli kumfanya tajiri wa gari afanye matengenezo au alipe mishahara kwa wafanyakazi wake?. Serikali ya CCM n wasengelema Sana.
Exactly,mkuu wa Laa-tla ana madala5 piaMaumivu haya yaelekezwe 2025. Msifanye makosa tukarudi tena mitandaoni kulalamika.
Binafsi nishachoka hata kusema mwisho utaishia kukamatwa. Ni mateso makubwa kwa wananchi halafu anayepaswa kuwasemea yuko kimya halafu anakuja mtu anasema manini gani sijui huko.
Waandamizi wengi ni wafanyabiashara wa magari na dala dala. Sasa mmateso mwenzangu unataka tuitwe mwanaraha ili iweje???
Wacha wale raha nasi tule mateso japo wanakale wanasema yana mwisho . Ni muda mwafaka kwao. Nasi ni muda murua kuinjoi haya mateso.
Aliposema Magufuli kwamba ipo siku tutamkumbuka hakika alikuwa amelewa gongo. Ila leo nimetambua haikuwa gongo bali ili
Hivi hii ni makusudi au ninini, au kuna mbinu ya kumkomoa Mh Rais kimya kimya baada ya kujua sio mfuatiliaji wa maswala kama hayo?
Hilo ongezeko la kiwango hicho limekuwaje? Yaani sehemu uliyo kuwa unasafiri kwa elfu 10 saihiz ni elfu 15 sehemu uliyo safiri kwa 40,000 sasa hivi ni 55,000, hivi wananchi wanaangaliwa hapa au ni maslahi ya wafanya biashara ndio yanazingatiwa zaidi?
Kwakweli kwa sasa naona wafanya biashara wameishika nchi kweli kweli yaan wanaamua watakalo.
Hii nchi hiii, ndio maana kuna mtu alisema wafanya hiashara wakubwa sasa wanafanya kila wawezalo kuhakikisha mama anabaki madarakani kumbe kuna wanacho nufaika naye.
Mama tafadhari simama na wananchi maana ndio unao waongoza kwa wingi na ndio unao wahitaji kwenye kura hawa wafanya biashara wawe na kiasi usiwakumbatie sana wananchi tuna umizwa sana.
Ester - Mwigulu - WFViongozi wakuu ndio wafanya biashara wakubwa wa usafirishaji wa abiria unategemea nini?. Afu Latra wanakwambia nauli zimepanda ili kugharamia matengenezo ya magari na malipo ya wafanyakazi!!, Yaani abiria tunapandishiwa nauli kumfanya tajiri wa gari afanye matengenezo au alipe mishahara kwa wafanyakazi wake?. Serikali ya CCM n wasengelema Sana.