kingkimwe
JF-Expert Member
- Feb 12, 2015
- 1,839
- 2,481
Diwan Athuman ni msukuma?
Mpare uyu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Diwan Athuman ni msukuma?
Sehemu uliyonukuru inatisha. Kwamba Magufuli alitoa maagizo kuwa ni marufuku kuajiri Mchaga kwenye taasisi ya Serikali au ya Umma kwa ujumla! Hii ni kauli nzito sana inayochonganisha makabila. Vyombo husika inabidi vifuatilie kujua ukweli wa suala hilo, na Mbowe atoe ushahidi wa aliyoyasema. Ikidhihirika kwamba ni kweli hayo yalisemwa, hatua muafaka zichukuliwe kukemea hilo na kurekebisha mambo. Kama akishindwa kutoa ushahidi, kadhalika hatua stahili zichukuliwe dhidi ya matamshi hayo yanayoweza kuleta sintofahamu nchini.Namnukuu Mbowe
''Miaka mitano ya Hayati Magufuli ilikuwa ni miaka ya mateso kwa watu wa Kaskazini hususan Wachaga, ilifika wakati Magufuli akatoa maagizo ya Wachaga kutoajiriwa Serikalini na kwenye Taasisi za Umma''
Tatizo lako ulikimbia shule badala ya kutoa hoja unaongea utumboMimi sio muumini wa siasa za kikabila ila kiukwel Magufuli aliwachukia sana Wachaga, ila Mungu akampenda zaidi..
Hakuna uganga wala Uchawi juu ya nyumba ya Israeli..
Wachaga hawakipigana vita na Mwendazake, maana Mungu aliaahidi, for the battle is not yours ...
Ajaribu mwingine nae apendwe zaid....
Kuna wakurugenzi wengi tu waliteuliwa na Magufuli, na wengine wakuu mbalimbali wa idara serikalini. Magu alizibiti mianya ya ulaji. Ila si kwamba aliwachukia wachaga. Kwa taarifa wasukuma na wachaga wameoana sana. Wanawake wa kichaga upenda wasukuma kwa madai kuwa wanajua kucare! Sijaona chuki yoyote baina ya wasukuma na wachaga.Magu alipambana na ukabila kwa nguvu zote! Hapo kabla ilikuwa na kawaida sana kuona majina ya mushi, masawe, kimario, nk TRA, benki kuu, na mabenki yote nchini! Na wakiwa kwenye nafasi hizo, waliweka mifumo ya upigaji ambao Magu aliufumua kwa bomu la nyuklia! Hivyo Magu hakuchukia wala kuwatenga wachaga bali wapigaji bila kujali makabira yao! Kwa kuwa wengi wa wezi ktk vitengo vilivyoongoza kwa upigaji wachaga walikuwa wengi...wapumbafu wenye upeo finyu kabisa walihusianisha na chuki za kikabila😠! Wanasahau kuwa Magu aliwateua wachaga wengi tu waaminifu kwenye teuzi zake nyingi!
Mbowe ni mkabila ndio maana hataacha kutetea wachaga! Hutasikia akiwasemea waha, wangazija, wamatumbi, wadengeleko nk bali wachaga kwani upeo wake ndipo unapogotea😡!
Hahahaaaa...... aise nimecheka sanaTatizo la huyo Mbowe nikujiona kuwa ni kiongozi wa wachagga na sio watanzania wote. Ndio maana hilo lichama lake halitakuja kushika dola manaake limejaa ukabila sana.
Mpare ,mbowe amesema ukweliDiwan Athuman ni msukuma?
Ni sawa tu mpaka leo mbowe mwenyewe hameshindwa kuachia chama aendeshe mtu mwingine alafu analalamika nini? Tatizo lao ni WATU WA DILI SANA.Namnukuu Mbowe
''Miaka mitano ya Hayati Magufuli ilikuwa ni miaka ya mateso kwa watu wa Kaskazini hususan Wachaga, ilifika wakati Magufuli akatoa maagizo ya Wachaga kutoajiriwa Serikalini na kwenye Taasisi za Umma''
[emoji2089][emoji2089][emoji2089]Hata Yule NW Ofisi ya WM, anaeshughulika na Watu Wenye Ulemavu, Ummy Hamis Ndeliananga Ni Msukuma Wa Butundwe [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ni mpare ndio mbowe amesema haswaa wachagaDiwan Athuman ni msukuma?
Mwambie bwana. Huyo ni msukuma wale wako hapo Busandahuyo ni mtu mdogo sana hata huko moshi hajulikani, wacha kuwa na upeo mfupi kama steve nyerere wewe.
Wachagga na Wasukuma wenye akili zao hawawezi nunua hili wazo la ukabilaKufupisha stori CHADEMA waweke wazi bifu lao na wasukuma ili tuone mwisho wake. Wachaga jichanganyeni kwenye 18 za mambo ya kipumbavu ambayo yanahubiriwa na wasakatonge.
"Watu wengi wa Magu wa karibu hawakuwa wasukuma.Wewe jamaa nimegundua ni mpumbavu sana.
Mimi kwetu Mara. Ni mzanaki pure.
Hujui hata unachooongea, uchagga umekujaa kama taahira.
Mbowe anaongelea AJIRA wewd unabweka hapa kuhusu TEUZI. Stupid
Acha uongo. Kwahiyo walibadili majina kwenye vyeti?Mpaka kuna wachaga walianza kuapa majina yao kuwa Masanja ili waajiriwe
Nilifurahi nikataka kuwa mwehu asante mungu!!!Mimi sio muumini wa siasa za kikabila ila kiukwel Magufuli aliwachukia sana Wachaga, ila Mungu akampenda zaidi..
Hakuna uganga wala Uchawi juu ya nyumba ya Israeli..
Wachaga hawakipigana vita na Mwendazake, maana Mungu aliaahidi, for the battle is not yours ...
Ajaribu mwingine nae apendwe zaid....
Pelekeni watoto shule.Mbowe mjinga sana ametuudhi sana wasukuma mpumbavu huyu tutamuonyesha kuwa sisi hatujawahi kushindwa mbona Kaskazini imekuwa na mawaziri wakuu wengi kuliko kanda yoyote Tanzania mawaziri wa fedha wawili magavana, Mkurugenzi wa Idara ya usalama wa Taifa, mkuregenzi CRDB kimei vyuo vikuu vimerundikana Kaskazini
Pelekenj watoto shule.Huna akili.
Teuzi ni kitu cha mpito.
Ndio maana teuzi za Magu zimepita naye kama zilivyopita teuzi za kina Nyerere, Mkapa na Kikwete.
Ajira usually ni kitu cha kudumu kama walivyopeana wachagga enzi za Mkapa.
Mbona hujawahi kuuliza kwanini Kaskazini imekuwa na mawaziri wakuu wengi kuliko kanda yoyote Tanzania mawaziri wa fedha wawili magavana, Mkurugenzi wa Idara ya usalama wa Taifa, mkuregenzi CRDB kimei vyuo vikuu vimerundikana Kaskazini. Sasa hivi uchaggani kuna kizazi cha hovyo sana
Kama jambazi na lishetani limekuwa kiongozi,Mbowe is more far a leader than your sadist.Yule sijui alikuwaje kiongozi mjinga sana yule jamaaa yaani ngoja ss tulidharauliwa zamani sio sassa Mbowe beba kilicho chako usukumani tuachie Magufuli wetu mbwa wewe