Hili la nauli Serikali iliangalie upya yaani ongezeko la Tsh 15,000/ kweli!? Nauli kutoka 38,000 hadi 53,000 jamani kweli!? Mbona mmekuwa wabinafsi?

Hili la nauli Serikali iliangalie upya yaani ongezeko la Tsh 15,000/ kweli!? Nauli kutoka 38,000 hadi 53,000 jamani kweli!? Mbona mmekuwa wabinafsi?

Hivi hii ni makusudi au ninini, au kuna mbinu ya kumkomoa Mh Rais kimya kimya baada ya kujua sio mfuatiliaji wa maswala kama hayo?

Hilo ongezeko la kiwango hicho limekuwaje? Yaani sehemu uliyo kuwa unasafiri kwa elfu 10 saihiz ni elfu 15 sehemu uliyo safiri kwa 40,000 sasa hivi ni 55,000, hivi wananchi wanaangaliwa hapa au ni maslahi ya wafanya biashara ndio yanazingatiwa zaidi?

Kwakweli kwa sasa naona wafanya biashara wameishika nchi kweli kweli yaan wanaamua watakalo.

Hii nchi hiii, ndio maana kuna mtu alisema wafanya hiashara wakubwa sasa wanafanya kila wawezalo kuhakikisha mama anabaki madarakani kumbe kuna wanacho nufaika naye.

Mama tafadhari simama na wananchi maana ndio unao waongoza kwa wingi na ndio unao wahitaji kwenye kura hawa wafanya biashara wawe na kiasi usiwakumbatie sana wananchi tuna umizwa sana.
Mwamba mmoja alisema mtanikumbuka kwa yale mazuri sio kwa yale mabaya !!
Aliyeshiba siku zote huwa hamjui mwenye njaa !!
Muda utaongea !!
 
Hivi hii ni makusudi au ninini, au kuna mbinu ya kumkomoa Mh Rais kimya kimya baada ya kujua sio mfuatiliaji wa maswala kama hayo?

Hilo ongezeko la kiwango hicho limekuwaje? Yaani sehemu uliyo kuwa unasafiri kwa elfu 10 saihiz ni elfu 15 sehemu uliyo safiri kwa 40,000 sasa hivi ni 55,000, hivi wananchi wanaangaliwa hapa au ni maslahi ya wafanya biashara ndio yanazingatiwa zaidi?

Kwakweli kwa sasa naona wafanya biashara wameishika nchi kweli kweli yaan wanaamua watakalo.

Hii nchi hiii, ndio maana kuna mtu alisema wafanya hiashara wakubwa sasa wanafanya kila wawezalo kuhakikisha mama anabaki madarakani kumbe kuna wanacho nufaika naye.

Mama tafadhari simama na wananchi maana ndio unao waongoza kwa wingi na ndio unao wahitaji kwenye kura hawa wafanya biashara wawe na kiasi usiwakumbatie sana wananchi tuna umizwa sana.
Kama TISS ni Wazalendo,Mpango angekabidhiwa nchi alafu mengine tutajadili baadaye!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Watanzania wako busy na kuzomeana kati ya simba na yake nani anaafadhali .acha ifiki hata 120000

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Na itafika tu na zaidi ya hiyo !!
Latra ! Latra ! Hii latra angepewa Mzee David Mwaibula awape somo japo yeye ni mstaafu !!
Nashangaa wastaafu wa kazi za siasa eti ndio huwa wanapewa kazi nyinginezo hata kama walishastaafu kitambo !!!
 
Machawa ndo wameifikisha hapa tz.

Kwenye mambo ya msingi km haya akina MAYALA et al huwezi kuwaona wakikemea, Ila nambo ya hovyo hovyo ndo utawaona wakishadadia.
 
Hivi hii ni makusudi au ninini, au kuna mbinu ya kumkomoa Mh Rais kimya kimya baada ya kujua sio mfuatiliaji wa maswala kama hayo?

Hilo ongezeko la kiwango hicho limekuwaje? Yaani sehemu uliyo kuwa unasafiri kwa elfu 10 saihiz ni elfu 15 sehemu uliyo safiri kwa 40,000 sasa hivi ni 55,000, hivi wananchi wanaangaliwa hapa au ni maslahi ya wafanya biashara ndio yanazingatiwa zaidi?

Kwakweli kwa sasa naona wafanya biashara wameishika nchi kweli kweli yaan wanaamua watakalo.

