Hili la Wachaga kutoajiriwa Serikalini na Taasisi za Umma awamu ya tano, Mbowe anadanganya umma?

Hili la Wachaga kutoajiriwa Serikalini na Taasisi za Umma awamu ya tano, Mbowe anadanganya umma?

Status
Not open for further replies.
Kwani iliwezekanaje

Waziri wa Afya...

Mganga Mkuu wa Serikali...

Katibu mkuu wizara ya Afya kuwa wa sehemu moja?

Funga kazi ni katibu mkuu wa Sekta nyeti kuwa mpwa wa Mfalme...why?? Why??
 
Kumbe mwenyekiti wangu wa chama kafilisika mawazo kiasi hiki. He is too irational nowdays!

Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
Huyu ni zero brain.

Utashangaa ana wafuasi kweye chama chake alichopewa kama zawadi ya birthday na baba mkwe wake mzee Mtei.

Chadema ni birthday present ya Mtei kwa Mbowe. Ni chama cha wachaga.

Chadema-chagga development manifesto.
 
Mbowe mjinga sana ametuudhi sana wasukuma mpumbavu huyu tutamuonyesha kuwa sisi hatujawahi kushindwa mbona Kaskazini imekuwa na mawaziri wakuu wengi kuliko kanda yoyote Tanzania mawaziri wa fedha wawili magavana, Mkurugenzi wa Idara ya usalama wa Taifa, mkuregenzi CRDB kimei vyuo vikuu vimerundikana Kaskazini
Chagga developmet manifesto=chadema
 
Teuzi ni ajira pia, hizo ni akili za kizanani, nguvu nyingi matokeo sifuri.
Huna akili.

Teuzi ni kitu cha mpito.

Ndio maana teuzi za Magu zimepita naye kama zilivyopita teuzi za kina Nyerere, Mkapa na Kikwete.

Ajira usually ni kitu cha kudumu kama walivyopeana wachagga enzi za Mkapa.

Mbona hujawahi kuuliza kwanini Kaskazini imekuwa na mawaziri wakuu wengi kuliko kanda yoyote Tanzania mawaziri wa fedha wawili magavana, Mkurugenzi wa Idara ya usalama wa Taifa, mkuregenzi CRDB kimei vyuo vikuu vimerundikana Kaskazini. Sasa hivi uchaggani kuna kizazi cha hovyo sana
 
Nilishawambia hicho ni chama cha kuwatete wachagga Tanzania ..sio chama cha kisiasa hicho..hata wanaharakati wengi wa hichi chama ni wachagga..wanaukabila wa kishamba sana
Mbowe mjinga sana ametuudhi sana wasukuma mpumbavu huyu tutamuonyesha kuwa sisi hatujawahi kushindwa mbona Kaskazini imekuwa na mawaziri wakuu wengi kuliko kanda yoyote Tanzania mawaziri wa fedha wawili magavana, Mkurugenzi wa Idara ya usalama wa Taifa, mkuregenzi CRDB kimei vyuo vikuu vimerundikana Kaskazini
 
Mbowe mjinga sana ametuudhi sana wasukuma mpumbavu huyu tutamuonyesha kuwa sisi hatujawahi kushindwa mbona Kaskazini imekuwa na mawaziri wakuu wengi kuliko kanda yoyote Tanzania mawaziri wa fedha wawili magavana, Mkurugenzi wa Idara ya usalama wa Taifa, mkuregenzi CRDB kimei vyuo vikuu vimerundikana Kaskazini
Jamaa kaongea upuuzi sana. Katonesha kidonda kabisa.
 
Mbowe mjinga sana ametuudhi sana wasukuma mpumbavu huyu tutamuonyesha kuwa sisi hatujawahi kushindwa mbona Kaskazini imekuwa na mawaziri wakuu wengi kuliko kanda yoyote Tanzania mawaziri wa fedha wawili magavana, Mkurugenzi wa Idara ya usalama wa Taifa, mkuregenzi CRDB kimei vyuo vikuu vimerundikana Kaskazini
Jinga Sana hilo jamaa....
 
  • Thanks
Reactions: mmh
Mbowe mjinga sana ametuudhi sana wasukuma mpumbavu huyu tutamuonyesha kuwa sisi hatujawahi kushindwa mbona Kaskazini imekuwa na mawaziri wakuu wengi kuliko kanda yoyote Tanzania mawaziri wa fedha wawili magavana, Mkurugenzi wa Idara ya usalama wa Taifa, mkuregenzi CRDB kimei vyuo vikuu vimerundikana Kaskazini
Wachaga wameitumia sana hii nchi hilo liko wazi.

Enzi za Msuya, makao makuu ya mikoa hayakua na umeme ila yeye akaamua kupeleka umeme huko kwao milimani ambako hakuna watu wengi.

Watu wa Serengeti walikua na uwanja wa ndege, wachaga wakawafitini ili usijengwe na kweli haukujengwa ili ndege ziwe zinatua KIA kuwafaidisha wachaga, nilisikia enzi za Magufuli ndio ulianza kujengwa sina hakika kama utakamilika tena.

Kaskazini imekua na mawaziri wakuu zaidi ya 5 na walitumia rasilimali za taifa kujinufaisha kikanda halafu wanadharau kanda nyingine.

Kaskazini hawataki kuona kanda nyingine zinaendelea. Mfano kanda ya ziwaina rasilimali nyingi kuliko kanda yoyote Tanzania kwa sasa lakini maendeleo yako nyuma sana. Wachaga watahakikisha hakuna kanda inaendelea nchi hii zaidi ya kwao.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom