Hili la nauli Serikali iliangalie upya yaani ongezeko la Tsh 15,000/ kweli!? Nauli kutoka 38,000 hadi 53,000 jamani kweli!? Mbona mmekuwa wabinafsi?

Hili la nauli Serikali iliangalie upya yaani ongezeko la Tsh 15,000/ kweli!? Nauli kutoka 38,000 hadi 53,000 jamani kweli!? Mbona mmekuwa wabinafsi?

Hivi hii ni makusudi au ninini, au kuna mbinu ya kumkomoa Mh Rais kimya kimya baada ya kujua sio mfuatiliaji wa maswala kama hayo?

Hilo ongezeko la kiwango hicho limekuwaje? Yaani sehemu uliyo kuwa unasafiri kwa elfu 10 saihiz ni elfu 15 sehemu uliyo safiri kwa 40,000 sasa hivi ni 55,000, hivi wananchi wanaangaliwa hapa au ni maslahi ya wafanya biashara ndio yanazingatiwa zaidi?

Kwakweli kwa sasa naona wafanya biashara wameishika nchi kweli kweli yaan wanaamua watakalo.

Hii nchi hiii, ndio maana kuna mtu alisema wafanya hiashara wakubwa sasa wanafanya kila wawezalo kuhakikisha mama anabaki madarakani kumbe kuna wanacho nufaika naye.

Mama tafadhari simama na wananchi maana ndio unao waongoza kwa wingi na ndio unao wahitaji kwenye kura hawa wafanya biashara wawe na kiasi usiwakumbatie sana wananchi tuna umizwa sana.
Toa mfano badala ya kudanganya.Nauli zimeongeseka kwa.wastani wa sh.5,000-13,000 kulingana na umbali.

Yaani ulipe nauli wewe harafu useme Rais anakombolewa? Na sio kweli kwamba Rais hafuatilii ,mbona miamala na mafuta alipunguza bei? Aliyekudanganya hafuatilii ni nani?

Mwisho umeambiwa kama unaona nauli kubwa tembea Kwa miguu au nunua chombo chako
 
Maumivu haya yaelekezwe 2025. Msifanye makosa tukarudi tena mitandaoni kulalamika.

Binafsi nishachoka hata kusema mwisho utaishia kukamatwa. Ni mateso makubwa kwa wananchi halafu anayepaswa kuwasemea yuko kimya halafu anakuja mtu anasema manini gani sijui huko.

Waandamizi wengi ni wafanyabiashara wa magari na dala dala. Sasa mmateso mwenzangu unataka tuitwe mwanaraha ili iweje???

Wacha wale raha nasi tule mateso japo wanakale wanasema yana mwisho . Ni muda mwafaka kwao. Nasi ni muda murua kuinjoi haya mateso.

Aliposema Magufuli kwamba ipo siku tutamkumbuka hakika alikuwa amelewa gongo. Ila leo nimetambua haikuwa gongo bali ili
Alaa kwamba kipindi Cha Mwendazake nauli hazikupanda au? Mwisho unataka usafiri kwenye gari ya nani harafu ulipe nauli unavyotaka wewe?
 
Kama:

1. Mafuta bei juu; tuko kimya.

2. Mabasi yafungwe vigamuzi Kwa gharama zao; tuko kimya.

3. Walipie gharama za ving'amuzi kwa mwezi; tuko kimya.

4. Kelele za uwapo wabrashi viatu majiani; tuko kimya.

5. Wanunue machine za tiketi mtandao; tuko kimya.

6. Walipie gharama za kuendeshwa tiketi mtandao mwezi kwa mwezi; tuko kimya.

7. Kelele za Kodi, kubambikiziwa faini, wapiga debe, nk; tuko kimya.

Tutegemee maajabu yapi kwenye nauli?

Nashauri bei ziongezwe mara dufu tupate kujitambua!
Wewe ulitakaje?
 
Wanamiliki vituo vya mafuta (Filling Stations) ndio hao hao na wengine wanamiliki mabasi au vyombo vya usafiri.
Wao hawatumii sana usafiri huo ambao sisi tunatumia. Wanajua hakuna mwananchi mwenye akili ya kuwawajibisha
 
Wakiwapita na mavxr yao wakiwa ndani wakipigwa kiyoyozi nyie mkiwa kwenya mabasi mmebanana,na kujambiana wanawazomea [emoji1]
Wanasema waoneni wale mafal....waleeee

Ova
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Toa mfano badala ya kudanganya.Nauli zimeongeseka kwa.wastani wa sh.5,000-13,000 kulingana na umbali.