Hii nchi hiii, ndio maana kuna mtu alisema wafanya hiashara wakubwa sasa wanafanya kila wawezalo kuhakikisha mama anabaki madarakani kumbe kuna wanacho nufaika naye.

Mama tafadhari simama na wananchi maana ndio unao waongoza kwa wingi na ndio unao wahitaji kwenye kura hawa wafanya biashara wawe na kiasi usiwakumbatie sana wananchi tuna umizwa sana.
Latra awawezi toa maamuzi bila baraka ya Rais Samia! Nauli mpya zina baraka za Rais Samia ndio maana yupo kimya!
 
Viongozi wakuu ndio wafanya biashara wakubwa wa usafirishaji wa abiria unategemea nini?. Afu Latra wanakwambia nauli zimepanda ili kugharamia matengenezo ya magari na malipo ya wafanyakazi!!, Yaani abiria tunapandishiwa nauli kumfanya tajiri wa gari afanye matengenezo au alipe mishahara kwa wafanyakazi wake?. Serikali ya CCM n wasengelema Sana.
Madala5 mengi wamiliki ni wafanyakz wa Ratra
 
Maumivu haya yaelekezwe 2025. Msifanye makosa tukarudi tena mitandaoni kulalamika.

Binafsi nishachoka hata kusema mwisho utaishia kukamatwa. Ni mateso makubwa kwa wananchi halafu anayepaswa kuwasemea yuko kimya halafu anakuja mtu anasema manini gani sijui huko.

Waandamizi wengi ni wafanyabiashara wa magari na dala dala. Sasa mmateso mwenzangu unataka tuitwe mwanaraha ili iweje???

Wacha wale raha nasi tule mateso japo wanakale wanasema yana mwisho . Ni muda mwafaka kwao. Nasi ni muda murua kuinjoi haya mateso.

Aliposema Magufuli kwamba ipo siku tutamkumbuka hakika alikuwa amelewa gongo. Ila leo nimetambua haikuwa gongo bali ili
Exactly,mkuu wa Laa-tla ana madala5 pia
 
Hivi hii ni makusudi au ninini, au kuna mbinu ya kumkomoa Mh Rais kimya kimya baada ya kujua sio mfuatiliaji wa maswala kama hayo?

Hilo ongezeko la kiwango hicho limekuwaje? Yaani sehemu uliyo kuwa unasafiri kwa elfu 10 saihiz ni elfu 15 sehemu uliyo safiri kwa 40,000 sasa hivi ni 55,000, hivi wananchi wanaangaliwa hapa au ni maslahi ya wafanya biashara ndio yanazingatiwa zaidi?

Kwakweli kwa sasa naona wafanya biashara wameishika nchi kweli kweli yaan wanaamua watakalo.

Hii nchi hiii, ndio maana kuna mtu alisema wafanya hiashara wakubwa sasa wanafanya kila wawezalo kuhakikisha mama anabaki madarakani kumbe kuna wanacho nufaika naye.

Mama tafadhari simama na wananchi maana ndio unao waongoza kwa wingi na ndio unao wahitaji kwenye kura hawa wafanya biashara wawe na kiasi usiwakumbatie sana wananchi tuna umizwa sana.

Kama:

1. Mafuta bei juu; tuko kimya.

2. Mabasi yafungwe vig'amuzi Kwa gharama zao; tuko kimya.

3. Walipie gharama za ving'amuzi kwa mwezi; tuko kimya.

4. Kelele za uwapo wabrashi viatu majiani; tuko kimya.

5. Wanunue machine za tiketi mtandao; tuko kimya.

6. Walipie gharama za kuendeshwa tiketi mtandao mwezi kwa mwezi; tuko kimya.

7. Kelele za Kodi, kubambikiziwa faini, wapiga debe, nk; tuko kimya.

Tutegemee maajabu yapi kwenye nauli?

Nashauri bei ziongezwe mara dufu tupate kujitambua!
 
Viongozi wakuu ndio wafanya biashara wakubwa wa usafirishaji wa abiria unategemea nini?. Afu Latra wanakwambia nauli zimepanda ili kugharamia matengenezo ya magari na malipo ya wafanyakazi!!, Yaani abiria tunapandishiwa nauli kumfanya tajiri wa gari afanye matengenezo au alipe mishahara kwa wafanyakazi wake?. Serikali ya CCM n wasengelema Sana.
Ester - Mwigulu - WF
Shabiby- Shabiby - MP
Abood - Abood - MP
Kimbinyiko - Ndugai - MP
 
Back
Top Bottom