Yaani ulipe nauli wewe harafu useme Rais anakombolewa? Na sio kweli kwamba Rais hafuatilii ,mbona miamala na mafuta alipunguza bei? Aliyekudanganya hafuatilii ni nani?

Mwisho umeambiwa kama unaona nauli kubwa tembea Kwa miguu au nunua chombo chako
Machawa katika ubora wao ......
 
Wanamiliki vituo vya mafuta (Filling Stations) ndio hao hao na wengine wanamiliki mabasi au vyombo vya usafiri.
Wao hawatumii sana usafiri huo ambao sisi tunatumia. Wanajua hakuna mwananchi mwenye akili ya kuwawajibisha
Wewe ulitakaje? Umekatazwa Kumiliki ?
 
Ttzo lenu wananch mnaposikia bei za mafuta zimepanga huwa mnazani waathilika ni wamiliki wa vyombo vya usafiri tu kumbe wote tuna athilika

Unakuta mtu mzma kabsa anajitoa akili “ wacha mafuta yapande kwan mm namiliki gar au pikipik” sasa bei znapokuja kupanda ndo tunastuka mi nazan mlipe tu izo nauli ili mjifunze kuhoji

Lakin pia izi bei kupanda zitatupunguzia ndugu lawama wanaokujaga kusalimu kipind hiki cha skukuu
 
Maumivu haya yaelekezwe 2025. Msifanye makosa tukarudi tena mitandaoni kulalamika.

Binafsi nishachoka hata kusema mwisho utaishia kukamatwa. Ni mateso makubwa kwa wananchi halafu anayepaswa kuwasemea yuko kimya halafu anakuja mtu anasema manini gani sijui huko.

Waandamizi wengi ni wafanyabiashara wa magari na dala dala. Sasa mmateso mwenzangu unataka tuitwe mwanaraha ili iweje???

Wacha wale raha nasi tule mateso japo wanakale wanasema yana mwisho . Ni muda mwafaka kwao. Nasi ni muda murua kuinjoi haya mateso.

Aliposema Magufuli kwamba ipo siku tutamkumbuka hakika alikuwa amelewa gongo. Ila leo nimetambua haikuwa gongo bali ili
Hakika mkuu binafsi hata nguvu la kulalamika nakosa kwa haya maumivu wanayotusurubu nayo
 
Hii Nchi imekuwa ni kama ng'ombe aliyekatwa kichwa.......tunajiendea tu

Suala la kupanda kwa gharama za Nauli tulijua lazima tutafika huku. Shida kubwa ililetwa na kupanda kwa bei ya Mafuta (Fuels).

Ajabu gharama za Dizeli/Petrol huku kwetu ni kubwa kuliko hata hapo Zambia japo wao wanapitisha mafuta yao kupitia Tanzania
 
Hii Nchi imekuwa ni kama ng'ombe aliyekatwa kichwa.......tunajiendea tu

Suala la kupanda kwa gharama za Nauli tulijua lazima tutafika huku. Shida kubwa ililetwa na kupanda kwa bei ya Mafuta (Fuels).

Ajabu gharama za Dizeli/Petrol huku kwetu ni kubwa kuliko hata hapo Zambia japo wao wanapitisha mafuta yao kupitia Tanzania
Unaropoka tuu ,unajua gharama za maisha zilivyo Zambia wewe? Unajua kwamba watu wa Zambia Wanalia.kwa ugumu wa Maisha sio tuu mafuta kuanzia vyakula bei ziko Juu na hawamtaki huyo Rais aliyetokea upinzani kama Machadema yanavyowadanganya?

Yaani wewe Kwa akili Yako unadhani Wanasiasa wanatafuta madaraka kukusaidia wewe au?
 
Huo ndio upuumbavu wako/wenu.... Mnaona kila anayekosoa ni Chadema .... pathetic
Machadema nyie ni mapunguani na hamjielewi.

Kwa kichwa chako hicho unachofugia nywe unadhani kuja siku Machadema yatakusaidia wewe uwe na maisha mazuri au?

Kuelewa hutaki hata mifano kwenye Nchi zilizochagua Wapinzani kipi Cha maana wamewaletea zaidi ya kuzidisha ugumu wa Maisha? Pole kukosa akili ni kama ugonjwa.
 
Back
Top Bottom